Iran ni nchi ya maajabu sana

Iran ni nchi ya maajabu sana

Wayahudi wa Buza mnatia huruma..

Kabla ya mwaka 1947...huyo Mungu wa Hilo Taifa teule hakuwepo?..wakati Hitler anawakaanga nakuwaweka kwenye kambi huyo Mungu wao hakuwepo?...

So dunia inaanza na kuna mataifa Yana miaka zaidi ya elfu moja...mataifa Kama Ethiopia yapo miaka zaidi ya elfu moja...halafu kataifa kanaundwa mwaka 1947 baada ya kuuwawa ovyo ovyo Kwa huruma ya UN na USA kuweka ubavu ndo Leo unakaita kanaiongoza dunia?

Wayahudi wa Buza hamtumii logic kabisa
Wayahudi wa buza wameshindwa kutumia akili zao kuujua ukweli ulioandika hapa. Inashangaza sana.
 
We jifanye mshia tu utapata toto moja la haja alafu wana akili balaa.
Ubaya wao ni mmoja
Yaani wale masheikh zetu wa njaa njaa si wanaendaga huko Iran kusoma. Basi na wakisema wanataka binti wa kuoa wanapewa kabisa, ila hao mabinti washa andaliwa
Wakuu nataka nifanye namuna nikavute toto moja la kiajemi nioe nimlete bongo apo naamini watoto wangu watakuwa na maakili yani watawaza mambo za kinyuklia nyuklia tu
 
Ndio kusema nchi zote zinazofuata utawala wa demokrasia ni maskini na zile zinazofuata utawala wa kidikteta ni matajiri. Si ndiyo ee
Inategemea. Ila kiuhalisia nchi zinazofata utawala wa kidikteta, nyingi zipo hoi kiuchumi japo sio zote.

Na zinazofata utawala wa kidemokrasia nyingi zipo vizuri kiuchumi japo sio zote.
 
We jifanye mshia tu utapata toto moja la haja alafu wana akili balaa.
Ubaya wao ni mmoja
Yaani wale masheikh zetu wa njaa njaa si wanaendaga huko Iran kusoma. Basi na wakisema wanataka binti wa kuoa wanapewa kabisa, ila hao mabinti washa andaliwa
😂😂😂😂
 
Ngoja ujidanganye....na wakati mafuta yao ndo kiburi,

Tunaelekea kutumia magari na treni za umeme watakoma.

Wape salam middle east yote, waambie ugaidi mwishoooooo
Ugaidi utaishaje na wakati wazungu wanatumia njia nyingi kuuwa watu ili waibe resource zetu.
Yanayoendelea Congo waasi wa M23, Cameroon, Ukraine nk sio ugaidi ule?
 
Iran mnayoisifia ni hii maandamano kila kukicha wanamsingizia USA anahusika na ishu yao ya kuua Raia mimi nimeona ni Taifa la ajabu kwa kuua raia wake kwa kigezo cha kitu fulani dini inakataza yaani hiyo pepo ya kulazimishana mpaka kuuana pepo gani hiyo..
Ya kweli mkuu, bora Israel mwanaum kupuliwa ruhusa.
 
Mwenye akili na mfuatiliaji kuhusu Iran anajua kwanini anachungwa sana na kuzuiwa kufanya mengi na hata vikwazo vingi kuwekewa

Iran ana wataalamu wengi sana na ni akili kubwa
Amejiwekeza kwenye maendeleo na kutengeneza silaha mwenyewe kama wazungu wanavyofanya kwa nchi zao

Woga wa wazungu uliwafanya watafute nchi itakayopigana na Iran kwa kuwa tu wanaogopa ipo siku ataishika Saudia
Na Saudia ni kibaraka wa wazungu huku akiwauzia mafuta na wao wakijenga nchi za GCC kwa kupata ukandarasi wote

Hapo wakamshawishi Iraq aingie vita ya bila kichwa wala miguu kwenye mto wa Shat Al Arab ambapo kwa bahati nilikuwa huko na kushuhudia vita zote mbili, hiyo ya 1980 na uvamizi tena wa Iraq huko Kuwait 1990

Iran wana wataalamu wengi sana wa masuala ya utengenezaji wa silaha na mengine mengi ila wanaogopwa sana eti kwa usalama wa ME lakini ukweli ni kuwa wanaemlinda ni Israel


Bora na sisi tuanze kununua silaha za Iran kama Rifles zao za Fajr
Wako vizuri kwa nyanja nyingi na wanatengeneza silaha nyingi sana za maangamizi ambapo kuna wengi humu watashangaa na hata kupinga kuwa jamaa yuko vizuri sana

List ya silaha anayotengeneza Iran ni ndefu sana yaani kama ningekuwa na uwezo wa kupata hata tenda ya kuanza na military uniforms tu halafu taratibu nikaanza kuuwauzia silaha hata bunduki 1000 tu kwa kuanzia

Kuna fursa duniani ila tumekazana za [emoji631] na [emoji636] tu huu ni utumwa na hautaisha
Tuna safari ndefu sana
Baada ya kukuza utafiti kwenye taifa lenu ili na nyinyi muunde silaha zenu, unashauri ujinga , eti bora na sisi tuanze kununua silaha zao.

Yaani kuna mijitu utegemezi wa fikra hautakaa uishe kwenye vichwa vyao.
 
Baada ya kukuza utafiti kwenye taifa lenu ili na nyinyi muunde silaha zenu, unashauri ujinga , eti bora na sisi tuanze kununua silaha zao.

Yaani kuna mijitu utegemezi wa fikra hautakaa uishe kwenye vichwa vyao.
Dah aisee...
 
wanaoisadia ISRAEL kwa fedha na kijeshi ni WAISLAEL wenyewe waliotapakaa ULAYA na AMERICA
Hao matajiri wa marekani unaowaona HUSUSANI ule utajiri wenyewe haswa wa SECTA ya siraha unashikiliwa na MATAJIRI WA KIISLAEL wenyewe ambao ni RAIA wa marekani
na karibu 80% ya makampuni makubwa ya wamarekani na ulaya wanayamiliki WAISRAEL ambao wana uraia katika hizo NCHI
TAIFA la ISRAEL kuanguka inapaswa UCHUMI wa DUNIA uanguke na tuanze upya
na kinachowafanya WAISRAEL wazidi kusonga na kufanikiwa ni kujivunia kuwa Wao ni WAISRAEL na MUISRAEL yoyote wao ni ndugu damu haijalishi tumbo au mtoto wa mjomba wewe ukishakuwa MUISRAEL basi wewe ni NDUGU na kila MUISRAEL ana dhamana na kwa MUISRAEL mwenzie yaani kwao ISRAEL
slogan yao hiyo inawafanya wazidi kupasua anga kwa mafanikio
na hayo yote yalikuja baada kile kichapo cha kufyekelewa mbali na ADOLF HITLER
hvyo mkuu kwa umoja na Uchumi imala wa WAISLAEL inahitajika NGUVU kubwa sana tena sana KUISAMBALATISHA
Ingekuwa lelemama bila BACKUP ya WAISLAEL wa AMERICA na ULAYA kwa kanchi kale kadogo kalikozungukwa na MAADUI kibao kangeshafutika kitambo
Umetudanganya sana Kaka.
Wanaoipa msaada Israel ni USA.
Ule mzozo wa mwisho ambao Israel ililupua kambi ya wakimbizi Palestine USA senates waliweka kikao na kusema Israel inyimwe ufadhili wa silaha km ikilipua shule ya UN.
SISI TUNAJIELEWA BRO USITUFANYE WATOTO WADOGO,KILA MWAKA SENATE YA USA HUKAA NA KUPITISHA BAJETI YA UFADHILI WA PESA NA SILAHA KWA ISRAEL .
 
Waende wakajaribu, wasiishie kuongea maneno ya kwenye kanga, unajua historia ya vita ya mwaka 1967 Isreal alivyowakalisha waarabu wakati huo Ariel Sharon akiwa general aliyeongoza vita.......fuatilia historia, Isreal wakishindwa vita ni kwa kuwa Mungu kawapa adhabu na si vinginevyo.​
Huna unalolijua we
Ile Vita Israel alivamia kambi ya ndege za Misri na akaenda kuvamia Syria.
Hakupigana na mataifa sita km mnavyodanganywa.
Nakutajia vita alizoshindwa Israel.
1) October war 1974,alipokonywa Sinai na Egypt chini ya Anwar Sadat hasira akahamishia Syria na mkataba wa camp david ulisaniwa kuiokoa Syria.
2)Israel-Lebanese war 2006,tena hapa hizbollah waliingia mipaka ya Israel na kuua Askari nane na kuteka nyara watatu.
Na ikumbukwe Hizbollah ni tishio kwa Israel mpaka sasa na hizbollah inafadhiliwa kisilaha na fedha na Iran.
ISRAEL AKIONA TAIFA TISHIO ANAIVAMIA NA NDEGE KM AFANYAVYO GAZA Ila mbona hafanyi hivyo kwa Iran?
Katika migogoro inayotokea baina ya Israel na Gaza Hizbollah hurusha makombora kwenda Israel takriban 10-15 lakini mbona Israel haipeleki ndege Lebanon?
Acheni kupelekeshwa kifikra.
 
Huna unalolijua we
Ile Vita Israel alivamia kambi ya ndege za Misri na akaenda kuvamia Syria.
Hakupigana na mataifa sita km mnavyodanganywa.
Nakutajia vita alizoshindwa Israel.
1) October war 1974,alipokonywa Sinai na Egypt chini ya Anwar Sadat hasira akahamishia Syria na mkataba wa camp david ulisaniwa kuiokoa Syria.
2)Israel-Lebanese war 2006,tena hapa hizbollah waliingia mipaka ya Israel na kuua Askari nane na kuteka nyara watatu.
Na ikumbukwe Hizbollah ni tishio kwa Israel mpaka sasa na hizbollah inafadhiliwa kisilaha na fedha na Iran.
ISRAEL AKIONA TAIFA TISHIO ANAIVAMIA NA NDEGE KM AFANYAVYO GAZA Ila mbona hafanyi hivyo kwa Iran?
Katika migogoro inayotokea baina ya Israel na Gaza Hizbollah hurusha makombora kwenda Israel takriban 10-15 lakini mbona Israel haipeleki ndege Lebanon?
Acheni kupelekeshwa kifikra.
Ndo haya nayaita maneno ya kwenye kanga.....Israel ipo hapo na haijafutwa, wakati unajipanga kuifuta Israel utajikuta umejifuta mwenyewe.
 
ni nchi ambayo iliweka misingi imala ya UONGOZI
Asikwambie mtu DEMOCRASIA inadumaza

ukitaka nchi yako ifanikiwe na ipige HATUA achana na DEMOCRASIA
DEMOCRASIA ni mtego mbaya wa WESTERN
ili kuendelea kukutawala na kukididimiza
CHINA ingekuwa imefuata huo upuuzi isingefika pele ilipo same na IRAN pia


hata ULAYA na AMERICA iliichukua mamia ya miaka mpk kuja kuwa na SERA ya DEMOCRASIA baada kuwa imejengeka na wamekuwa IMARA

Ndio maana hatahapa NCHINI kwetu tunahitaji RAISI mwenye kariba ya HAYATI MAGUFURI Ili kusonga mbele
DEMOCRASIA kwangu mimi ni ADUI mkubwa kwa MATAIFA yanayoendelea kama hapa NCHIN kwetu
Fact
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
Israeli iliyopo sasa pale Mashariki ya kati ni Israeli ya Mchongo. Na tena sio Blessed Country.

Israeli ya leo ipo kwa Mskusudi Maalumu.

Blessed Country inasaidiwa na Marekani, wewe uliona wapi?

Anasidiwa Fedha na Silaha tangu mwaka 1948 alipokaa pale kimabavu hadi leo.

Hayo yanakutosha kwanza, ukitaka twende kimaandiko ya Biblia niko tayari.

Ila bado sana hujui kitu acha nikuache tu na Taifa lako la Mchongo.
 
hata Tanzania DEMOKRASIA ilikuwepo
alivyoingia MAGUFURI aliweka pembeni huo utumwa wa fikra akaendesha nchi INAVYOPASWA KUENDESHWA ili ipate maendeleo na wananchi wafurahie keki ya taifa na kufikia target kama taifa(uzarendo)
kama alivyofanya mapinduzi MAO ZEDONG na mpk sasa XI JIN Pi
DEMOKRASIA iishie nyumbani kwako na mkeo wachina wangetaka waufate huo utumwa wa WESTERN kwa kuwaacha wananchi wajiamulie wanavyotaka wasingefika pale
ndvyo Ayatollah alivyoiongoza IRAN pia akutaka hiyo FIKRA mbovu iwapande wananchi wajiamulie watakavyo

we unadhani nchi km china ina watu zaidi ya BILIONI then serikali iwaache waamue wanavyotaka kila mmoja unadhani utaweza kuwaridhisha wote !!
hapo ndipo DEMOKRASIA inavyoweka pembeni ukiwa wewe ndiyo No. 1 wa nchi unavaa uzarendo kwa ajili ya maendeleo ya TAIFA lako unaiendesha NCHI kibabe ili mfikie TARGET yenu kama nchi sio kutatatua TATIZO la mtu mmoja mmoja utawezaje unadhani ni ngumu
lazima ufanye jambo kwa ajili ya TAIFA na kwa wote so kuna watakaoumia kwa wakati huo ila matunda yatakuja baadae
hata hiyo IRAN inayosifiwa kwa DRONE hatari haikufika hapo kwa ulelemama VIONGOZI walipata lawama na wengine hata kuchukiwa hadi na familia zao ili kufikia hayo mafanikio
Usisahau kuna wengine viherehere wanauliwa kwa Maslahi ya Taifa.

Katika UKOMUNISTI, ukileta habari za uhuru wa kujieleza unapotezwa kwa Maslahi ya Taifa, muda mwingine inakuwa ni jambo jema
 
Israeli iliyopo sasa pale Mashariki ya kati ni Israeli ya Mchongo. Na tena sio Blessed Country.

Israeli ya leo ipo kwa Mskusudi Maalumu.

Blessed Country inasaidiwa na Marekani, wewe uliona wapi?

Anasidiwa Fedha na Silaha tangu mwaka 1948 alipokaa pale kimabavu hadi leo.

Hayo yanakutosha kwanza, ukitaka twende kimaandiko ya Biblia niko tayari.

Ila bado sana hujui kitu acha nikuache tu na Taifa lako la Mchongo.
Nyie wavaa kobaz ndo taifa teule, bwahahaha.........waliobarikiwa wamebarikiwa tu hakuna haja ya makasiriko.
 
Back
Top Bottom