Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Natamani Iran iliamshe moja kwa moja liwalo na liwe. Israel inahitaji mbabe mwenzake kama Iran ndio tutapata ladha ya vita. Siku Tel Aviv ikiwa magofu kama Gaza ndio akili itawakaa
 
Kabisa.

Kombora likidakwa na air defence system huwa halitoi mlipuko sababu mlipuko hutokea likitwanga mahali tu

Sasa hao wanaosema ohh yalidakwa uongo
Milipuko ilitokea sehemu mbali.mbali Iran ikiwemo Tehran ikimaanisha kuwa makombora yalitua penyewe na kutandika.Yangedakwa hewani kusingekuwepo milipuko aridhini.Yakidakwa hayalipuki

Ayatollah kapigwa huo uongo wa ohh tuneyadaka porojo
Videos za milipuko kama zile za Iran tafadhali
 
Hao ndio shia bhana , vitu vinapanguliwa kama utoto ...Israel anajitahidi kuwapa moyo wanaoamini ni taifa la Mungu ...Piga visima vya mafuta na nuclear sites huone sio unatumia vikoroketi . 😀 😀 😀



View: https://x.com/tariqtramboo/status/1850011134595674327

Kmmmke nadhani US kafanya kupima Air defence ya IRan hivyo kaondoka na notice leo. Iran ilitakiwa afanye intercept ya baadhi tu zenye madhara ili awahadae wajae
 
Where are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.

Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.

Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.

Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.

JESUS AND ISRAEL FOREVER
israel hawamuamini wala kumkubali huyo jesus wako acha kuchanganya mambo, israel wanaamini mungu mmoja na kwao ni makosa kumwita yesu mungu kama nyie makafir mnavyofanya
 
Mama Samia ongea na Iran kama tunaweza kununua hizo Air defense kwa sasa ni muhimu sana tuwe na vifaa vya kisasa vya kujilinda
 
Hapo nato wakitaka kumchosha Iran waitumie Israel kama wanavyoichosha urusi kwa kutumia Ukraine.

Wakihakikisha zimechoka kabisa ndiyo nato inaingia mzigoni kumaliza mchezo.

Hao nato sio wajinga wanavuta subira na wanajiandaa kimya kimya,
Wanamchosha vipi Iran kupitia Israel, huku Israel mwenyewe anachoshwa na kuwekwa busy na Hamas& Hezbollah?. Iran sio wajinga kusaport vikundi vya kumuweka busy Israel.
 
Kuna yule dada wa FirstPost, alikuwa akichambua uwezo wa Iran na Israel kijeshi, alipoanza kuchambua kuhusu air superiority, akasema, when it comes to air, of course "Iran will be flying antiques".

Hili neno antiques namwachia Nyani Ngabu alielezee.
 
Iran atakachosema ni kuwa mashambuliza ya Israel hayakufanikiwa ngoja imepita hiyo. Na usisahau Israel kuzuiwa sana na amerika asipige kwenye mafuta au nyuklia site so wamepunguza ukubwa kumuonyesha wanauwezo wa kumpiga. So mzigo umepita. Iran hatajibu na ishu imepita hiyo.

Ngoja tusubiri waajemi watasemaje lakini kilichofanyika na jeshi la wateule ni kichekesho.
Kama ni kichekesho si ndio sawa, waajemi wacheke waendelee na maisha mengine.

Maana kila mtu anasema mashambulizi ya mwenzie hayana madhara.
 
Natamani Iran iliamshe moja kwa moja liwalo na liwe. Israel inahitaji mbabe mwenzake kama Iran ndio tutapata ladha ya vita. Siku Tel Aviv ikiwa magofu kama Gaza ndio akili itawakaa
Iran alishaliamsha siku nyingi dhidi ya Israel wapiganaji wengi wa Hamas,Hezbollah nk ni makomandoo wa Iran wakitumia silaha xa Iran

Kote kamshinda Iran sasa anaingia Kushambulia Tehran
 
Unafunga safari na ndege zisizopungua 140 ndege za mafuta kutembea kilomita si chini ya 1500 then unafanya ujinga huo mwenzake akijibu kajipumzikia ndani anagusa tu batani ankuachia kilio tu
 
Kmmmke nadhani US kafanya kupima Air defence ya IRan hivyo kaondoka na notice leo. Iran ilitakiwa afanye intercept ya baadhi tu zenye madhara ili awahadae wajae
Yaani zimepanguliwa kama mtoto hata kufika level ya chini hazijafika ....Israel analinda heshima maana atawaangusha wanaomini ni taifa la Mungu ila hana kitu .


Angalia hapo Iran kwake na israel alivypigwa ..Mpaka sasa Iran 3 - 0 israel
 

Attachments

  • _LnkH1i8Z0MoFmUV.mp4
    1.1 MB
Hpo Jana Israel ilifanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran apo Jana usiku katika mashambulizi hayo ya makombora ambayo makombora yote ya Israel yaliyopigwa Jana yalizuiwa na mfumo wq air defence system wa Iran bavar.

Hili shambulio halijaleta madhara yoyote zaidi Tu ya kuleta Moshi mzito huko Tehran
Hakikaa Israel anamuogopa sana Iran wala hajapiga nyuklia facilities.

Sasa Iran umesema itajibu mara kumi huku ukiwa na taarifa kuwa Iran kurusha missiles 1000 hapo kesho Iran za hypersonic missiles huko tel Aviv
 
Aisee Kwa msaada mkubwa wa USA hapo.
Tena kwa msaada mkubwa mno, japo kama kawaida yao US, kishasema hajahusika na haya mashambulizi.
Alichofanya eti ni kumuonya Israel, asipige maeneo yenye vinu vya nuclear.
Iran, lazima ajibu hili, mtu ana nuclear halafu unamchezea sharubu. Hasira za BRICS currency anamaliziwa Iran.
 
Kwake alipigwa eti jana anatuma vibomu vya kuangushia nazi


Iran is leading ...Sasa jamaa wanacheka huku wanakunywa alkasus kwamba wakilipiza si watawamaliza mpaka ndugu zao maana air defense system ya israel ni dhaifu .
 

Attachments

  • _LnkH1i8Z0MoFmUV.mp4
    1.1 MB
Back
Top Bottom