Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Tumia akili mifumo ya ulinzi wa snga inapo anza kufanya kazi ni lazima anga lifungwe maana ni hatari hata kwa ndege zenu wenyewe na kimataifa
Uongo mbona Israel huwa haifungi viwanja vyake nchi nzima kama Iran?
 
Mbona haueleweki ndugu.

Mara akishambuliwa wanaume wanamalizana nae, mara hawezi kujibu na ishu imeshapita.

Kuwa na msimamo mmoja ueleweke basi, au kaa kimya tu sio lazima uchangie kila kitu.
Nilikuwa namjibu mjinga mmoja kila siku kazi yake ni kututisha Israel hawez kujibu
 
Tumia akili mifumo ya ulinzi wa snga inapo anza kufanya kazi ni lazima anga lifungwe maana ni hatari hata kwa ndege zenu wenyewe na kimataifa
Achana na hiyo takataka mkuu. Hajui chochote jf kila mtu anajifanya anaelewa mambo ya middle east kumbe ni wale wale wa nimemaliza na GPA ya 32. By the way Iran keshafungua anga lake kitambo sana. Reference hii hapa
FB_IMG_17299218421769528.jpg
 
maana wajuzi tunaelewa mara nyingi lazima ufiche taarifa kuondoa hofu kwa wananchi.
Aaaah, kumbe!?
Kama tumeanza kuelewana hivi!

Kwahiyo unamaanisha na Israel ilificha taarifa ya madhara ya kichapo walichopewa na Iran ili kuondoa hofu kwa wananchi, eti Broh? Au hii nadharia haifanyi kazi tunapolizungumzia taifa teule?
 
Israeli ilifanya mashambulizi makubwa dhidi ya Iran Jumamosi asubuhi, kama sehemu ya kisasi chake dhidi ya shambulio la kombora kutoka Tehran mapema mwezi huu.

Shambulizi hilo kutoka kw Iran linaibua hofu kwamba mzozo wa muda mrefu kati ya majeshi haya yenye nguvu unaweza kugeuka na kuwa vita vya kikanda.

Jeshi la Israeli limesema lililenga "maeneo ya kijeshi" ya uhakika nchini Iran, huku vyombo vya habari vya serikali ya Iran vikiripoti milipuko kadhaa.

Chanzo cha jeshi la Israeli kiliiambia CNN kwamba malengo ya kulipiza kisasi hayakujumuisha miundombinu ya nishati. Iran imesema Israeli ilishambulia vifaa vya kijeshi kote nchini humo, na kusababisha “uharibifu mdogo” katika baadhi ya maeneo.


Uamuzi wa Israeli kushambulia kile ilichokiita malengo ya kijeshi ya Iran ulifanywa baada ya wiki kadhaa za mashauriano ndani ya baraza lake la usalama kuhusu aina na upeo wa shambulizi hilo, kulingana na maafisa wa Israeli.

Soma Pia: Israel kuishambulia Iran mapema badala ya kusubiri ishambuliwe, taarifa za kiintelijensia zaendelea kukusanywa
=============


Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.

The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".

Source: CNN

1. Mashambulizi hayakuwa na madhara yoyote.

IMG_20241026_092242.jpg


2. Msayuni kasema kwa upande wake mchezo umeisha.

3. Ndume zinaogopana, na huo ndiyo ulio ukweli mchungu:

IMG_20241026_090324.jpg
 
Za kuambiwa changanya na zako
Iran wamefunga viwanja vyote vya ndege.Jiulize kwa nini iwapi hayo makombora ya Israel hayakuleta madhara yeyote si safari za ndege zingeendelea kama kawaida na viwanja kuwa wazi?


View: https://youtu.be/tvAyK6s0M1w?si=HGUsvcEBpDEikrKb

Aise kwahiyoo wewe ukisikia viwanja vya ndegee. Vimefungwa. Akili yako Moja kwa Moja inajuwa hizo airport zimeshambuliwa??😂
 
Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Umeishiwa akili ya kujua kuwa magaidi wanashambulia wakiwa katikati ya raia? Kama gaidi limejificha katikati ya raia, linapolengwa, kwa nini madhara yasiwapate raia? Mbona ni akili ndogo sana kulijua hilo.

Ungekuwa na akili japo kidogo sana, ungesema kuwa kwa vile majeshi ya Iran hayajificha kwenye makazi au shughuli za kirai, na kwa vile Israel inashambulia military targets, hakutakuwa na madhara makubwa kwa raia, kama ilivyotokea kwa Israel iliposhambuliwa na Iran. Raia hakuna aliyekufa, wala mwanajeshi yeyote wa Isrsel, wala nyumba yoyote ya makazi.

Kwa ujumla, jeshi la Israel ni la watu wastaarabu. Hawarushi makombora hovyo, wala wao wenyewe hawajifichi kwenye makazi ya raia. Tatizo lipo upande wa magaidi ya Hezbollah na Hamas yanayotumia binadamu wasio askari kama ngao, yaani ama uache kuyashambulia au kabla yenyewe hayauawa, wafe kwanza raia.

Haya magaidi hayana utu wala ubinadamu. Fikiria kule Gaza na Lebanon, yakija yakaweka silaha zao au yakawa yanashambulia kutoka kwenye nyumba yako, wewe au majirani wakitaka kulihama hilo eneo, yanakuua!! Sasa majitu majitu ya hivi, si mashetani tu haya?
 
Ayatollah amesema askari wajiandae kurusha makombora 1000, sasa hapo kumenoga.
Hayo makombora 1,000 kwa urushaji ule holela wa Iran, ni upotevu wa hela kwa nchi ambayo wananchi wake walio wengi wananuka umaskini wa kutupwa. Mengi ya hayo makombora yataishia nyikani, kama yale 300 ya mwanzo.
 
Tunaposema Iran ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati na dunia kwa ujumla enyi makondoo muwe mnaelewa.

Yaani Israel ameshindwa kujibu shambulizi kibabe hadi akapelekewa vindege na bwana wake Marekani ili viruke vikatupe vimondo kuondoa tu aibu ya kushindwa kulipiza kisasi.

Kwamba Israel hana teknolojia ya kukaa sebuleni kwake akashambulia nchi nyingine kama afanyavyo mbabe Iran isipokuwa anatumia njia ya kizamni za kutuma vindege kweli.😂😂

Marekani wakati anapigana na Japan miaka ya 1940 na Marekani na Vietnam ndiyo mambo ya kutuma ndege yalikuwa yameshamiri.

Dunia ya leo unakaa sebuleni kwako unakunywa kahawa huku unajipigia popote duniani upatakapo.
Yeye alileta madhara gani. Kapimiwa kipimo alichopima yeye.
 
Back
Top Bottom