Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

USA HUYO SIYO ISRAEL KAMA ISRAEL
 
Yes. I'm Christian.
No, the Israel are predominately Jewish and Palestinians are Muslims and Christians.

So why are you talking about Jesus, Didnt He say there will be wars and rumors of wars. Au war ni kuimbiana nyimbo?

Hii ni vita between Israel and Iran. Jews christians and muslimus ni ushabiki tu.

Christians kills each, so as muslims. why Jesus in this one?
 
Mpumbavu mkubwa wewe yaan tukuamini wewe kama nani?
Eti mniamini kuna mazungumzo
Israel hajadiliani na magaid
Dawa ya mshenzi ni kumpelekea motooo hasaa
Nadhani una tatizo la BP ,Kisukari na mgogoro wa ndoa. Kuna jirani yangu naye kitu kidogo utasikia " Mpumbavu Mkubwa wewe"
 
Iran mkubwa wewe , hapo ndio utaona israel hana uwezo 😀 😀 😀


Iran yaani mashia wana huruma ila wakiamua wanafanya atrocities pale Israel mpaka mtabaddilisha maandiko kweny vitabu vyenu .
Iran wenyewe wanakiri kwamba imetokea "minor damage " hiyo pekee inatosha maana wajuzi tunaelewa mara nyingi lazima ufiche taarifa kuondoa hofu kwa wananchi.
 
Mfumo wa ulinzi wa Irani upo vizuri
Iran ilijizatiti kwa mifumo ya urussi miaka mingi sana na sasa anazidi kununua na kuboresha ya kwake ...iran imeajiri mainjinia wa siraha kutoka urusi mia 600 na china 200 wanafanya kazi usiku na mchana na inatumia fedha kupata technology yoyote inayo itska duniani
 
Alichofanya Iran Kwa Israel ilikuwa siyo kujitafutia balaa?. Israel kihistoria ni taifa la visasi na likuwa lazima watalipiza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…