Huyo baba wa dunia anashushwa ,kila sehem kabanwaKuna hatari ya mtu kupanic na kumpiga mwenzake Nuklia.
USA kama Baba wa dunia yeye ndio anapaswa kuweka busara mezani na kutatua tatizo la mashariki ya kati lakini nayeye anachukua upande na kumsaidia mmoja wao.
Mashariki ya kati inataka suluhu itakayohusisha mataifa yoote ya mashariki ya kati ili Palestina wapate Taifa Lao nao waishi kama wanadamu wengine.
Siamini kama IDF nayo imeshambulia nyasi ...Neyanyahu ni mwamba kwelikweli, hata wewe hukuamini kama Israel angejibu sasa kaonesha kwa vitendo. Huwezi ruhusu nchi ikushambulie wewe uchukulie poa. Kuanzia sasa Iran atafikiria mara mbilimbili kabla ya kurudia ujinga wake.
Miaka 4 si Kwa sababu Kuna USA mgongoni Kwa Ukraine au hujaelewa nilichosema?Russia hyu anaemaliza miaka 4 ukrein?
Mvaa kilemba unateseka sana, Mwanaume kaingia geto kwako,kapiga machine kasepa fresh.Tulia we mpk kucha rangi,,,mbona uzi mrefu ila picha za mazara hatuoni ?
Picha zingine sio zenyewe.
Ila terhan watu wamekimbia mji.
Wengi hawajalala Leo.
Ongezeka na wewe ukawasaidie.Ayatollah amesema askari wajiandae kurusha makombora 1000, sasa hapo kumenoga.
Hakuna picha walio release IDF. Hizo ni fake newsJamaa wamepata aibu tu hamna kitu wamefanya mpaka wanaamua kutumia picha za zamaniView attachment 3135423
Aisee yaani vitu vinashushwa kama maembe ??jaman hizi video ni changu kwa kanisa la mito ya barakaHao ndio shia bhana , vitu vinapanguliwa kama utoto ...Israel anajitahidi kuwapa moyo wanaoamini ni taifa la Mungu ...Piga visima vya mafuta na nuclear sites huone sio unatumia vikoroketi . 😀 😀 😀
View: https://x.com/tariqtramboo/status/1850011134595674327
Israel kuliko kwenda kufanya retaliation nchini Iran mapema leo ambapo imekuwa kituko, ni bora wangekaa kimya, air defenses za Iran zimezuia makombora karibu yote ya Israel.
Vyanzo mbali mbali nchini Iran vinasema hali ni shwari, na jeshi la Iran limesema milipuko iliyosikika ilikuwa ni air defenses za Iran zinazuia makombora hayo.
View: https://www.youtube.com/watch?v=2iouwn8tLv0
Makombora yamezuiliwa kama fataki.
Iron dome imezidiwa na hio mifumo ya Iran Bavar, kumbe iron dome ni jina na kujipigia chapuo na hana kila kitu.
Kusema ukweli kama lengo ni kujibu tu ili aonekane kajibu hilo amefanikiwa kucheza na kuendeleza propaganda zake kwa makondoo kama nyie kwamba amejibu.Neyanyahu ni mwamba kwelikweli, hata wewe hukuamini kama Israel angejibu sasa kaonesha kwa vitendo. Huwezi ruhusu nchi ikushambulie wewe uchukulie poa. Kuanzia sasa Iran atafikiria mara mbilimbili kabla ya kurudia ujinga wake.
Sema hawa wanafanya maonesho ya bidhaa zao hata makombora yale yenye nguvu hawatumiii..KUna la kujifunza hapaAisee yaani vitu vinashushwa kama maembe ??jaman hizi video ni changu kwa kanisa la mito ya baraka
HAIJALISHI MKUU VYOVYOTE VILE BORA ISIWE KWENYE MRENGO WA MILA ZA KIARABU (UISLAM)
Tehran watu wanatembea kama hamna kituKwakweli kama haya ndio majibu ya Israel basi ayatollah aendelee kunywa kahawa na lemba lake hamna vita hapa
Unafikiri kira kitu kinazuiwa ...........wameshindwa mimba sembuse kombora...........hilo halina mabega kitu kama mshale tuMimi nafuatilia Al Jazeera now. Hivi Irani hawana mifumo ya kuzuia makombora kweli? Where are the S-400 as regarded as the most advanced ant missiles?
Yalirushwa mengi yamendunguliwa.