ππ aise zama za propaganda kwisha habari yake sasa ni wakati wa ukweli tu.Mnateseka sana, Operation "Days of Repentance.β
Israel/USA hawana jeuri ya kupigana Kwa kiwango Cha Nguvu kubwa zaidi Kwa sababu tayari Iran amekuwa mkubwa na Russia Yuko nyuma yake.Israel kuliko kwenda kufanya retaliation nchini Iran mapema leo ambapo imekuwa kituko, ni bora wangekaa kimya, air defenses za Iran zimezuia makombora karibu yote ya Israel.
Vyanzo mbali mbali nchini Iran vinasema hali ni shwari, na jeshi la Iran limesema milipuko iliyosikika ilikuwa ni air defenses za Iran zinazuia makombora hayo.
View: https://www.youtube.com/watch?v=2iouwn8tLv0
Makombora yamezuiliwa kama fataki.
Iron dome imezidiwa na hio mifumo ya Iran Bavar, kumbe iron dome ni jina na kujipigia chapuo na hana kila kitu.
Israel imemuua mmoja wa wageni rasmi waalikwa kwenye hafla ya uapisho wa Rais wa Iran akiwa katikati ya Tehran.Marekani na wazungu wa Ulaya walikuwa wakimbembeleza kwamba asilipe kisasi bali wataiondolea Iran vikwazo vya kiuchumi lakini Iran aliona hizi ni siasa na drama zisizo na mwelekeo halisi akaamua kushusha vyuma kutokea sebuleni huku akinywa kahawa.
Yaani mambo madogo kama haya ambayo yameshachambuliwa na magwiji wa masuala ya vita hukuwa unafuatilia kwanini Iran hakujibu siku ile ile?
Alishaandaa vyuma kujibu mapema sana ila Marekani na Ulaya wakambembeleza kwamba diplomasia itumike zaidi kushughulikia mambo haya ili kutotanua mgogoro lakini mbabe aliwaambia waendelee na kazi zingine yeye atainyoosha Israel na ndicho alichofanya.
Hii Iran hawezi jibu, akijaribu KILEMBA cheusi kinachimbuliwa toka kwende handaki.ππ aise zama za propaganda kwisha habari yake sasa ni wakati wa ukweli tu.
Ni kipofu na kiziwi pekee ndiye ataendelea kuamini propaganda za mashog,a wakati uhalisia anauona nani kabondwa mara mbili kisawasawa na nani kajibu kiuwoga tena kwa aibu ili mradi tu aonekane kajibu.ππ
π€£Wewe ulisikia Iran akikaa vikao na matamko kila siku kama vikao vya send off alipotaka kuishushia mvua ya missiles Israel?
Yeye alitamka tu Israel itapata inachostahili na kweli vyuma vilishushwa hadi vingine vinapita juu ya mapaa ya bunge la kitaifa la Israel bila kupingwa.
Russia hyu anaemaliza miaka 4 ukrein?Israel/USA hawana jeuri ya kupigana Kwa kiwango Cha Nguvu kubwa zaidi Kwa sababu tayari Iran amekuwa mkubwa na Russia Yuko nyuma yake.
So watakuwa wanaparuana kisela sela ila sio full scale war kama wanavyofanya Gaza,Lebanon au Ukraine.
Pole sana kwa maumivu makali mpaka KOBAZI zimechakaa.Kawadanganye wanakondoo wenzako hpa tunakuona mwehu
Yale mapipa ya Mrusi yalikuwa yamesinzia. Iran ayarejeshe huko alikoyatoa.Where are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.
Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.
Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.
Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.
JESUS AND ISRAEL FOREVER
We huoni waumini wa kikristo akili zao ? Yaani kila kitu kwao majibu yake yanshangazaUmeandika Jesus and Israel forever. Ebu fafanua ki vipi?
- wayahudi wanamwita Yesu mwanaharamu na hawamtambui Jesus (Yesu) wala hawautambui Ukiristo. Hiyo link umeinyelea wapi??
Uteule umepotoshwa- usiamini kila ubiwalo, soma kidogo ujue ukweli.
Warumi ambao ni wakiristo waliwapa kichapo mayahudi kwa kosa la jinai la kumuua Yesu.
Wajerumani miaka ya 1940 waliwaua wayahudi million Sita. Wajerumani ni Wakiristo..
Etc.
Uteule uko wapi??π
Aise hii aibu aliyoleta Israel na mume wake Marekani haivumiliki sijui nani aliwashauri wajiaibishe kiasi hiki.πCha ajabu Israel hakusema kapiga kitu gani anakanusha eti Iran hakuangusha missiles zozote π
Tulia we mpk kucha rangi,,,mbona uzi mrefu ila picha za mazara hatuoni ?Pole sana kwa maumivu makali mpaka KOBAZI zimechakaa.
Wakiristo wa jf banaWhere are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.
Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.
Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.
Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.
JESUS AND ISRAEL FOREVER
Israel ina makombora ya masafa marefu pia ya masafa mafupi, pia wana hypersonic missiles.Hayawi-hayawi mwisho imekuwa baada ya majeshi ya israel kuanza kuwapiga mbwa usiku huu Majeshi hayo ya Israel yameanza kumpiga Mwenye Mbwa yaani Iran mpaka sasa ninavyoandika hapa hukoanachapika vizuri sana.
Soma Pia: Israel kuishambulia Iran mapema badala ya kusubiri ishambuliwe, taarifa za kiintelijensia zaendelea kukusanywa
=============
Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.
The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".
Iran: Explosions heard in Tehran as Israel confirms strikes
Mkuu sio Israel bali ni Israel + mume wake Marekani wamejiaibisha maana hakuna chochote walichofanya zaidi ya kujikosha waonekane angalau wamejibu.ππNimeangalia hizo video itoshe kusema hamna kitu Israel amefanya. Air defense za Iran zipo active vibaya sanaa
Neyanyahu ni mwamba kwelikweli, hata wewe hukuamini kama Israel angejibu sasa kaonesha kwa vitendo. Huwezi ruhusu nchi ikushambulie wewe uchukulie poa. Kuanzia sasa Iran atafikiria mara mbilimbili kabla ya kurudia ujinga wake.Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.
Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...
Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...π€£