Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Israel anataka kuwapa moyo wale wanaomini ni taifa la Mungu .... 😀 😀 😀 Naangalia hapa Terhan hakuna shelters watu wanatembea hawana wasiwasi ....Zero targets.
Wakianza kuwaua msije kusema Mayahudi makatili
 
Hawana uwezo huo kama watu wanavyojua , wanachowin ni kimoja tu , kutumia mamluki kuwaua viongozi ila hawana uwezo wa kupigana moja kwa moja .

Israel hasa waziri mkuu anapata msukumo kutoka nje ili kulinda heshima ya wale wanaoamini ni taifa la Mungu ...Ila Iran anaweza kuifuta ndani ya lisaa kwa sababu ni sehemu ndogo ila shia sio wajinga kuwaua watu wasiokuwa na hatia .

Kiufupi wanapiga millitary sites wanaonesha kwamba wanaweza kufanya chochote .
 
Hapo Kuna mawili Wenda hakuna shambulio lolote. Wenda ni propaganda zimetengenezwa na wao pro Iran.

Maana Kuna kitaarifa kimesambaa kuwa IDF wameacha operation Lebanon kumbe ni fake news. Na video ya kuedit
Iran na israel wanafanya maonesho ya silaha zao , wanaoumia ni watoto wa palestina ila hao ni showoff
 
Pamoja na ‘wehu’ wake, kipindi akiwa madarakani hakukuwa na hizi vita. Huu ni ukweli, hata kama haukupendezi.

Chini ya Biden/ Harris, vita kila kona.

Ni vizuri kwenda na hali halisi kuliko hypotheticals.
Ni kweli, aliendeleza tu vita alivyovikuta huko Afghanistan, akapiga mabomu mengi sana Syria, akamuua Qasem Suleimani wa Iran, akawapa silaha nyingi sana Saudi Arabia katika vita vyao dhidi ya Yemen na akazuia Congress kudhibiti hiyo vita.

Tusisahu vita vyake vya Uchumi dhidi ya China na janga la COVID-19 lilivyotokea na kuharibu dunia under his watch.
 
Niko natazama habari sasa hivi from Iran naona maisha yanaendelea wanasema milipuko iliyosikika ni 3 tehran tu na nuclear facilities hazipata mashambulizi yoyote na pia milipuko michahce nje ya tehran ila maisha yanaendelea kama kawaida hakuna madhara makubwa.
 
 
Duh! Trump ndo alisababisha Covid? 🤣🤣🤣🤣
 
Aisee yaani vitu vinashushwa kama maembe ??jaman hizi video ni changu kwa kanisa la mito ya baraka
Yaani vijikombora vinamezwa kwa pamoja kama chura anavyomeza wadudu hivi.😂😂😂

Muajemi hoyeeee. Hapa sasa ndiyo dunia itaamini kwanini Iran ni mbabe maana wamejionea jinsi anga ilivyo salama wasalimini kwa mfumo imara kabisa wa ulinzi.
 
Shida yenu ni kuongolea vitu ambavyo hamjaviona hivyo kuongozwa na hisia. Kwa idadi ya ndege karibia 100 zilizotumika lazima kuna vitu vingi tu vimepigwa. Syria na Iraq pia wamepigwa ila hadi sasa ni video chache sana ambazo zinaonesha ukubwa wa tukio hili.
 
Jesus wouldn't approve of what these Zionist savages are doing, it's against Christian values. They don't care if they are killing Christian or Muslims. We are all scum to them.
Cheap propaganda where we're you when Israel was attacked on October 7?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…