6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 2,819
- 5,996
- Thread starter
- #221
Wayahudi wa buza wameshindwa kutumia akili zao kuujua ukweli ulioandika hapa. Inashangaza sana.Wayahudi wa Buza mnatia huruma..
Kabla ya mwaka 1947...huyo Mungu wa Hilo Taifa teule hakuwepo?..wakati Hitler anawakaanga nakuwaweka kwenye kambi huyo Mungu wao hakuwepo?...
So dunia inaanza na kuna mataifa Yana miaka zaidi ya elfu moja...mataifa Kama Ethiopia yapo miaka zaidi ya elfu moja...halafu kataifa kanaundwa mwaka 1947 baada ya kuuwawa ovyo ovyo Kwa huruma ya UN na USA kuweka ubavu ndo Leo unakaita kanaiongoza dunia?
Wayahudi wa Buza hamtumii logic kabisa