USA HUYO SIYO ISRAEL KAMA ISRAELMlisema Israel hawezi kuthubutu kujibu lile shambulizi la Iran kwa kurusha hata kombora 1, sasa amerusha ndege chache tu mmeanza tantarila zingine huku mkisahau kauli yenu ya mwanzo.
Halafu kushambulia Nuclear bases siyo jambo dogo mjue.Hiyo tayari itageuka kuwa World War III. Israel inajua athari zake zitakuwa kubwa sana. Hata huyo Iran anajua Israel ina nuclear, kwanini nayeye hapigi nuclear bases za Israel? Mnafikiri ni masihara eeeeh?
Yes. I'm Christian.
No, the Israel are predominately Jewish and Palestinians are Muslims and Christians.
HahahaWameshambulia wapi ? Mbona unaleta video za Beirut .
Iran amepigwa usiku wa leo mkuu!Video za Beirut bro , pigeni kweli sio mnacheza
Nadhani una tatizo la BP ,Kisukari na mgogoro wa ndoa. Kuna jirani yangu naye kitu kidogo utasikia " Mpumbavu Mkubwa wewe"Mpumbavu mkubwa wewe yaan tukuamini wewe kama nani?
Eti mniamini kuna mazungumzo
Israel hajadiliani na magaid
Dawa ya mshenzi ni kumpelekea motooo hasaa
Iran wenyewe wanakiri kwamba imetokea "minor damage " hiyo pekee inatosha maana wajuzi tunaelewa mara nyingi lazima ufiche taarifa kuondoa hofu kwa wananchi.Iran mkubwa wewe , hapo ndio utaona israel hana uwezo 😀 😀 😀
Iran yaani mashia wana huruma ila wakiamua wanafanya atrocities pale Israel mpaka mtabaddilisha maandiko kweny vitabu vyenu .
😂😂😂😂Kwa kuongezea mkuu, umesahau kuwa Israel hata akipigwa huwa haelezi pia.
Angalia huo mzikiIran wenyewe wanakiri kwamba imetokea "minor damage " hiyo pekee inatosha maana wajuzi tunaelewa mara nyingi lazima ufiche taarifa kuondoa hofu kwa wananchi.
Iran ilijizatiti kwa mifumo ya urussi miaka mingi sana na sasa anazidi kununua na kuboresha ya kwake ...iran imeajiri mainjinia wa siraha kutoka urusi mia 600 na china 200 wanafanya kazi usiku na mchana na inatumia fedha kupata technology yoyote inayo itska dunianiMfumo wa ulinzi wa Irani upo vizuri
Kwamba mnajifanya vipofu ama!!
Ona aibu hata kidogo mkuu.Iran mwenyewe haijawahi kupata kashikashi kama hio.
This is not going to end well for both sides.
My prayers are for the innocent people.
Maisha nyuma ya Keyboard matamu sana.
Alichofanya Iran Kwa Israel ilikuwa siyo kujitafutia balaa?. Israel kihistoria ni taifa la visasi na likuwa lazima watalipiza tu.Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.
Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...
Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Hahahhahaa umepigika mpaka unaleta video ya kwanza siku mlio chakazwa pale tel aviv videovya pili ni Beirut hahahahhahahahah🤣🤣🤣Kwamba mnajifanya vipofu ama!!
Bora umemkumbusha mkuu. Walioijua Israel walisema ni taifa la kisasi watalipiza tu. Na kweli wamefanya.🤣🤣
Hivi si ulisema Israel imefyata na haitojibu mapigo?
Imekuwaje tena sasa?
Aaah, kweli mkuu?Kiufupi Israel imeleta hasara huko Tehran kuliko kuliko mashambulizi ya Iran Kwa Israel
?????Ona aibu hata kidogo mkuu.
Huyo anayegawa hizo S400 mbona na yeye anachapika chumbani kwake kabisaMbona video haionyeshi makombora yalipanguliwa, alafu Iran nae mweupe tu kapewa S400 AD na Urusi, Hana mfumo wa ulinzi huyo muajemi
Picha au video ya madhara hauna kaka?Kulipua sehemu yalikopiga sehemu za.kijeshi