Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Kombora likidakwa na air defence system huwa halitoi mlipuko

mlipuko hutokea likitwanga mahali tu

Sasa hao wanaosema ohh yalidakwa uongo
Milipuko ilitokea sehemu mbali.mbali Iran ikiwemo Tehran ikimaanisha kuwa makombora ya Israel yalitua penyewe na kutandika.Yangedakwa hewani kusingekuwepo milipuko aridhini.Yakidakwa hayalipuki wala kutoa moto

Ayatollah kapigwa huo uongo wa ohh tumeyadaka ni poro
 
Kwani wewe huoni hata kwenye video inasikika , ulizani kuyapangua ni kufanyaje !? Yanalipuliwa juu ili yasipige target hata mabaki yake yanaanguka kama ulikuwa hujui .
Hivi wewe umetazama video au umehadithiwa? Tafuta wenzako waliotazama hata Al Jazeera wakusimulie, kombora linapanguliwa angani sasa hiyo milipuko ya ardhini zilikuwa ni ninii
 
Mlisema Israel hawezi kuthubutu kujibu lile shambulizi la Iran kwa kurusha hata kombora 1, sasa amerusha ndege chache tu mmeanza tantarila zingine huku mkisahau kauli yenu ya mwanzo.

Halafu kushambulia Nuclear bases siyo jambo dogo mjue.Hiyo tayari itageuka kuwa World War III. Israel inajua athari zake zitakuwa kubwa sana. Hata huyo Iran anajua Israel ina nuclear, kwanini nayeye hapigi nuclear bases za Israel? Mnafikiri ni masihara eeeeh?
Tatizo humu wengi ni wajinga , wanafikiria kuipiga iran ni rahisi tena moja kwa moja ,....Kudelay kwa israel ni kupiga mahesabu jamaa naye atajibu ....Kule Gaza mbona anapiga tu hovyo ,hana uwezo wa kuwaua raia wa iran kama kule Gaza.

Aliambiwa kabisa kwamba asipige hizo nuclear sites ila apige kulinda heshima yake , huku Netanyhulu akipata msukumo kwa watu wake kwamba wasipopiga watapata aibu duniani .
 
Unaandika kwa hisia za kidini kwani wewe ulitaka shambulio liweje ndio ufurahie kwamba wameshambuliwa, mbona Iran wenyewe wanakiri wameshambuliwa na wanaongelea ulipizaji kisasi.

Hizi imani za kidini ni bure kabisa ndio maana mimi nazipinga.
 
Duuuh apo Jana Israel ilifanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran apo Jana usiku katika mashambulizi hayo ya makombora ambayo makombora yote ya Israel yaliyopigwa Jana yalizuiwa na mfumo wq air defence system WA Iran bavar,
Hili shambulio halijaleta madhara yoyote zaidi Tu ya kuleta Moshi mzito huko Tehran
Hakikaa Israel anamuogopa sana Iran wala hajapiga nyuklia facilities,
Sasa Iran umesema itajibu mara KUmi huku ukiwa na taarifa kuwa Iran Iran kurusha missiles 1000 apo kesho Iran za hypersonic missles huko tel Aviv


Haya rudi chumbani kwa P-Diddy
 
Hivi wewe umetazama video au umehadithiwa? Tafuta wenzako waliotazama hata Al Jazeera wakusimulie, kombora linapanguliwa angani sasa hiyo milipuko ya ardhini zilikuwa ni ninii
Mkuu wewe ulie ona video mtuwekee humu mbona iran katika shambulizi lake video zilijaa humu huko vip hakuna live stream naona mipasho na maandishi tu.
 
Hivi wewe umetazama video au umehadithiwa? Tafuta wenzako waliotazama hata Al Jazeera wakusimulie, kombora linapanguliwa angani sasa hiyo milipuko ya ardhini zilikuwa ni ninii
Naangalia Al jazeera hapa ... sasa niambie nuclear site ipi imepigwa ?

Wewe angalia tu hii hapa chini, jaribu kufananisha Iran vs israel nan kapigwa ? nan mfumo wake uko makini?
F
 

Attachments

  • _LnkH1i8Z0MoFmUV.mp4
    1.1 MB
Aah wapi, Umewahi kusikia Iran inaenda kuomba ruhusa nchi yoyote ili kupiga. Yenyewe inatwanga kwa maamuzi yake.

Infact Iran ndo anamsaidia Urusi drones za kupigana huko Ukraine.
Zile S400 zinafanya nini kule Tehran, kumbe Iran nao hakuna kitu nao wanasaidiwa Air defense
 
Israel anapiga targets kwenye ncho karibu sita kwa wakati mmoja!

The attack occurred in three major waves, with the second and third waves targeting Iranian drone and missile production sites, hitting over 20 targets​

Over 100 planes were involved in the 2000 k.m. attack, including the cutting-edge F-35.

Israel reportedly attacked the location of the headquarters of the Islamic Revolutionary Guards Corps in Iran.

Karaj, one of the cities where explosions were heard, contains one of Iran's nuclear power plants.

Israel also attacked targets in Syria, with the Syrian military confirming that the IDF had struck sites across central and southern Syria.

Explosions were also reported in Iraq as part of the series of responses to Iran and its proxy groups throughout the region.

There were no planes flying over Syria or northern Iraq during the time of the attack. Iran closed its airspace following the attack.

Early On Friday, a fire was reported at an Iranian Defense Ministry site in Tehran
Ingekuwa ni Iran imefanya shambulizi tungeomba ushahidi wa picha au video, ila kwakuwa shambulizi limefanywa na taifa teule inabidi tukubali na kuamini tu kuwa Israel imeupiga mwingi, Iran kachapika.
Au vipi?
 
Duuuh apo Jana Israel ilifanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran apo Jana usiku katika mashambulizi hayo ya makombora ambayo makombora yote ya Israel yaliyopigwa Jana yalizuiwa na mfumo wq air defence system WA Iran bavar,
Hili shambulio halijaleta madhara yoyote zaidi Tu ya kuleta Moshi mzito huko Tehran
Hakikaa Israel anamuogopa sana Iran wala hajapiga nyuklia facilities,
Sasa Iran umesema itajibu mara KUmi huku ukiwa na taarifa kuwa Iran Iran kurusha missiles 1000 apo kesho Iran za hypersonic missles huko tel Aviv
Iran wenyewe wamekiri kuwa
“limited damage” was caused to some locations.

In a statement, the Iranian air defense says Israel attacked military targets in the provinces of Tehran, Khuzestan and Ilam.
halafu wewe shabiki urojo unaandika utumbo
 
Duuuh apo Jana Israel ilifanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran apo Jana usiku katika mashambulizi hayo ya makombora ambayo makombora yote ya Israel yaliyopigwa Jana yalizuiwa na mfumo wq air defence system WA Iran bavar,
Hili shambulio halijaleta madhara yoyote zaidi Tu ya kuleta Moshi mzito huko Tehran
Hakikaa Israel anamuogopa sana Iran wala hajapiga nyuklia facilities,
Sasa Iran umesema itajibu mara KUmi huku ukiwa na taarifa kuwa Iran Iran kurusha missiles 1000 apo kesho Iran za hypersonic missles huko tel Aviv
Kikubwa Iran imeshambuliwa huo ni ujumbe tosha
Hawa Islamists wafuasi wa Paedophile Muhammad na waabudu wa kaallah, shetani ni WAONGO WAONGO na hawajishughulishi kusoma kama vile Paedophile wao Muhammad alivyokuwa mbumbumbu. Huyu jamaa anasema Israel ilirusha makombora, UONGO ULIOUCHI. Israel ilituma ndege na ndege zote zimerudi salama. Sasa hao Maayatollah wetu watume ndege Israel kama zitarudi. Nyinyi na Maayatollah wenu mmekalia kufanya ngono na wanyama ndiyo maana hamna baraka za Mungu. Ona alichosema Ayatollah wenu
Screenshot_20231124-085329.png
 
Back
Top Bottom