Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Jesus wouldn't approve of what these Zionist savages are doing, it's against Christian values. They don't care if they are killing Christian or Muslims. We are all scum to them.
Are you Christian? Is this a war between Christians and Muslimus?
 
Where are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.

Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.

Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.

Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.

JESUS AND ISRAEL FOREVER
So far mashambuliziya Israyyanefeli,Iran katungua makombora karibu yote,waajemi wanaendelea na maisha. Israel anasambaza picha fake.

Aibu kubwa sana Israel amepata!!
20241026_070728.jpg
 
Kilemba ni mkongo na hua mwanamke hapaki mkongo,kingine huyo gasho kaishia nje angeingia ndan aone kama angetoka salama.
Pole Mkuu ila moto umepelekewa hapo hapo Geto.

Iran says Israel attacked its military bases
published at 06:41
06:41
Earlier Israel said its attacks were focused on military targets in Iran, and now Tehran appears to have confirmed this.

Iran's air defence forces said in a statement that bases in Tehran, Khuzestan and Ilam provinces were attacked.

They said the attacks had been successfully countered but that there was "limited damage" in some locations.
 
Mkuu Israel mpk sasa bado wapo vizuri tuu.
Kupigana vita na 1).Hezbollah ndani ya Lebanon
2.) kupigana na hamas Gaza.
3.) vikosi vya Israel. kuwepo west bank.
4). Kushambuliwa na Yemen.
5). Kushambuliwa na Iran na vitisho vingi.
6). Kuwa na kesi ICJ.
7). Vikwazo kimataifa.
Na baadhi ya nchi kuwazui kuwauzia siraha.
8). Vikosi vyake pia vipo Syria mkuu
Sio kwamba ni dhaifu mkuu. Hata hapa Africa hakuna nchi imewafi kukabiliana na hayo yote. Hata ukanda wa uarabuni wote ule. Na mpk america ya kusini.

Iran mwenyewe haijawahi kupata kashikashi kama hio.
Hayo yote nafanywa na basha wake Amerika, Israeli hana uwezo hata wakupigana na Tanzania.
1000003112.png
 
Jesus wouldn't approve of what these Zionist savages are doing, it's against Christian values. They don't care if they are killing Christian or Muslims. We are all scum to them.
Siku nyingi hii id nilikuwa sijaitia kumacho
 
Where are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.

Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.

Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.

Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.

JESUS AND ISRAEL FOREVER
S400,500 ,THAAD na machuma mengine ni matakataka tuu hayawesi kuzuia mabomu.

Kiufupi Teknolojia ya mifumo ya Ulinzi imefeli Dunia nzima.

Yaani drone inaingia Hadi nyumba ya Netanyahu,hapo Kuna Ulinzi? 😂😂😂😂
 
Ayatollaah na alivyo muoga sasa atakufa, maana hata kupiga ngumi tu hajui, hata kukimbia hawezi, kazi kufuga ndevu tu kama beberu
Sasa hivi anaishi mashimoni kama nguchiro kama mbabe kweli awe anajitokeza hadharani mara kwa mara. Netanyahu .mbona mara nyingi yuko hadharani sababu haogopi
 
Ukweli ni kwamba baada ya Selemani kuuliwa, hakukutokea vita yoyote ile kama ambavyo ilivyo hivi sasa.

Huo ndo ukweli hata kama ni mchungu.

Wakati wa Trump hakukuwa na vita huko Ukraine.

Wakati wa Trump hakukuwa na vita huko mashariki ya kati kama ilivyo hivi sasa.

Ambao wapo madarakani sasa hivi, yote haya yanayoendelea, yametokea chini yao na wameshindwa kuyazuia yasiendelee.

Lakini somehow mnataka tuamini kwamba Trump atakuwa mbaya zaidi…..kana kwamba hakuwahi kuwepo kwenye hiyo nafasi hapo awali!

Trump derangement syndrome is real 🤣.
Kweli baada ya Suleiman kunamadiliko yalitokea hata paka tulia lakini sasa Anarudi na hali ndio anaikuta hivi pengine na plan zilishawekwa je ataweza kuzisitisha? Maana US anapofanya kitu tayari ameona kuna maslahi yake. Hilo ndio linaipa mashaka
 
Aise Iran ni dunia nyingine wajameni.

Hapa naangalia kupitia televisheni vijikombora vilikuwa vinamezwa kama chatu anavyomeza wanyama wadogo wadogo.

Huu mfumo wa ulinzi alionao Iran utauzika sana ulimwenguni kote hata Mazayuni, Marekani na ulaya yote kwa vyovyote vile wanautamani na lazima waibe teknolojia iliyotumika kuundwa kwake.
 
S400,500 ,THAAD na machuma mengine ni matakataka tuu hayawesi kuzuia mabomu.

Kiufupi Teknolojia ya mifumo ya Ulinzi imefeli Dunia nzima.

Yaani drone inaingia Hadi nyumba ya Netanyahu,hapo Kuna Ulinzi? 😂😂😂😂
Tofauti ya Israel na Watu wengine, now wametoka tenda kwa makampuni ya ndani kuunda mifumo mipya ya kuzuia drone
 
Back
Top Bottom