Iran ni nchi ya maajabu sana

Iran ni nchi ya maajabu sana

Umendika upuuzi mtupu kwenye hili gazeti lako refu sana, sina muda wa kujipu utopolo wako wote ila nitakujibu upuuzi namba (1) tu kwa data kukuthibitishia ulivyo kilaza.

Haya hapa ndio mataifa makubwa ya uchumi mashariki ya kati kwa kipimo cha GDP
1.Saudi Arabia-USD billion 700
2. UAE- USD billion 421
3.Israel- USD billion 402
4.Misri-USD billion 363
5.Iran-USD billion 191
Ww jamaa huwa unajifanyaga mjuaji lakini ni bonge la kilaza.

Kabla ya kuiponda Iran kuwa haiwezi kitu zaidi ya silaha je nchi yako ina uwezo wa kutengeneza hizo silaha ili tunone kama ni rahisi?

Ngoja nikuelimishe kidogo maana ww ni kilaza uliye jivika ujuaji wa kipuuzi.

(1)Iran ni nchi ya pili kwanguvu za kiuchumi katika eneo la mashariki ya kati ikitanguliwa na Saudia arabia huku kidunia ikiwa nafasi ya 21.

(2)Iran ndio taifa lenye nguvu za kiviwanda kuliko mataifa yote mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel huku kidunia likishika nafasi ya 22.

(3) Iran ndio taifa lenye nguvu za kijeshi kuliko yote hapo mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel uku kidunia likishika nafasi ya 13.

(4) Asilimia 80 ya magari na pikipiki zinazo tumika ndani ya Iran kwenyewe , Syria ,Iraq na Yemen yanatengenezwa nchini Iran, hata oman ni muagizaji mkubwa wa pikipiki kutoka Iran ila sio kwa kiwango kikubwa kama nchi hizo zingine nilizo zitaja.

(5)Asilimia 90 ya madawa yanayo tumika nchini Iran wanajitengenezea wenyewe.

(5)Iran ni mtengenezaji na msambazaji mkubwa wa mazuria ya kuvutia ulimwenguni.

(6)Iran ukubwa wake kieneo ni kubwa kuliko Tz na Uganda ukiziunganisha kwa pamoja lakini imejenga mtandao wa mkubwa wa reli wa trein za umeme nchi nzima, ww nchi yako imeshindwa hata kumaliza kipande cha Dar to moro.

(7) Iran inazalisha umeme wa megawatt zaidi ya (80,000) wakati nchi yako ndio kwanza ina 1400.

(8)Iran amefanya uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na ndio maana hujawahi kusikia kuna njaa pamoja na kwamba nchi yao ni jangwa.

Hiyo ni kwa uchache tu.

Punguza ujuaji wa kipuuzi kwa mambo usio kuwa na ufahamu nao maana utaonekana kituko.
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
Huyuhuyu myahudi kila mwaka bajet yake anategemea msaada wa usa na west?
 
wanaoisadia ISRAEL kwa fedha na kijeshi ni WAISLAEL wenyewe waliotapakaa ULAYA na AMERICA
Hao matajiri wa marekani unaowaona HUSUSANI ule utajiri wenyewe haswa wa SECTA ya siraha unashikiliwa na MATAJIRI WA KIISLAEL wenyewe ambao ni RAIA wa marekani
na karibu 80% ya makampuni makubwa ya wamarekani na ulaya wanayamiliki WAISRAEL ambao wana uraia katika hizo NCHI
TAIFA la ISRAEL kuanguka inapaswa UCHUMI wa DUNIA uanguke na tuanze upya
na kinachowafanya WAISRAEL wazidi kusonga na kufanikiwa ni kujivunia kuwa Wao ni WAISRAEL na MUISRAEL yoyote wao ni ndugu damu haijalishi tumbo au mtoto wa mjomba wewe ukishakuwa MUISRAEL basi wewe ni NDUGU na kila MUISRAEL ana dhamana na kwa MUISRAEL mwenzie yaani kwao ISRAEL
slogan yao hiyo inawafanya wazidi kupasua anga kwa mafanikio
na hayo yote yalikuja baada kile kichapo cha kufyekelewa mbali na ADOLF HITLER
hvyo mkuu kwa umoja na Uchumi imala wa WAISLAEL inahitajika NGUVU kubwa sana tena sana KUISAMBALATISHA
Ingekuwa lelemama bila BACKUP ya WAISLAEL wa AMERICA na ULAYA kwa kanchi kale kadogo kalikozungukwa na MAADUI kibao kangeshafutika kitambo
Popoma katika ubora wake
 
Umeizungumzia Israel kwa mwonekano bila kugusia misingi ya nchi ya Israel kuanzishwa kwake na uimara wake,sijafahamu Imani ya dini yako,lakini kama ni Mkristo basi soma Biblia kitabu cha Mwanzo na kutoka utafahamu mengi na hata haya uliyoyaandika,kufanywa utumwa,kutawanyika kwao Dunian,kukusanyika kwao na kuundwa kwa hili Taifa utayapata...kifupi Israel ndio wenye nguvu kuliko hayo mataifa ya Ulaya na Marekani uliyosema,Iran alisha tamka kulifuta hilo Taifa lakini hatakaa aweze.
Jiulize Israel anazungukwa na maadui kote lkn bado anatoboa unafikiri ni rahisi?hilo ni Taifa teule japo wengi hawapendi kusikia likiitwa teule,lakini ndio ukweli mchungu.

Hili Taifa limepitia misukosuko mingi sana,hiyo uliyaandika hapo ni michache mno,rudi kwenye Biblia kalisome hili Taifa ndipo utalifahamu vizuri,huwezi pigana na Israel ukashinda maana mkono wa Mungu uko na hilo Taifa,kwa wale Wakristo wanasoma Biblia wanafahamu ninachozungumzia,lkn kama hausomi Biblia huwezi elewa haya.
Yaan israel ndo nchi yenye nguvu dunian? Kisha tukija upande wa uhalisia hiyo nchi yenye nguvu ndo inapewa msaada na nchi inazozizidi nguvu! Hata km ni ujinga wa kwako umezidi
 
Umendika upuuzi mtupu kwenye hili gazeti lako refu sana, sina muda wa kujipu utopolo wako wote ila nitakujibu upuuzi namba (1) tu kwa data kukuthibitishia ulivyo kilaza.

Haya hapa ndio mataifa makubwa ya uchumi mashariki ya kati kwa kipimo cha GDP
1.Saudi Arabia-USD billion 700
2. UAE- USD billion 421
3.Israel- USD billion 402
4.Misri-USD billion 363
5.Iran-USD billion 191
Hebu tutolee ujinga wako hapa huoni hata aibu kuweka huo utopolo hapa.

Hivi una tuona ni vilaza kama ww?

Ww hizo takwimu umezitoa wapi?

Tangu lini Israel na UAE wakawa na uchumi mkubwa kuizidi Iran?

Kwa mujibu wa takwimu za kiuchumi zilizo tolewa na benki ya dunia mwaka 2021 Iran ilikuwa na GDP ya billion 440$ alafu ww una tuletea utopolo hapa.

Kwa mujibu wa takwimu za benki ya dunia mwaka 2021 kuhusu uchumi kwenye eneo la mashariki ya kati.

(1) Saudia arabia GDP 710$ billion

(2) Iran GDP 440$ billion.

(3)UAE GDP 270$billion.

(4) ISRAEL GDP 215$bilion

Hizi ni takwimu za benki ya dunia za mwaka 2021 sasa ww una tuletea utopolo gani hapa?
 
Libya ilikuwa hivyo kosa alilofanya Ghadafi ni kuingia kwenye mtego wa marekani!
Walibya hawakuwa na uwezo wa kutengeneza silaha zao wenyew, bali walikuwa wananunua kutoka nje, ndo maana ilivyowekewa vikwazo kidogo tu Libya chali 😂😂😂
 
Umendika upuuzi mtupu kwenye hili gazeti lako refu sana, sina muda wa kujipu utopolo wako wote ila nitakujibu upuuzi namba (1) tu kwa data kukuthibitishia ulivyo kilaza.

Haya hapa ndio mataifa makubwa ya uchumi mashariki ya kati kwa kipimo cha GDP
1.Saudi Arabia-USD billion 700
2. UAE- USD billion 421
3.Israel- USD billion 402
4.Misri-USD billion 363
5.Iran-USD billion 191
Hizi hapa data za uchumi wa Israel na Iran mwaka huu.
Acha tabia ya kupotosha watu.
Screenshot_20221025-213558.jpg
Screenshot_20221025-213348.jpg
 
Ww jamaa huwa unajifanyaga mjuaji lakini ni bonge la kilaza.

Kabla ya kuiponda Iran kuwa haiwezi kitu zaidi ya silaha je nchi yako ina uwezo wa kutengeneza hizo silaha ili tunone kama ni rahisi?

Ngoja nikuelimishe kidogo maana ww ni kilaza uliye jivika ujuaji wa kipuuzi.

(1)Iran ni nchi ya pili kwanguvu za kiuchumi katika eneo la mashariki ya kati ikitanguliwa na Saudia arabia huku kidunia ikiwa nafasi ya 21.

(2)Iran ndio taifa lenye nguvu za kiviwanda kuliko mataifa yote mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel huku kidunia likishika nafasi ya 22.

(3) Iran ndio taifa lenye nguvu za kijeshi kuliko yote hapo mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel uku kidunia likishika nafasi ya 13.

(4) Asilimia 80 ya magari na pikipiki zinazo tumika ndani ya Iran kwenyewe , Syria ,Iraq na Yemen yanatengenezwa nchini Iran, hata oman ni muagizaji mkubwa wa pikipiki kutoka Iran ila sio kwa kiwango kikubwa kama nchi hizo zingine nilizo zitaja.

(5)Asilimia 90 ya madawa yanayo tumika nchini Iran wanajitengenezea wenyewe.

(5)Iran ni mtengenezaji na msambazaji mkubwa wa mazuria ya kuvutia ulimwenguni.

(6)Iran ukubwa wake kieneo ni kubwa kuliko Tz na Uganda ukiziunganisha kwa pamoja lakini imejenga mtandao wa mkubwa wa reli wa trein za umeme nchi nzima, ww nchi yako imeshindwa hata kumaliza kipande cha Dar to moro.

(7) Iran inazalisha umeme wa megawatt zaidi ya (80,000) wakati nchi yako ndio kwanza ina 1400.

(8)Iran amefanya uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na ndio maana hujawahi kusikia kuna njaa pamoja na kwamba nchi yao ni jangwa.

Hiyo ni kwa uchache tu.

Punguza ujuaji wa kipuuzi kwa mambo usio kuwa na ufahamu nao maana utaonekana kituko.
Huyu jamaa ni kilaza usibishane naye
 
Uzi mzima unawasifia Wairan wana akili halafu hapa unalalamikia vikwazo walivyowekewa jinsi vinavyowashikisha adabu, kwa nini wasizitumie hizo akili zao nyingi kukabiliana na hivyo vikwazo??

Anayekuwekea vikazo na vikafanya kazi amekuzidi akili tu hata ujipapatue vipi kama bata maji.
Naona haujasoma uzi, bali umekimbilia kujaza maswali katika uzi na kujijibu mwenyewe. Laiti ungetumia akili kusoma thread na kuielewa, basi usingeuliza swali hili ambalo limeshajibiwa na thread yangu tayari.

Bila shaka wew ni mmoja wa wayahudi wa buza ambao mmezungumziwa na raisi wa China hapo chini. Ikitajwa Israel mnakua na uchungu kuliko wa Israel wenyew 😂😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20221024-214325.jpg
    Screenshot_20221024-214325.jpg
    68.1 KB · Views: 5
ankoo embu tua mzigo wa ujinga basi kidogo...
Mwenzio anaamini kwamb akiitetea Israel kwa hali na mali basi na yeye atapachikwa kwenye yale makabila 12 ya wateule.

Dah kweli hakuna ulevi mbaya kama wa dini, tena ambayo mtu umeiamini kwa kusoma tu vitabu vilivyoandikwa na watu kama vile mimi, wewe na yeye 😂😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20221024-214325.jpg
    Screenshot_20221024-214325.jpg
    68.1 KB · Views: 5
Wakuu vipi, kwema.

Wakuu Iran ni mmoja kati ya nchi ambazo ziliwekewa vikwazo vikali na nchi za magharibi toka mnamo mwa miaka ya 70s huko hadi leo hii na siku zijazo.

Vikwazo hivyo ni vya kiuchumi, kijeshi nk, tena vimekuwa vikiongezwa siku hadi siku.

Tofauti na ilivyo kwa nchi nyingine kama vile Cuba, Venezuela nk zilizowekewa vikwazo pengine na marekan tu, au baadhi ya nchi za magharibi. vikwazo vya Iran vimewekwa na nchi za magharibi kama zote wakishirikiana na makampuni ya nchi hizo.

Lakini cha kushangaza Iran imeweza kuwa na uwezo hasa wa kijeshi sawa au pengine zaidi ya ule wa nchi ambazo hazijawahi kuwekewa vikwazo na nchi hizo.

Iran ni miongoni mwa nchi zenye eneo kubwa na watu wengi barani Asia, so pamoja na vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa takriban miaka 50 na zaidi, lkn wameweza kuwa na mifumo mizuri ya kudhibiti hali ya umasikini nchini mwao, tofauti na nchi kama Venezuela ambazo vikwazo vya miaka miwili au mitatu vimesababisha mamilioni ya raia waishi maisha ya shida na ya umasikini kupita maelezo.

Pamoja na vikwazo vikali vya magharibi hasa kwa upande wa mambo ya ulinzi, lkn bado nchi hiyo imeweza kuonesha kuwa haipo chini au nyuma kijeshi hata siku moja. Wengi tuliona jinsi wa Iran walivyoziangamiza ndege zisizo na ruban zilizokuwa zinatumiwa na Marekan kupima upepo katika eneo lao, wengi tuliona jinsi Iran ilivyozilipua meli ambazo zilikuwa zinabeba wapelelezi mbali mbali wa magharibi karibu na eneo lake, wengi tuliona jinsi Iran ilivyoshambulia kambi kadhaa za Marekani kule Iraq na kusababisha maafa na uharibifu mkubwa katika kambi hizo baada ya Mmarekani kumuuwa mmoja wa maofisa wakubwa wa Iran kule Iraq, tena kabla ya kufanya mashambulizi hayo wa Iran walitoa taarifa mapema kuwa watalipiza kisasi kupitia kambi za wamarekan kule Iraq, so marekan ikajiandaa kuzuia shambulizi lkn mwisho wa siku shambulizi likashindikana kuzuilika na kuleta maafa kwa jeshi la nchi hiyo kubwa duniani.

Wengi tulishuhudia jinsi Iran ilivyotoa msaada wa silaha kwa kundi la hezbullah ambalo liliichachafya Israel inayopata msaada mkubwa wa fedha kutoka Marekani kwa ajili ya ulinzi wao. Hiyo ilikuwa mwaka 2006 hadi jumuiya ya kimataifa ikaingilia kati na kuomba ipatekane suluhu ya kudumu baina ya Israeli na hezbullah.

Wengi tulishuhudia jinsi Iran ilivyosimama na kumlinda Asad wa Syria katika vita vyake, hadi kupelekea mipango ya Marekani na nchi za magharibi kumng'oa imeshindikana.

Wengi tunashuhudia sasa jinsi silaha kidogo tu za ndege zisikuwa na rubani za Iran zinavyofanya uharibifu mkubwa, na kusababisha maafa makubwa na zaidi ya yale yaliokuwa yanafanywa na Russia kupitia silaha zake mwenyewe (Russia) huko Ukraine.
Mpaka Marekani na nchi zingine za magharibi zinapiga kelele, maana silaha zinazotumika sio zile za Russia ambazo zilikuwa zinampa jeuri raisi wa Ukraine kuona kwamba sasa vita vimekwisha.

Hata zile himars za Marekani sasa hivi zinaonekana hazifanyi kazi mbele ya maangamizi ya ndege hizi za Iran.

Sasa tujiulize, kama nchi iliyowekewa vikwazo na mataifa makubwa duniani kwa zaidi ya miaka 50 bado ina uwezo iliyo nao leo, sasa je kama isingewekewa vikwazo kwa miaka yote hiyo 50 leo ni nchi gani ambayo ingeitisha pale Asia na hata duniani kwa ujumla.

Hizo nilizosema hapa ni zile silaha ilizotoa kuwawezesha hao niliwataja washinde mapambano yao, hapo hatujazungumzia silaha zake mwenyewe alizoweka kwa lengo la kujilinda ambazo kwa sheria za kijeshi duniani huwa zinafanywa siri kubwa ili adui asizione.

Mpaka sasa Marekani na nchi za magharibi zinashindwa kujua ni njia gani nyingine ya kumdhibiti huyu mtemi, maana wamarekani waliwahi kumtumia msaudi mwaka jana, hapo hapo Iran hakuchelewesha akaangamiza mitungi yake mikubwa ya kuwekea mafuta mpaka saudia na dunia ikapiga kelele.

Hili taifa ni la maajabu sana, japo lina maadui wengi lililotengenezewa na nchi za magharibi na halipati msaada wa kifedha kutoka kwa nchi yoyote lkn bado linajiamini kupita maelezo.

Mti wenye matunda ndio hurushiwa mawe, namaanisha ukiona nchi za magharibi na vibaraka wao wanapambana kwa hali na mali dhidi ya uchumi na ulinzi wa kijeshi wa nchi moja, basi jua kwamba wamagharibi hao wameshagundua kwamba nchi hiyo ni hatari maradufu kwa mustakabali wa uchumi wao pamoja na ulinzi wao.
Ngoja ujidanganye....na wakati mafuta yao ndo kiburi,

Tunaelekea kutumia magari na treni za umeme watakoma.

Wape salam middle east yote, waambie ugaidi mwishoooooo
 
Ww jamaa huwa unajifanyaga mjuaji lakini ni bonge la kilaza.

Kabla ya kuiponda Iran kuwa haiwezi kitu zaidi ya silaha je nchi yako ina uwezo wa kutengeneza hizo silaha ili tunone kama ni rahisi?

Ngoja nikuelimishe kidogo maana ww ni kilaza uliye jivika ujuaji wa kipuuzi.

(1)Iran ni nchi ya pili kwanguvu za kiuchumi katika eneo la mashariki ya kati ikitanguliwa na Saudia arabia huku kidunia ikiwa nafasi ya 21.

(2)Iran ndio taifa lenye nguvu za kiviwanda kuliko mataifa yote mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel huku kidunia likishika nafasi ya 22.

(3) Iran ndio taifa lenye nguvu za kijeshi kuliko yote hapo mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel uku kidunia likishika nafasi ya 13.

(4) Asilimia 80 ya magari na pikipiki zinazo tumika ndani ya Iran kwenyewe , Syria ,Iraq na Yemen yanatengenezwa nchini Iran, hata oman ni muagizaji mkubwa wa pikipiki kutoka Iran ila sio kwa kiwango kikubwa kama nchi hizo zingine nilizo zitaja.

(5)Asilimia 90 ya madawa yanayo tumika nchini Iran wanajitengenezea wenyewe.

(5)Iran ni mtengenezaji na msambazaji mkubwa wa mazuria ya kuvutia ulimwenguni.

(6)Iran ukubwa wake kieneo ni kubwa kuliko Tz na Uganda ukiziunganisha kwa pamoja lakini imejenga mtandao wa mkubwa wa reli wa trein za umeme nchi nzima, ww nchi yako imeshindwa hata kumaliza kipande cha Dar to moro.

(7) Iran inazalisha umeme wa megawatt zaidi ya (80,000) wakati nchi yako ndio kwanza ina 1400.

(8)Iran amefanya uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na ndio maana hujawahi kusikia kuna njaa pamoja na kwamba nchi yao ni jangwa.

Hiyo ni kwa uchache tu.

Punguza ujuaji wa kipuuzi kwa mambo usio kuwa na ufahamu nao maana utaonekana kituko.
Basi mkuu mkusamehe. Mwenzio hajui afu hajijui kama hajui, ukiendelea kumpa za uso namna hii utamuaibisha hapa JF hadi atakuwa anashindwa kuingia tena kuchangia.

Msamehe, maana inaonesha wazi kijana hana analojua.
 
Nyuzi kama hizi huwa zinachekesha sana.....ukitazama unaweza kuzani wa Iran na Waisrael wanabishana kumbe ni wamatumbi wenzetu walioamua kuwa watumwa wa fikra za watu wengine.............

Na wote sources zao ni google na articles za mitandaoni...........hapa watu watatukanana na kudhalilishana Kwa mambo haya ya kipuuzi......lakini huwezi kukuta nchi zingine watu wanabishana na kutukanana kuhusu mambo ya nchi zingine.....
Kuna mambo yanataka tu common sense na wala sio google wala article yoyote...bila hiyo siraha kila siku utaambiwa vitu na kusoma mambo ambayo hayana ukweli
 
Waliamua kufanya kila kitu kwa namna mpya baada ya kufungwa na vikwazo vya kila namna.
Airforce yao ilikosa vipuri wakaanza kujaribu kutengeneza zao bila shaka watafanikiwa.
Walivyokosa madawa wakaanza kutengeneza viwanda vingi vya madawa na wanafanikiwa.
Walipoona hawana madaktari kiss Hakuna vyuo vya maana vya kidaktari wakaanzisha vyao na wanafanikiwa.
Walipoona Hakuna Tena wa kuwazuia silaha Kama airdefences system, cutting edge aircraft, vifaru nk wakaamua kutengeneza kwa namna yao na wanafanikiwa.
Nb.
Hawa wamefanikiwa wakiwa tayari ni mahasimu wa wamagharibi. Tujifunze Jambo bila kugusa maslahi ya Wamagharibi tuanze nasi kufanya vitu kwa namna za kipekee.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂😂 Tatizo la wayahudi wa buza kila jambo linalohusu Iran au Palestina wao wanalichukulia kiimani ya dini, hata kama hakuna uhusian wowote kati ya dini na jambo husika

Mkuu hata huku Chato kuna Wayahudi siku hizi..
 
Back
Top Bottom