Are you Christian? Is this a war between Christians and Muslimus?Jesus wouldn't approve of what these Zionist savages are doing, it's against Christian values. They don't care if they are killing Christian or Muslims. We are all scum to them.
Kawaida tu ni kama ambavyo Iran hamna kitu bila msaada mzito wa russia na china.
So far mashambuliziya Israyyanefeli,Iran katungua makombora karibu yote,waajemi wanaendelea na maisha. Israel anasambaza picha fake.Where are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.
Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.
Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.
Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.
JESUS AND ISRAEL FOREVER
Pole Mkuu ila moto umepelekewa hapo hapo Geto.Kilemba ni mkongo na hua mwanamke hapaki mkongo,kingine huyo gasho kaishia nje angeingia ndan aone kama angetoka salama.
Taabu kubwa Iran kasema wakimvuruga anafunga biashara ya mafuta duniani baharini huko utakao umia ni sisi tunatumia mafuta kwa 90%Tuombe hii vita isitanuke Zaid maana sisi walala hoi ndio tutapata tabu
Hayo yote nafanywa na basha wake Amerika, Israeli hana uwezo hata wakupigana na Tanzania.Mkuu Israel mpk sasa bado wapo vizuri tuu.
Kupigana vita na 1).Hezbollah ndani ya Lebanon
2.) kupigana na hamas Gaza.
3.) vikosi vya Israel. kuwepo west bank.
4). Kushambuliwa na Yemen.
5). Kushambuliwa na Iran na vitisho vingi.
6). Kuwa na kesi ICJ.
7). Vikwazo kimataifa.
Na baadhi ya nchi kuwazui kuwauzia siraha.
8). Vikosi vyake pia vipo Syria mkuu
Sio kwamba ni dhaifu mkuu. Hata hapa Africa hakuna nchi imewafi kukabiliana na hayo yote. Hata ukanda wa uarabuni wote ule. Na mpk america ya kusini.
Iran mwenyewe haijawahi kupata kashikashi kama hio.
Siku nyingi hii id nilikuwa sijaitia kumachoJesus wouldn't approve of what these Zionist savages are doing, it's against Christian values. They don't care if they are killing Christian or Muslims. We are all scum to them.
Pole Dogo, umepigwa na kitu chenye ncha Butu GetoNyie watu wa Oct 7 naonaga mnajitia hamnazo ,Vita haijaanza Oct 7 ebu kuweni waelewa bhc au kisa nyie ni kondoo ndio mtusumbue kuwaelewesha kila siku
Mamame nyani kesha tema bungo huyo.
Mkuu hio picha ni fake ilishazungumziwa. Hata na hio taarifa ni fake pia kaka.Hayo yote nafanywa na basha wake Amerika, Israeli hana uwezo hata wakupigana na Tanzania.
View attachment 3135456
S400,500 ,THAAD na machuma mengine ni matakataka tuu hayawesi kuzuia mabomu.Where are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.
Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.
Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.
Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.
JESUS AND ISRAEL FOREVER
Sasa hivi anaishi mashimoni kama nguchiro kama mbabe kweli awe anajitokeza hadharani mara kwa mara. Netanyahu .mbona mara nyingi yuko hadharani sababu haogopiAyatollaah na alivyo muoga sasa atakufa, maana hata kupiga ngumi tu hajui, hata kukimbia hawezi, kazi kufuga ndevu tu kama beberu
Kweli baada ya Suleiman kunamadiliko yalitokea hata paka tulia lakini sasa Anarudi na hali ndio anaikuta hivi pengine na plan zilishawekwa je ataweza kuzisitisha? Maana US anapofanya kitu tayari ameona kuna maslahi yake. Hilo ndio linaipa mashakaUkweli ni kwamba baada ya Selemani kuuliwa, hakukutokea vita yoyote ile kama ambavyo ilivyo hivi sasa.
Huo ndo ukweli hata kama ni mchungu.
Wakati wa Trump hakukuwa na vita huko Ukraine.
Wakati wa Trump hakukuwa na vita huko mashariki ya kati kama ilivyo hivi sasa.
Ambao wapo madarakani sasa hivi, yote haya yanayoendelea, yametokea chini yao na wameshindwa kuyazuia yasiendelee.
Lakini somehow mnataka tuamini kwamba Trump atakuwa mbaya zaidi…..kana kwamba hakuwahi kuwepo kwenye hiyo nafasi hapo awali!
Trump derangement syndrome is real 🤣.
Tofauti ya Israel na Watu wengine, now wametoka tenda kwa makampuni ya ndani kuunda mifumo mipya ya kuzuia droneS400,500 ,THAAD na machuma mengine ni matakataka tuu hayawesi kuzuia mabomu.
Kiufupi Teknolojia ya mifumo ya Ulinzi imefeli Dunia nzima.
Yaani drone inaingia Hadi nyumba ya Netanyahu,hapo Kuna Ulinzi? 😂😂😂😂
Hata hizo taarifa zako wewe nazo nifeki tu, wacha tuendelee kulishana matangopori.Mkuu hio picha ni fake ilishazungumziwa. Hata na hio taarifa ni fake pia kaka.
Njoo na habari na uhakika mkuu.
View: https://x.com/AdameMedia/status/1849886097263759424?t=K31cC4mm0hOz7mpmPX_mAg&s=19Usiwe kama Hawa ☝️ kumbe ni fake news