Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Wewe hujui tu.Iran iliziona hizo ndege tangu zinawekwa mafuta na wakajua haziwezi kuleta dhahma kubwa.Ziliweza kuharibu vituo vya silaha na utengenezaji silaha tu.Kidooogoo,ziliua askari wanne tu.Kwa hiyo,it wasn't a big deal!🤔
Hakuna Ndege ilio ingia hapa nikutafuta Kichaka chakujifichia Baada Ya Kufeli
Vikao mwezi mzima Unaambulia ZERO
Hujadili nini ambacho ni kigeni kwako hata media za nje hakipo?Aiweke source ya hiyo habari moja kwa moja ili tujadili.
Mimi sipo vitani.Nimeandika kadiri ya waipendao Iran wanavyojiliwaza.View attachment 3136203
Madogo mnadhani madhara ni kuua raia?
Source? Hakuna ndege iliyogusa anga la Iran kichwa maji wewe.
Source? Hakuna ndege iliyogusa anga la Iran kichwa maji wewe.
Lakini targets zilifikiwa?Source? Hakuna ndege iliyogusa anga la Iran kichwa maji wewe.
It wasnt a big deal facility kubwa kama hizo ambazo kurebuilt itachukua miaka 3/5Wewe hujui tu.Iran iliziona hizo ndege tangu zinawekwa mafuta na wakajua haziwezi kuleta dhahma kubwa.Ziliweza kuharibu vituo vya silaha na utengenezaji silaha tu.Kidooogoo,ziliua askari wanne tu.Kwa hiyo,it wasn't a big deal!🤔
Aiweke source ya hiyo habari moja kwa moja ili tujadili.
Kama Israel anaweza bomoa jengo kati ya majengo 6 na 5 yakabaki salama basi ni uhakika Iran kapigika
Hazitoleta madhara au sioWalikuwa wameshazisoma kwamba hazingeleta madhara makubwa.Iran ipo mbele mbele yao kiuweledi wa teknolojia kuliko Israeli. 🤔
Taarifa yako ni tofauti na za media za nje ikiwemo na taarifa ya msemaji wa jeshi la Iran.Hujadili nini ambacho ni kigeni kwako hata media za nje hakipo?
Mkuu, Uzi wako una taarifa nyengine na ushahidi unaouleta ni wa kitu kingine!
It wasnt a big deal facility kubwa kama hizo ambazo kurebuilt itachukua miaka 3/5
We sio mzima 😂
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1850189260311212147?t=14N5o2fHignqHFPMQ7u1_Q&s=19
Hizi ni porojo tu maana mpaka sasa hakuna ushahidi zaidi ya maneno tu!
Jadili hiziTaarifa yako ni tofauti na za media za nje ikiwemo na taarifa ya msemaji wa jeshi la Iran.
Pengine kuna mabadiliko ya taarifa Iran imeyafanya na ndiyo maana tunaomba source ya taarifa yako ili kama kujadili tujadili.
Aiweke source ya hiyo habari moja kwa moja ili tujadili.
Aiweke source ya hiyo habari moja kwa moja ili tujadili.
So batteries zilikuwa wapi kuzuia facility kubwa za kijeshi kubondwa?Wafuasi wa mwamposa acheni kutafuta kichaka cha kujificha bas.
Hamna ndege iliyoingia Iran sema walirusha mabomu wakiwa anga ya Iraq na Syria
Wafuasi wa mwamposa acheni kutafuta kichaka cha kujificha bas.
Hamna ndege iliyoingia Iran sema walirusha mabomu wakiwa anga ya Iraq na Syria