Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Tumia akili mifumo ya ulinzi wa snga inapo anza kufanya kazi ni lazima anga lifungwe maana ni hatari hata kwa ndege zenu wenyewe na kimataifa
Uongo mbona Israel huwa haifungi viwanja vyake nchi nzima kama Iran?
 
Mbona haueleweki ndugu.

Mara akishambuliwa wanaume wanamalizana nae, mara hawezi kujibu na ishu imeshapita.

Kuwa na msimamo mmoja ueleweke basi, au kaa kimya tu sio lazima uchangie kila kitu.
Nilikuwa namjibu mjinga mmoja kila siku kazi yake ni kututisha Israel hawez kujibu
 
Tumia akili mifumo ya ulinzi wa snga inapo anza kufanya kazi ni lazima anga lifungwe maana ni hatari hata kwa ndege zenu wenyewe na kimataifa
Achana na hiyo takataka mkuu. Hajui chochote jf kila mtu anajifanya anaelewa mambo ya middle east kumbe ni wale wale wa nimemaliza na GPA ya 32. By the way Iran keshafungua anga lake kitambo sana. Reference hii hapa
 
maana wajuzi tunaelewa mara nyingi lazima ufiche taarifa kuondoa hofu kwa wananchi.
Aaaah, kumbe!?
Kama tumeanza kuelewana hivi!

Kwahiyo unamaanisha na Israel ilificha taarifa ya madhara ya kichapo walichopewa na Iran ili kuondoa hofu kwa wananchi, eti Broh? Au hii nadharia haifanyi kazi tunapolizungumzia taifa teule?
 

1. Mashambulizi hayakuwa na madhara yoyote.



2. Msayuni kasema kwa upande wake mchezo umeisha.

3. Ndume zinaogopana, na huo ndiyo ulio ukweli mchungu:

 
Aise kwahiyoo wewe ukisikia viwanja vya ndegee. Vimefungwa. Akili yako Moja kwa Moja inajuwa hizo airport zimeshambuliwa??πŸ˜‚
 
Umeishiwa akili ya kujua kuwa magaidi wanashambulia wakiwa katikati ya raia? Kama gaidi limejificha katikati ya raia, linapolengwa, kwa nini madhara yasiwapate raia? Mbona ni akili ndogo sana kulijua hilo.

Ungekuwa na akili japo kidogo sana, ungesema kuwa kwa vile majeshi ya Iran hayajificha kwenye makazi au shughuli za kirai, na kwa vile Israel inashambulia military targets, hakutakuwa na madhara makubwa kwa raia, kama ilivyotokea kwa Israel iliposhambuliwa na Iran. Raia hakuna aliyekufa, wala mwanajeshi yeyote wa Isrsel, wala nyumba yoyote ya makazi.

Kwa ujumla, jeshi la Israel ni la watu wastaarabu. Hawarushi makombora hovyo, wala wao wenyewe hawajifichi kwenye makazi ya raia. Tatizo lipo upande wa magaidi ya Hezbollah na Hamas yanayotumia binadamu wasio askari kama ngao, yaani ama uache kuyashambulia au kabla yenyewe hayauawa, wafe kwanza raia.

Haya magaidi hayana utu wala ubinadamu. Fikiria kule Gaza na Lebanon, yakija yakaweka silaha zao au yakawa yanashambulia kutoka kwenye nyumba yako, wewe au majirani wakitaka kulihama hilo eneo, yanakuua!! Sasa majitu majitu ya hivi, si mashetani tu haya?
 
Ayatollah amesema askari wajiandae kurusha makombora 1000, sasa hapo kumenoga.
Hayo makombora 1,000 kwa urushaji ule holela wa Iran, ni upotevu wa hela kwa nchi ambayo wananchi wake walio wengi wananuka umaskini wa kutupwa. Mengi ya hayo makombora yataishia nyikani, kama yale 300 ya mwanzo.
 
Picha za uongo hizo, weka live stream.

Iliposhambuliwa Israel na Iran tuliona live stream kwa masaa sita.
Au jaribio limezimwa mapema na Waajemi?
Irani ilipoishambulia Israel
 
Yeye alileta madhara gani. Kapimiwa kipimo alichopima yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…