ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kiufupi Israel imeleta hasara huko Tehran kuliko kuliko mashambulizi ya Iran Kwa Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mnaigopa Marekani wavaa KobazAisee Kwa msaada mkubwa wa USA hapo.
Hili la drone za Iran kutumika Ukraine limekaa kigharama zaidi.Infact Iran ndo anamsaidia Urusi drones za kupigana huko Ukraine.
Hana uwezo huo, Ayatollah asali ili Republican wasichukue nchi maana watamfanya mbaya kuliko Saddam HusseinTaabu kubwa Iran kasema wakimvuruga anafunga biashara ya mafuta duniani baharini huko utakao umia ni sisi tunatumia mafuta kwa 90%
Kwa Nini hawajapeleka Syria na Lebanon 😂😂Aise Iran ni dunia nyingine wajameni.
Hapa naangalia kupitia televisheni vijikombora vilikuwa vinamezwa kama chatu anavyomeza wanyama wadogo wadogo.
Huu mfumo wa ulinzi alionao Iran utauzika sana ulimwenguni kote hata Mazayuni, Marekani na ulaya yote kwa vyovyote vile wanautamani na lazima waibe teknolojia iliyotumika kuundwa kwake.
Upuuzi,hakuna wa kuzuia hizo drone Mzee maana zikishachangamana na mawingu Utasikia kichapo tuu.Tofauti ya Israel na Watu wengine, now wametoka tenda kwa makampuni ya ndani kuunda mifumo mipya ya kuzuia drone
Ayatollah kuanzia Leo hajisumbui Tena na hii vita utaniambia mkuuTunaambiwa ayotolah alikua kalala ,wakaona aina haja ya kumsumbua usiku usiku kwa tatizo dogo kama hilo
Mkuu hio picha ni fake ilishazungumziwa. Hata na hio taarifa ni fake pia kaka.
Njoo na habari na uhakika mkuu.
View: https://x.com/AdameMedia/status/1849886097263759424?t=K31cC4mm0hOz7mpmPX_mAg&s=19
Usiwe kama Hawa ☝️ kumbe ni fake news
Yaani hapo ni comedy , vita iko kule Palestina ....Sasa kama kila mtu ana defense system , hakuna vta hapo.Nahata Iran hatua anayochukua ni kurusha makombola tuu. Kubaba askari wake zaidi ya 200,000 na kuwapeleka Lebanon au Syria ni ngumu sana, maana kuloss itakuwa wazi wazi ikumbukwe yeye ni mbali na home kwake.
Israel has been at war with Palestinians since 1948, the year of the founding of the modern day state of Israel.Cheap propaganda where we're you when Israel was attacked on October 7?
Kabisa.Kiufupi Israel imeleta hasara huko Tehran kuliko kuliko mashambulizi ya Iran Kwa Israel
Huyo ni USA ukitumia akili utajua hapo sasa ni mrussi anatakiwa kufanya kazi yake kwa marekani🤣🤣
Hivi si ulisema Israel imefyata na haitojibu mapigo?
Imekuwaje tena sasa?
Hasara gani ?Kiufupi Israel imeleta hasara huko Tehran kuliko kuliko mashambulizi ya Iran Kwa Israel
Na Bado imefeli aisee yule Mzee usimuone anatembea na joho lake na bakora kumbe hafai.mmhAisee Kwa msaada mkubwa wa USA hapo.