Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza

Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza

Hayo ni kweli 100%

Huwezi mtisha Muislam kifo ukiwa wewe ni kafiri.

Ukimuuwa kashinda, akikuuwa kashinda.
Huu ni upuuzi wa hali ya juu,
Ameshinda nini?
Watu wanapoteza familia zao,wanabaki wapweke,wanabaki vilema na ukiwa...
Hapo kuna ushindi?
 
Unaweza kuthibitisha hiyo pepo unayosema,
Brain washed.
Usiumie sana. Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Ukipenda unakubali ukikatqa unaacha.

Uislam kwa kasi unavyokuwa duniani ni
i ushahidi tosha kwa mwenye uelewa.
 
Unajidanganya. Kafiri lini kamshinda muislam?
Ndiyo Upumbavu wenu ulipo umegeuza kuwa Ni Vita ya dini. Israel anapigana na Uislamu?. Kwa hiyo Uislamu ndiyo uliyorusha maroketi kuanzisha Vita?. Wewe mtu Ni wa kupuuzwa kabisa na huu Upumbavu wako. Kwanini unahusisha na Uislamu?. Una fuvu lisilo na uwezo hata wa kufikili
 
Ndiyo Upumbavu wenu ulipo umegeuza kuwa Ni Vita ya dini. Israel anapigana na Uislamu?. Kwa hiyo Uislamu ndiyo uliyorusha maroketi kuanzisha Vita?. Wewe mtu Ni wa kupuuzwa kabisa na huu Upumbavu wako. Kwanini unahusisha na Uislamu?. Una fuvu lisilo na uwezo hata wa kufikili
Tatizo lako ni ufinyu wa muono wako, hauna upeo., unaona mwisho wa pua yako tu.
 
Tatizo lako ni ufinyu wa muono wako, hauna upeo., unaona mwisho wa pua yako tu.
Ulikenua meno waliporusha maroketi kuua waisraeli. Kenua Tena wanapokufa wapalestina. Akili box wewe. Eti Vita vya kidini waarabu wamewateka akili yanachokoza ugomvi ili yawaambie wajinga Kama wewe kuwa Ni Vita vya kiislamu na mnaingia kichwa kichwa kuona Ni Vita vya kidini. Dini ya kiislam ndiyo iliyorusha maroketi?. Kua kiakili ule Upumbavu wa Hamas hakuna mwenye akili anaunga mkono
 
Mada nyingine unasoma huku unacheka utadhani unaangalia Ze Comedy ya kina Masanja Mkandamizaji
 
Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
Rubbish.
Mtalialia mpaka lini?. Siyo yeye alisema wakivuka mstari mwekundu kinawaka😂😂😂😁😁. Hakuna majitu maoga kama hayo mahayatola wapigania Allah.
 
Israel wameshasema, askari wake waliokufa wamefikia 500 na hiyo sio ajabu, ndio matokeo ya vita, but at the end of the day, watashinda vita na hamas itafutwa na Gaza kaskazini haitakaliwa na wapalestina tena kwasababu wakiwa huru wanaruhusu hayo kufanyika, itakaliwa kimabavu na israel kama ilivyokuwa kabla ya 2005.
326 hadi leo
 
Ulikenua meno waliporusha maroketi kuua waisraeli. Kenua Tena wanapokufa wapalestina. Akili box wewe. Eti Vita vya kidini waarabu wamewateka akili yanachokoza ugomvi ili yawaambie wajinga Kama wewe kuwa Ni Vita vya kiislamu na mnaingia kichwa kichwa kuona Ni Vita vya kidini. Dini ya kiislam ndiyo iliyorusha maroketi?. Kua kiakili ule Upumbavu wa Hamas hakuna mwenye akili anaunga mkono
Mimi mpaka sasa hivi nnafuraha kubwa sana tena sana. Ni ushindi mkubwa sana kwa Palestina huu, kwa wenye kuelea. Tazama vijana wa Kiyemen jana wamesema sasa wayahudi wafunguwe mipaka wawaachie watu wapeleke misaada ya Gaza, au waendelee kupokea zawadi ya missiles kutoka kwao. Jionee:




Unafahamu matokeo ya kimbembe hicho kilichoanza jana? Matokeo leo wenyewe wamewachia misaada iingie, Wayemen nao wamesema bado, gari 28 kwa siku hazitoshi, wanataka waone japo gari 100 kwa siku ndiyo wao wasimame kutuma missiles zao.

Matokeo unajuwa nini? kama hujuwi sema tukueleze kinachendele huko bila propaganda za kujazwa ujinga.
 
Uelewa mdogo siyo,au mpaka mtu aongee kwa kufoka Kama wachungaji wenu ndiyo masikio yazibuke uelewe!?..jinni ni kiumbe Kama wewe,mbuzi,kuku nk,wewe unapomrubuni mtu kufanya uovu huo ni ushetani na wewe hapo unakua shetani,Kuna jinni muovu Kama wewe na jinni mwema Kama sheikh ponda,siyo kila jinni ni muovu,ndiyo maana hata nyingi mnasema pepo mchafu toka maana yake Kuna msafi
BASI endeleeni kuishi nao , mtaenda nao peponi yenu.
 
Mimi mpaka sasa hivi nnafuraha kubwa sana tena sana. Ni ushindi mkubwa sana kwa Palestina huu, kwa wenye kuelea. Tazama vijana wa Kiyemen jana wamesema sasa wayahudi wafunguwe mipaka wawaachie watu wapeleke misaada ya Gaza, au waendelee kupokea zawadi ya missiles kutoka kwao. Jionee:


View attachment 2800211

Unafahamu matokeo ya kimbembe hicho kilichoanza jana? Matokeo leo wenyewe wamewachia misaada iingie, Wayemen nao wamesema bado, gari 28 kwa siku hazitoshi, wanataka waone japo gari 100 kwa siku ndiyo wao wasimame kutuma missiles zao.

Matokeo unajuwa nini? kama hujuwi sema tukueleze kinachendele huko bila propaganda za kujazwa ujinga.

Mimi mpaka sasa hivi nnafuraha kubwa sana tena sana. Ni ushindi mkubwa sana kwa Palestina huu, kwa wenye kuelea. Tazama vijana wa Kiyemen jana wamesema sasa wayahudi wafunguwe mipaka wawaachie watu wapeleke misaada ya Gaza, au waendelee kupokea zawadi ya missiles kutoka kwao. Jionee:


View attachment 2800211

Unafahamu matokeo ya kimbembe hicho kilichoanza jana? Matokeo leo wenyewe wamewachia misaada iingie, Wayemen nao wamesema bado, gari 28 kwa siku hazitoshi, wanataka waone japo gari 100 kwa siku ndiyo wao wasimame kutuma missiles zao.

Matokeo unajuwa nini? kama hujuwi sema tukueleze kinachendele huko bila propaganda za kujazwa ujinga.
Ardhi inaondoka tu nyinyi mnajifariji na tupicha
 
Muislam akimua kafiri ktk vita anaingia peponi na akiuliwa yeye anaingia peponi. Wakati kafiri akifa au akiua moto kwa moto
Tofauti na wewe kafiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti anaingia peponi
 
Mimi mpaka sasa hivi nnafuraha kubwa sana tena sana. Ni ushindi mkubwa sana kwa Palestina huu, kwa wenye kuelea. Tazama vijana wa Kiyemen jana wamesema sasa wayahudi wafunguwe mipaka wawaachie watu wapeleke misaada ya Gaza, au waendelee kupokea zawadi ya missiles kutoka kwao. Jionee:


View attachment 2800211

Unafahamu matokeo ya kimbembe hicho kilichoanza jana? Matokeo leo wenyewe wamewachia misaada iingie, Wayemen nao wamesema bado, gari 28 kwa siku hazitoshi, wanataka waone japo gari 100 kwa siku ndiyo wao wasimame kutuma missiles zao.

Matokeo unajuwa nini? kama hujuwi sema tukueleze kinachendele huko bila propaganda za kujazwa ujinga.
Polimilai nyingi sana mzee mwenzangu,hebu jaribu kuzipunguza kidogo
 
Muislam akimua kafiri ktk vita anaingia peponi na akiuliwa yeye anaingia peponi. Wakati kafiri akifa au akiua moto kwa moto
Tofauti na wewe kafiri
Majitu mengine sijui yalifaa tu yawe punda yabebe mizigo na nyama yao isiliwe bali ituowe.
Unapingana vita mitandaoni, vita siyo imani.
Vita ni vile unavyoweza kupata taarifa za adui, mipango mizuri ya kiutawala,
Mbinu sahihi angalau kupunguza vifo na majeruhi, makamanda bora ,wapiganaji wenye mafunzo ya hali ya juu, kulingana na hali ya uwanja wa vita. Aina gani ya adui unayekabiliana nae, uwezo wake ,moral yake ,aina ya silaha za adui, maficho yake. Mwisho mbinu zake za medani.
Mfano: vita inayopiganwa Gaza tunaita FIBUA. fighting in building area.
Hii vita ni ngumu sana ,inahitaji umakini, mbinu za adui ni kushambulia kwa kushitukiza, ambush.
Adui maficho yake ni katika makazi ya watu, chini taasisi na vituo vya huduma za kijamii yeye ameweka ngome zake chini ya majumba ,na wakati mwingine operation room zake ziko katika maofisi ya kama hosp, masokoni,na vituo vya afya.
Kwa namna ilivyo Israel atapoteza askari wengi zaidi ya hao, lakin mwisho wa siku hii vita atashinda tu.
Kama hamas wameruhusu sasa adf ipo ndani ya Gaza ,basi ni swala la.muda tu.
Ama watorokea kupitia hayo mashimo hadi Misri au wapigane wakiwa nje ya mashimo ili wauawe.
 
Muislam akimua kafiri ktk vita anaingia peponi na akiuliwa yeye anaingia peponi. Wakati kafiri akifa au akiua moto kwa moto
Tofauti na wewe kafiri
Allah anampa mabikra 72 ajipozee.
Hii dini ni ya ovyo sana
 
Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
Wanachelewesha kumaliza kazi huko gaza.. tunahitaji kuona makazi mapya ya walowezi
 
Back
Top Bottom