Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Ndege 100 halafu hawajalenga hata nzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] matumizi mabaya ya pesa za misaada!!
 
Madhara ya kupikwa ili kuendeleza ile kauli ya wanaoamini ni taifa la Mungu ila kwa ground halina kitu ...Twitter hiyo imeonesha video ya kupikwa ...Kwa nn msiwe wazi mnatembelea propaganda?

Mnaleta picha za Beirut, halafu hata mods humu ndani wanafuta .
 
Marekani analazimisha kuongoza mashariki ya kati ..kwa lazima ili aweze kuishape atakavyo lakin anasahu kuwa hayo mambo yameshaapitwa na wakati
 
Ayatollah sidhani kama Christmas itamkuta hai maana hawa mossad wako very strategic kwenye jambo lao
 
Hilo limlipuko kuna kenge zinasema hakuna madhara
 
Ayatollah sidhani kama Christmas itamkuta hai maana hawa mossad wako very strategic kwenye jambo lao
2025 huyu anaweza asifike akimbilie RUSSIA ila watampitishaje
 


Iran wao wanasema wamepoteza Askari, mvaa kobazi humu anasema hakukuwa na kitu, Iran sasa yuko njia Moja na Hezbollah
 
Kumbe ndege za Israel hazikuingia Iran zilitumia anga la Iraq kurusha makombora

Kumbe shambulizi la Israel dhidi ya Iran ndege za Israel hazikuingia Iran kupiga!! Badala yake zilienda hadi anga la Iraq na Syria kisha kurusha makombora kuelekea Iran

[emoji298]️ATTENTION:

[emoji1130][emoji1134] According to our estimates, Israeli warplanes did not enter Iranian airspace. Instead, they launched missiles from outside Iran’s borders, possibly from Iraq, Syria, or Saudi Arabia.

This approach may have been chosen to avoid risking their aircraft.
 
Hili jambo lina ukweli kabisaa, US ndio mtumwa wa Israel, na sio US hata UK ni mtumwa pia
 
Mchawi wa Israel ni Pantasirs za Russia 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBk-NQkq6zN/?igsh=MXQzZGpnd253cWNpZQ==
 
Ngoja tusubiri taarifa kamili ila kwa Saudi Arabia nakataa kwasababu wamekuwa watu wa mwanzoni kulaani Israel
 
Hivi kuna IRAN mbili...?
Maana Iran nayoifahamu ipo shwari.

Naona video na mapicha ya kubumba ya miaka ya nyuma ndiyo zimezagaa.

Je...ni IRAN ya wapi iliyo shambuliwa na IsraelU.S.A.UK...?
 
Hivi kuna IRAN mbili...?
Maana Iran nayoifahamu ipo shwari.

Naona video na mapicha ya kubumba ya miaka ya nyuma ndiyo zimezagaa.

Je...ni IRAN ya wapi iliyo shambuliwa na IsraelU.S.A.UK...?
Fungua TV yako uangalie Al Jazeera utajionea ,,usikae huko vichakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…