Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Hayawi-hayawi mwisho imekuwa baada ya majeshi ya israel kuanza kuwapiga mbwa usiku huu Majeshi hayo ya Israel yameanza kumpiga Mwenye Mbwa yaani Iran mpaka sasa ninavyoandika hapa hukoanachapika vizuri sana.

Soma Pia: Israel kuishambulia Iran mapema badala ya kusubiri ishambuliwe, taarifa za kiintelijensia zaendelea kukusanywa
=============


Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.

The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".

Iran: Explosions heard in Tehran as Israel confirms strikes
Leo Ayatollah hama kwenda masjid..watalamba kile kichwa
 
Iran ilijizatiti kwa mifumo ya urussi miaka mingi sana na sasa anazidi kununua na kuboresha ya kwake ...iran imeajiri mainjinia wa siraha kutoka urusi mia 600 na china 200 wanafanya kazi usiku na mchana na inatumia fedha kupata technology yoyote inayo itska duniani
Jiulize Iran kwa nini kafunga viwanja vyote vya ndege baada ya kupigwa ns Israel? Kama hayo makombora hayakuleta madhara yeyote?
 
Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Bahati mbaya Israel siku zote imekuwa ikichokozwa na maadui wake, wanaichokoza, siku zote dunia ina angalia au kupambana na mchokozi.
 
Unajua nchi hii ina watu wengi wagonjwa wa akili
Hawaupendi ukweli, hawashughulishi akili zaidi ya kushabikia vitu kwa mkumbo kama mazuzu.
Ooooh, ebu tuone utimamu wako wa akili hapa chini.
Inaonyesha hata zile za kukusaidia kujisafisha kule hamnzo kabisa🤣🤣🤣
Hiki ulichokiandika hapa kinathibisha kuwa na wewe ni mmoja kati ya wagonjwa wa akili.
Ndio nini sasa?
 
Huyo anayegawa hizo S400 mbona na yeye anachapika chumbani kwake kabisa
Russia ni kubwa sana ..pia s400 zinasumbuliwa a drone siyo makombola makubwa na ndege huo mfumo wa s400 ni bora sana ila unaujumiwa na drone pale unapo julikana location yake
 
Naweza Kusemq Hakuna Mission Mbovu aliyoifanya Israel Kama Hii. Amerusha Vikombora kadhaa side effects Zero. Iran Ameshafungua anga lake ndege zinatua na kuruka kama kawaida. Jordan ni kama malaya ameruhusu anga lake lipitishie hayo makopo ya Israel Muda Utaongea. Hakika Sikukosea Kumkubali Iran Mbwa Mimi
FB_IMG_17299218421769528.jpg
 
Za kuamb8wa na zako
Iran wamefunga viwanja vyote vya ndege.Jiulize kwa nini iwapi hayo makombora ya Israel hayakuleta madhara yeyote si safari za ndege zingeendelea kama kawaida na viwanja kuwa wazi?


View: https://youtu.be/tvAyK6s0M1w?si=HGUsvcEBpDEikrKb

Duuuh!
Shida vijana wa NATO mnajikutaga mna akili sana kumbe ni mbumbumbu kabisa.
Yaani hata implication ya kufunga anga/viwanja vya ndege kwenye hili inakushinda kuing'amua.
😂😂😂😂
Hopeless kabisa!

Ebu kwanza, au unaongea kinyume jumlisha kejeri? Unajua hii comment yako inanishangaza!
 
Za kuamb8wa na zako
Iran wamefunga viwanja vyote vya ndege.Jiulize kwa nini iwapi hayo makombora ya Israel hayakuleta madhara yeyote si safari za ndege zingeendelea kama kawaida na viwanja kuwa wazi?


View: https://youtu.be/tvAyK6s0M1w?si=HGUsvcEBpDEikrKb

Tumia akili mifumo ya ulinzi wa snga inapo anza kufanya kazi ni lazima anga lifungwe maana ni hatari hata kwa ndege zenu wenyewe na kimataifa
 
Naweza Kusemq Hakuna Mission Mbovu aliyoifanya Israel Kama Hii. Amerusha Vikombora kadhaa side effects Zero. Iran Ameshafungua anga lake ndege zinatua na kuruka kama kawaida. Jordan ni kama malaya ameruhusu anga lake lipitishie hayo makopo ya Israel Muda Utaongea. Hakika Sikukosea Kumkubali Iran Mbwa Mimi
View attachment 3135527
KWA HII MISHENI ISRAEL KAPATA 0
 
Jiulize Iran kwa nini kafunga viwanja vyote vya ndege baada ya kupigwa ns Israel? Kama hayo makombora hayakuleta madhara yeyote?
Kujihami sio dhambi ukiwa vitani, unapunguza possibilities za kudhurika na hasa ukiwa na adui aisye na akili anayewaza kushambulia raia wakati wote
 
Nimesikitika sana kuleta video ya Lebanon.
Sasa kama ni za Lebanon kwa nini Iran imefunga viwanja vyote vya ndege? Kujamba Israel ijambe Lebanon halafu harufu isikike Iran? Hadi afunge viwanja vya ndege
 
Kweli ww msenge huna hata aibu yaani umnaleta video za makombora ya Iran yakiipiga Israel unasema ndo shambulizi la Israel?
Anga na viwanja ni razima vifungwe ili makombora ya ulinzi yasiangushe ndege za abiria.
 
We unasemaje kachemka wakati bado muda upo na China kila siku inapiga hatua, kila kitu kipe muda, ndio hizi habari Israel ilikuwa inaua wanasayansi wa Iran wanakaa kimya watu wanasema Iran inaogopa, haya sasa karushiwa makobora 200 wamefanya nini?
Si yalikuwa hayana taharifa makombora ya Iran? Sasa Israel katoa taharifa na akasema Iran hawataelewa kapigwaje na mtu kapiga kweli. Mtu anayekuandaa ana maana ujiandaye alafu nakuja na anakuja anapiga. Wenye akili kubwa lazima ujitafakari Mara mbili mbili.
 
Back
Top Bottom