Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

unahisi USA atasema direct anahusika mkuu? Hivyoo vyombo vya USA vilitoka germany kuingia israel ndo kuhusika kwenyewe hukoo. Ukishaona mgogoro Urusi ikitia pua jua USA lazima aweka mkono wake.
Wapumbavu tu, hamna watu wapumbav kama usa na wenzie akina uk na wapumbav wengine kama.ufaransa na wengineo, yan mtu ashambulie nchi yako aweke maisha ya wnaanchi hatarini halaf unaenda mbio mbio kwake kumuomba asirudishe majibu kwa hasira au kwa namna anavyotaka yeye, eti unampangia shambulia kwa kidogo tu huku ukiweka na huruma.kidogo, nchi nyingine za kipumbav kama uk anatoka kiongoz anasema tunawaomba mlioshambuliwa msirudishe majibu tunawaomba sana eti mtarefusha matatizo zaid upumbav tu, mbona kabla ya vita kuanza au chanzo cha haya yote walikua wapi kuzuia, siasa ni upumbav...ayatolah kasema anarudisha majibu, nataka sana arudishe ili taifa la israel lipate sababu kuntu ya kuiangamiza iran na huyo gaidi ayatolah
 
ENYI WATU , VITA SIO MPIRA WA SIMBA NA YANGA, VITA SIO KITU KIZURI, TUSISHABIKIE VITU VYA KIJINGA
 
Jesus wouldn't approve of what these Zionist savages are doing, it's against Christian values. They don't care if they are killing Christian or Muslims. We are all scum to them.
Umeongea point kubwa sana ambayo Christians wengi wanifumbia macho i don't know why, ila ukweli Christians and Islam are bloodly relative na hatuna baya
 
Aaaah, kumbe!?
Kama tumeanza kuelewana hivi!

Kwahiyo unamaanisha na Israel ilificha taarifa ya madhara ya kichapo walichopewa na Iran ili kuondoa hofu kwa wananchi, eti Broh? Au hii nadharia haifanyi kazi tunapolizungumzia taifa teule?
Ni kweli kabisa Israel ilificha na hata Iran hawezi kuweka wazi madhara ya hayo mashambulizi
 
Wakishatoa statement huwaga hawatanii

So mjiandae Naona mtanange umeanza rasmi sasa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-26-10-45-48-179_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-26-10-45-48-179_com.twitter.android.jpg
    226.6 KB · Views: 1
Hio picha ya mwisho uliyoiweka ilikuwa ni lebanon miaka kama mi4 nyuma
Na ndio wanaitumia sana mitandaoni kudanganyia
 
Ngoja inyeshe kwanza baadae usije ukabadirika maelezo kwa Hamas uliweka mpaka bendera yao kwenye avatar sasa kiko wapi sasa weka bendera ya Iran halafu mwisho utajikana mwenyewe wewe na nafsi yako, kile unachokidharau ndicho kitakachokuua
Lin niliweka bendera ya Hamas ? nabadili dp kila mwisho wa mwaka ...Wala siko huko ...Dp ya mwisho ilikuwa ya Ayatollah ...Hii mpaka mwakani mwezi wa nne ndio naitoa .
 
Back
Top Bottom