Iran ni nchi ya maajabu sana

Iran ni nchi ya maajabu sana

Mkuu mtu akikusikiliza anaweza akasema unaakili kumbe akili zako zinasoma kurudi nyuma[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kuna machizi wenye IQ

Hujaeleza ilikuaje US ikawa inapeleka hizo ela Israel?? na hujui hadi leo kwann?? (so usibwabwaje usichokijua)
Kati ya waarabu na waisrael wapi wapo wengi ulaya na US ?? kwann sasa hzo hela haziendi nchi za kiarabu


Eti kama taifa teule kwann wanashinikiza vikwazo!!?? bado hujui
Adui mwombee njaaa (nadhani hii nayo huijui)

Ushindi upo katka kumdhoofisha adui na si kumuacha akue. Hakikisha unammaliza adui kabisa kabisa (kasome 48rules of power)

Israel inatumia slogan hii

“if the enemy want to kill you, wake up and kill him first”

ukielewa hapa hutaandika uo ujinga ulioandika siku nyingine
Bado umerudia utumbo ule ule ulioandika juu. Ni kweli kama mfano wako unavyojieleza hapo juu kuwa chizi au hata mlevi humuona mtu mzima ndio chizi au mlevi.

Mimi hoja yangu ilikuwa kuiongelea Iran kuendelea kuwa na nguvu na tishio kwa Israel pamoja na wazazi wake Marekani, UK nk licha ya kuwekewa vikwazo lukuki na lengo la kuidhoofisha kwa miaka zaidi ya 70, lakini bado nchi hiyo imeendelea kuwa imara na tishio kama vile haina kikwazo hata kimoja.

Sasa hayo mambo ya ilikuaje Israel ikapeleka misaada Israel na kwanini hayanihusu mimi kwa sababu sikuanzisha mada kuzungumzia hizo sababu za Marekani kupeleka misaada Israel.

Ila kama ilivyo ada mtu ukianzisha mada watu mbali mbali huchangia kwa namna wanavyoelewa, hivyo wewe ndio ulitakiwa kuandika kile unachoelewa kama unaona kuna jambo nimeandika limekutia mashaka. Tena uwe na fact na sio porojo za kulishwa wayahudi wa chato.

Alafu ulipoandika kuwa kwanini hiyo misaada ya Marekani isiende katika nchi za kiarabu hapo ndo nilipokuona wewe ni mweupe. Huenda unaendeshwa na mihemko ya kiuyahudi mweusi. Bila shaka kwa akili zako fupi unajua na kufikiri kuwa Iran ni waarab. So kuendelea kujadiliana na mtu usiejua hata race za dunia hii ni sawa na kupoteza muda bure. Maana mimi najadili kielimu, kihistoria na ki ushahidi. Wewe mwenzangu unajadili kiyahudi, kimihemko na mbaya zaidi haujui hata utofauti mdogo wa race za watu duniani.

Pole sana mkuu. Dunia hii usipofungua macho na akili, utamezeshwa kila aina ya ujinga na watu wenye malengo yao ambayo wewe huyafahamu.
 
Marekani kuondoka Iraq sio rahisi mkuu, ukizingatia pale kuna masilahi yao muhimu wanayapata kwa bure kupitia kile anachodai kupambana na magaidi.

Labda kama Iraq itataka kushirikiana kwa njia ya siri na Iran kupitia yale makundi ya wapiganaji yanayodhaminiwa na Iran. Yani Iraq iwe inatoa mchongo wa njia, silaha za kimya kimya (sio mpaka wasubiri zivuke kutoka Iran) washiriki kuwapa wapiganaji hao siri ya kile kinachoendelea katika kambi hizo.

Hapo kwa namna fulan wataweza kuwafanya Marekani wakimbie kama Afghanstan maana itakuwa ni mashambulizi ya usiku na mchana bila kupumzika.
Americant hata ondoka Iraq ila atakimbia kama alivyo fanya Afghanistan

Yaani nisuala la muda tuuu
 
Siku nyingine uwe unaongea kwa takwimu sio insha nyingi
msaada ambao israel inapokea n 2B sasa unasemaje mabilion ya fedha kutoka US
si hivo tu US inawapa palestina,Rwanda,n nchi mbali mbali misaada tofauti ni kuwa wanafanyia nn!

Lakini hujaeleza kua Iran pia baada ya sanction ilitegemea bidhaa za magendo,na nchi za Asia

Lakini pia kuna nchi kama North korea ambayo vikwazo vimedunda pia
Ni akili tu za watawala
Sasa kwani mabilioni ya pesa unavyotaka wewe yaanzie pesa ngapi?

Pia Americant anawapa israhell kwamwaka msaada wazaidi ya billion 3 ama 4 huo ule rasmi bado kuna misaada ambayo wanapewa pewa tu

Bado kuna misaada anayopewa na mataifa mengine kama uk ger Fran Canada nk

Kuna kipindi Fran na ger walimpa israhell nyambizi sita zinatumia nguvu za nyuklia yaani israhell bila msaada hata hio rwanda inakua mbali sana dhidi ya israhell

Sasa ulitaka iran ikiishapigwa vikwazo ikae tu yaani bila kua na plan B kama kwenye mataifa yenu huko

Hapa hoja iran mkuu achana na korea mataifa yenye vikwazo yapo mengi
 
Kwa Middle East Iran ni nchi ya pili kwa kuwa na Wayahudi wengi baada ya Israeli, hivyo usihangae maarifa yao.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Iran imeanza kuwa na nguvu, jeshi bora na imara zaidi ya miaka 2000, kabla hata huyo mungu wa kiyahudi hajawambia kuwa wao watakuwa bora duniani, kabla hata hawajachukuliwa kizembe na Farao, kabla hata hawajateswa na kutawaliwa kijinga na waroma, kabla hata hawajatawaliwa na kuendeshwa na Ottoman Empire.

Iran ni moja kati ya nchi zilizotawala Israel kabla ya waroma kuingia Israel. Hivyo ni lazima jeshi lao lilibaka, lili waowa waisrael wazuri na kuacha watoto wao huko kama walivyofanya baadhi ya wazungu walivyokuja Africa, hivyo usishangae kuwa wairan waliacha vizazi vyao huko Israel ambavyo leo ndio vinaifanya Israel kuonekana wana nguvu na uwezo wa kijeshi. Kumbuka mtoto wa nyoka ni nyoka na vilevile maji hayaachi asili ndomaana mpaka leo Obama bado anajiona kuwa ni Mkenya japo ana uraia wa Marekani na tayari ashawahi kuwa raisi wa taifa hilo kubwa.

Hao wayahudi waliopo Iran ni vizazi vyao vilivyorudi baada ya utawala wao kuisha huko Israel.

Jaribu kuoongea na akili yako iache mihemko ili ujifunze mambo ya maana kwa uhuru zaidi na ufaidike kupitia historia unayosoma. So kwa vile mtu fulan kakumezesha uongo basi unaogopa kuutafuta ukweli nje ya uongo wake.
 

Attachments

  • Screenshot_20240112-134009.jpg
    Screenshot_20240112-134009.jpg
    94.6 KB · Views: 3
Americant hata ondoka Iraq ila atakimbia kama alivyo fanya Afghanistan

Yaani nisuala la muda tuuu
Pale Iraq serikali ikijielewa na kuamua kushirikiana na Iran kufanya jambo. Basi uwezekano wa Marekani kukimbilia ni mkubwa sana kama ilivyokuwa kule Afghanistan.
 
Sasa kwani mabilioni ya pesa unavyotaka wewe yaanzie pesa ngapi?

Pia Americant anawapa israhell kwamwaka msaada wazaidi ya billion 3 ama 4 huo ule rasmi bado kuna misaada ambayo wanapewa pewa tu

Bado kuna misaada anayopewa na mataifa mengine kama uk ger Fran Canada nk

Kuna kipindi Fran na ger walimpa israhell nyambizi sita zinatumia nguvu za nyuklia yaani israhell bila msaada hata hio rwanda inakua mbali sana dhidi ya israhell

Sasa ulitaka iran ikiishapigwa vikwazo ikae tu yaani bila kua na plan B kama kwenye mataifa yenu huko

Hapa hoja iran mkuu achana na korea mataifa yenye vikwazo yapo mengi
Nimeshampa za uso huko juu, naona kanikimbia 😂😂😂
 
Pale Iraq serikali ikijielewa na kuamua kushirikiana na Iran kufanya jambo. Basi uwezekano wa Marekani kukimbilia ni mkubwa sana kama ilivyokuwa kule Afghanistan.
Pale sirikali ishaanza kufunguka juzi ililiongelea hili suala

Ila bado halijawa official yaani lipo chini chini sana bado
 
Iran imeanza kuwa na nguvu, jeshi bora na imara zaidi ya miaka 2000, kabla hata huyo mungu wa kiyahudi hajawambia kuwa wao watakuwa bora duniani, kabla hata hawajachukuliwa kizembe na Farao, kabla hata hawajateswa na kutawaliwa kijinga na waroma, kabla hata hawajatawaliwa na kuendeshwa na Ottoman Empire.

Iran ni moja kati ya nchi zilizotawala Israel kabla ya waroma kuingia Israel. Hivyo ni lazima jeshi lao lilibaka, lili waowa waisrael wazuri na kuacha watoto wao huko kama walivyofanya baadhi ya wazungu walivyokuja Africa, hivyo usishangae kuwa wairan waliacha vizazi vyao huko Israel ambavyo leo ndio vinaifanya Israel kuonekana wana nguvu na uwezo wa kijeshi. Kumbuka mtoto wa nyoka ni nyoka na vilevile maji hayaachi asili ndomaana mpaka leo Obama bado anajiona kuwa ni Mkenya japo ana uraia wa Marekani na tayari ashawahi kuwa raisi wa taifa hilo kubwa.

Hao wayahudi waliopo Iran ni vizazi vyao vilivyorudi baada ya utawala wao kuisha huko Israel.

Jaribu kuoongea na akili yako iache mihemko ili ujifunze mambo ya maana kwa uhuru zaidi na ufaidike kupitia historia unayosoma. So kwa vile mtu fulan kakumezesha uongo basi unaogopa kuutafuta ukweli nje ya uongo wake.
Mwanzoni niliamini una hoja kumbe ujinga mtupu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mleta Uzi umefanya kosa mbaya sana kutaja mafanikio ya nchi ya Iran kwenye baadhi ya nyanja maana walio wengi wanataka kusikia mambo mabaya kuhusu Iran.

Wengi wao wanataka kusikia kile wanacho taka kusikia,wao mfumo wa kimaisha wa Magharibi ndo maisha kinyume na hapo ni makosa.
 
Pale sirikali ishaanza kufunguka juzi ililiongelea hili suala

Ila bado halijawa official yaani lipo chini chini sana bado
Yaa na iwe na nia ya kweli, sio CIA waweke watu wao yani viongozi wa Iraq wenye kutumika na USA wajifanye wanaichukia Marekani pale Iraq na kuipenda Iran kwa lengo la kuwajaza Iran upepo waingie kichwa kichwa kwenye mtego wao.

Lakini nai amini Iran kiintelejensia, haiwezi kuingingia kichwa kichwa katika uhusiano na viongozi wa Iraq bila kufanya kwanza upembuzi wa kutosha ili kujiridhisha kuwa wanafanya dili na watu sahihi au mapandikizi ya Marekani.
 
Mleta Uzi umefanya kosa mbaya sana kutaja mafanikio ya nchi ya Iran kwenye baadhi ya nyanja maana walio wengi wanataka kusikia mambo mabaya kuhusu Iran.

Wengi wao wanataka kusikia kile wanacho taka kusikia,wao mfumo wa kimaisha wa Magharibi ndo maisha kinyume na hapo ni makosa.
Tatizo lao wanashindwa kujifunza mambo kupitia hata sarafu mbali mbali duniani. Kila sarafu ina pande mbili tofauti, na kila upande unakuwa na maana yake.

Hivyo hata katika haya mambo kuna pande mbili ambazo moja ni ya kwao na wamagharibi wao na upande mwingine ni wa sisi wazee wa haki ambao ambao hatuangalii umagharibi, bali tunaangalia haki na facts.
 
Wakuu vipi, kwema.

Wakuu Iran ni mmoja kati ya nchi ambazo ziliwekewa vikwazo vikali na nchi za magharibi toka mnamo mwa miaka ya 70s huko hadi leo hii na siku zijazo.

Vikwazo hivyo ni vya kiuchumi, kijeshi nk, tena vimekuwa vikiongezwa siku hadi siku.

Tofauti na ilivyo kwa nchi nyingine kama vile Cuba, Venezuela nk zilizowekewa vikwazo pengine na marekan tu, au baadhi ya nchi za magharibi. vikwazo vya Iran vimewekwa na nchi za magharibi kama zote wakishirikiana na makampuni ya nchi hizo.

Lakini cha kushangaza Iran imeweza kuwa na uwezo hasa wa kijeshi sawa au pengine zaidi ya ule wa nchi ambazo hazijawahi kuwekewa vikwazo na nchi hizo.

Iran ni miongoni mwa nchi zenye eneo kubwa na watu wengi barani Asia, so pamoja na vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa takriban miaka 50 na zaidi, lkn wameweza kuwa na mifumo mizuri ya kudhibiti hali ya umasikini nchini mwao, tofauti na nchi kama Venezuela ambazo vikwazo vya miaka miwili au mitatu vimesababisha mamilioni ya raia waishi maisha ya shida na ya umasikini kupita maelezo.

Pamoja na vikwazo vikali vya magharibi hasa kwa upande wa mambo ya ulinzi, lkn bado nchi hiyo imeweza kuonesha kuwa haipo chini au nyuma kijeshi hata siku moja. Wengi tuliona jinsi wa Iran walivyoziangamiza ndege zisizo na ruban zilizokuwa zinatumiwa na Marekan kupima upepo katika eneo lao, wengi tuliona jinsi Iran ilivyozilipua meli ambazo zilikuwa zinabeba wapelelezi mbali mbali wa magharibi karibu na eneo lake, wengi tuliona jinsi Iran ilivyoshambulia kambi kadhaa za Marekani kule Iraq na kusababisha maafa na uharibifu mkubwa katika kambi hizo baada ya Mmarekani kumuuwa mmoja wa maofisa wakubwa wa Iran kule Iraq, tena kabla ya kufanya mashambulizi hayo wa Iran walitoa taarifa mapema kuwa watalipiza kisasi kupitia kambi za wamarekan kule Iraq, so marekan ikajiandaa kuzuia shambulizi lkn mwisho wa siku shambulizi likashindikana kuzuilika na kuleta maafa kwa jeshi la nchi hiyo kubwa duniani.

Wengi tulishuhudia jinsi Iran ilivyotoa msaada wa silaha kwa kundi la hezbullah ambalo liliichachafya Israel inayopata msaada mkubwa wa fedha kutoka Marekani kwa ajili ya ulinzi wao. Hiyo ilikuwa mwaka 2006 hadi jumuiya ya kimataifa ikaingilia kati na kuomba ipatekane suluhu ya kudumu baina ya Israeli na hezbullah.

Wengi tulishuhudia jinsi Iran ilivyosimama na kumlinda Asad wa Syria katika vita vyake, hadi kupelekea mipango ya Marekani na nchi za magharibi kumng'oa imeshindikana.

Wengi tunashuhudia sasa jinsi silaha kidogo tu za ndege zisikuwa na rubani za Iran zinavyofanya uharibifu mkubwa, na kusababisha maafa makubwa na zaidi ya yale yaliokuwa yanafanywa na Russia kupitia silaha zake mwenyewe (Russia) huko Ukraine.
Mpaka Marekani na nchi zingine za magharibi zinapiga kelele, maana silaha zinazotumika sio zile za Russia ambazo zilikuwa zinampa jeuri raisi wa Ukraine kuona kwamba sasa vita vimekwisha.

Hata zile himars za Marekani sasa hivi zinaonekana hazifanyi kazi mbele ya maangamizi ya ndege hizi za Iran.

Sasa tujiulize, kama nchi iliyowekewa vikwazo na mataifa makubwa duniani kwa zaidi ya miaka 50 bado ina uwezo iliyo nao leo, sasa je kama isingewekewa vikwazo kwa miaka yote hiyo 50 leo ni nchi gani ambayo ingeitisha pale Asia na hata duniani kwa ujumla.

Hizo nilizosema hapa ni zile silaha ilizotoa kuwawezesha hao niliwataja washinde mapambano yao, hapo hatujazungumzia silaha zake mwenyewe alizoweka kwa lengo la kujilinda ambazo kwa sheria za kijeshi duniani huwa zinafanywa siri kubwa ili adui asizione.

Mpaka sasa Marekani na nchi za magharibi zinashindwa kujua ni njia gani nyingine ya kumdhibiti huyu mtemi, maana wamarekani waliwahi kumtumia msaudi mwaka jana, hapo hapo Iran hakuchelewesha akaangamiza mitungi yake mikubwa ya kuwekea mafuta mpaka saudia na dunia ikapiga kelele.

Hili taifa ni la maajabu sana, japo lina maadui wengi lililotengenezewa na nchi za magharibi na halipati msaada wa kifedha kutoka kwa nchi yoyote lkn bado linajiamini kupita maelezo.

Mti wenye matunda ndio hurushiwa mawe, namaanisha ukiona nchi za magharibi na vibaraka wao wanapambana kwa hali na mali dhidi ya uchumi na ulinzi wa kijeshi wa nchi moja, basi jua kwamba wamagharibi hao wameshagundua kwamba nchi hiyo ni hatari maradufu kwa mustakabali wa uchumi wao pamoja na ulinzi wao.
Ukiwa na maadui wengi huhitaji kitanda,ila unahitaji mawe mengi ili uweke godoro juu yake.
 
Wakuu vipi, kwema.

Wakuu Iran ni mmoja kati ya nchi ambazo ziliwekewa vikwazo vikali na nchi za magharibi toka mnamo mwa miaka ya 70s huko hadi leo hii na siku zijazo.

Vikwazo hivyo ni vya kiuchumi, kijeshi nk, tena vimekuwa vikiongezwa siku hadi siku.

Tofauti na ilivyo kwa nchi nyingine kama vile Cuba, Venezuela nk zilizowekewa vikwazo pengine na marekan tu, au baadhi ya nchi za magharibi. vikwazo vya Iran vimewekwa na nchi za magharibi kama zote wakishirikiana na makampuni ya nchi hizo.

Lakini cha kushangaza Iran imeweza kuwa na uwezo hasa wa kijeshi sawa au pengine zaidi ya ule wa nchi ambazo hazijawahi kuwekewa vikwazo na nchi hizo.

Iran ni miongoni mwa nchi zenye eneo kubwa na watu wengi barani Asia, so pamoja na vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa takriban miaka 50 na zaidi, lkn wameweza kuwa na mifumo mizuri ya kudhibiti hali ya umasikini nchini mwao, tofauti na nchi kama Venezuela ambazo vikwazo vya miaka miwili au mitatu vimesababisha mamilioni ya raia waishi maisha ya shida na ya umasikini kupita maelezo.

Pamoja na vikwazo vikali vya magharibi hasa kwa upande wa mambo ya ulinzi, lkn bado nchi hiyo imeweza kuonesha kuwa haipo chini au nyuma kijeshi hata siku moja. Wengi tuliona jinsi wa Iran walivyoziangamiza ndege zisizo na ruban zilizokuwa zinatumiwa na Marekan kupima upepo katika eneo lao, wengi tuliona jinsi Iran ilivyozilipua meli ambazo zilikuwa zinabeba wapelelezi mbali mbali wa magharibi karibu na eneo lake, wengi tuliona jinsi Iran ilivyoshambulia kambi kadhaa za Marekani kule Iraq na kusababisha maafa na uharibifu mkubwa katika kambi hizo baada ya Mmarekani kumuuwa mmoja wa maofisa wakubwa wa Iran kule Iraq, tena kabla ya kufanya mashambulizi hayo wa Iran walitoa taarifa mapema kuwa watalipiza kisasi kupitia kambi za wamarekan kule Iraq, so marekan ikajiandaa kuzuia shambulizi lkn mwisho wa siku shambulizi likashindikana kuzuilika na kuleta maafa kwa jeshi la nchi hiyo kubwa duniani.

Wengi tulishuhudia jinsi Iran ilivyotoa msaada wa silaha kwa kundi la hezbullah ambalo liliichachafya Israel inayopata msaada mkubwa wa fedha kutoka Marekani kwa ajili ya ulinzi wao. Hiyo ilikuwa mwaka 2006 hadi jumuiya ya kimataifa ikaingilia kati na kuomba ipatekane suluhu ya kudumu baina ya Israeli na hezbullah.

Wengi tulishuhudia jinsi Iran ilivyosimama na kumlinda Asad wa Syria katika vita vyake, hadi kupelekea mipango ya Marekani na nchi za magharibi kumng'oa imeshindikana.

Wengi tunashuhudia sasa jinsi silaha kidogo tu za ndege zisikuwa na rubani za Iran zinavyofanya uharibifu mkubwa, na kusababisha maafa makubwa na zaidi ya yale yaliokuwa yanafanywa na Russia kupitia silaha zake mwenyewe (Russia) huko Ukraine.
Mpaka Marekani na nchi zingine za magharibi zinapiga kelele, maana silaha zinazotumika sio zile za Russia ambazo zilikuwa zinampa jeuri raisi wa Ukraine kuona kwamba sasa vita vimekwisha.

Hata zile himars za Marekani sasa hivi zinaonekana hazifanyi kazi mbele ya maangamizi ya ndege hizi za Iran.

Sasa tujiulize, kama nchi iliyowekewa vikwazo na mataifa makubwa duniani kwa zaidi ya miaka 50 bado ina uwezo iliyo nao leo, sasa je kama isingewekewa vikwazo kwa miaka yote hiyo 50 leo ni nchi gani ambayo ingeitisha pale Asia na hata duniani kwa ujumla.

Hizo nilizosema hapa ni zile silaha ilizotoa kuwawezesha hao niliwataja washinde mapambano yao, hapo hatujazungumzia silaha zake mwenyewe alizoweka kwa lengo la kujilinda ambazo kwa sheria za kijeshi duniani huwa zinafanywa siri kubwa ili adui asizione.

Mpaka sasa Marekani na nchi za magharibi zinashindwa kujua ni njia gani nyingine ya kumdhibiti huyu mtemi, maana wamarekani waliwahi kumtumia msaudi mwaka jana, hapo hapo Iran hakuchelewesha akaangamiza mitungi yake mikubwa ya kuwekea mafuta mpaka saudia na dunia ikapiga kelele.

Hili taifa ni la maajabu sana, japo lina maadui wengi lililotengenezewa na nchi za magharibi na halipati msaada wa kifedha kutoka kwa nchi yoyote lkn bado linajiamini kupita maelezo.

Mti wenye matunda ndio hurushiwa mawe, namaanisha ukiona nchi za magharibi na vibaraka wao wanapambana kwa hali na mali dhidi ya uchumi na ulinzi wa kijeshi wa nchi moja, basi jua kwamba wamagharibi hao wameshagundua kwamba nchi hiyo ni hatari maradufu kwa mustakabali wa uchumi wao pamoja na ulinzi wao.
Waarabu wangeiga hawa jamaa ..waarabu hasa wa saudia ni watu waioweza kuumiza kichwa kabisa kuhusu kutengeneza vitu vyao wenyewe na West ndo wanapenda watu wa namna hii ..iran licha ya vikwazo ni taifa linaibuka kwa kutengeenza vitu vyao wennyewe
 
Waarabu wangeiga hawa jamaa ..waarabu hasa wa saudia ni watu waioweza kuumiza kichwa kabisa kuhusu kutengeneza vitu vyao wenyewe na West ndo wanapenda watu wa namna hii ..iran licha ya vikwazo ni taifa linaibuka kwa kutengeenza vitu vyao wennyewe
Asilimia 98 ya viongozi wa kiarabu ni wapumbavu sana. Ndiomaana kila siku wazungu wanacheza na akili zao tu.

Utawala wa Saudia uliwekwa na nchi za magharibi ili kusaidia kulinda masilahi yao, ndiomaana mpaka leo hata sindano ya kushonea nguo, au sandrozi wanazovaa zinatoka Ulaya na Marekani.
 
Wakuu vipi, kwema.

Wakuu Iran ni mmoja kati ya nchi ambazo ziliwekewa vikwazo vikali na nchi za magharibi toka mnamo mwa miaka ya 70s huko hadi leo hii na siku zijazo.

Vikwazo hivyo ni vya kiuchumi, kijeshi nk, tena vimekuwa vikiongezwa siku hadi siku.

Tofauti na ilivyo kwa nchi nyingine kama vile Cuba, Venezuela nk zilizowekewa vikwazo pengine na marekan tu, au baadhi ya nchi za magharibi. vikwazo vya Iran vimewekwa na nchi za magharibi kama zote wakishirikiana na makampuni ya nchi hizo.

Lakini cha kushangaza Iran imeweza kuwa na uwezo hasa wa kijeshi sawa au pengine zaidi ya ule wa nchi ambazo hazijawahi kuwekewa vikwazo na nchi hizo.

Iran ni miongoni mwa nchi zenye eneo kubwa na watu wengi barani Asia, so pamoja na vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa takriban miaka 50 na zaidi, lkn wameweza kuwa na mifumo mizuri ya kudhibiti hali ya umasikini nchini mwao, tofauti na nchi kama Venezuela ambazo vikwazo vya miaka miwili au mitatu vimesababisha mamilioni ya raia waishi maisha ya shida na ya umasikini kupita maelezo.

Pamoja na vikwazo vikali vya magharibi hasa kwa upande wa mambo ya ulinzi, lkn bado nchi hiyo imeweza kuonesha kuwa haipo chini au nyuma kijeshi hata siku moja. Wengi tuliona jinsi wa Iran walivyoziangamiza ndege zisizo na ruban zilizokuwa zinatumiwa na Marekan kupima upepo katika eneo lao, wengi tuliona jinsi Iran ilivyozilipua meli ambazo zilikuwa zinabeba wapelelezi mbali mbali wa magharibi karibu na eneo lake, wengi tuliona jinsi Iran ilivyoshambulia kambi kadhaa za Marekani kule Iraq na kusababisha maafa na uharibifu mkubwa katika kambi hizo baada ya Mmarekani kumuuwa mmoja wa maofisa wakubwa wa Iran kule Iraq, tena kabla ya kufanya mashambulizi hayo wa Iran walitoa taarifa mapema kuwa watalipiza kisasi kupitia kambi za wamarekan kule Iraq, so marekan ikajiandaa kuzuia shambulizi lkn mwisho wa siku shambulizi likashindikana kuzuilika na kuleta maafa kwa jeshi la nchi hiyo kubwa duniani.

Wengi tulishuhudia jinsi Iran ilivyotoa msaada wa silaha kwa kundi la hezbullah ambalo liliichachafya Israel inayopata msaada mkubwa wa fedha kutoka Marekani kwa ajili ya ulinzi wao. Hiyo ilikuwa mwaka 2006 hadi jumuiya ya kimataifa ikaingilia kati na kuomba ipatekane suluhu ya kudumu baina ya Israeli na hezbullah.

Wengi tulishuhudia jinsi Iran ilivyosimama na kumlinda Asad wa Syria katika vita vyake, hadi kupelekea mipango ya Marekani na nchi za magharibi kumng'oa imeshindikana.

Wengi tunashuhudia sasa jinsi silaha kidogo tu za ndege zisikuwa na rubani za Iran zinavyofanya uharibifu mkubwa, na kusababisha maafa makubwa na zaidi ya yale yaliokuwa yanafanywa na Russia kupitia silaha zake mwenyewe (Russia) huko Ukraine.
Mpaka Marekani na nchi zingine za magharibi zinapiga kelele, maana silaha zinazotumika sio zile za Russia ambazo zilikuwa zinampa jeuri raisi wa Ukraine kuona kwamba sasa vita vimekwisha.

Hata zile himars za Marekani sasa hivi zinaonekana hazifanyi kazi mbele ya maangamizi ya ndege hizi za Iran.

Sasa tujiulize, kama nchi iliyowekewa vikwazo na mataifa makubwa duniani kwa zaidi ya miaka 50 bado ina uwezo iliyo nao leo, sasa je kama isingewekewa vikwazo kwa miaka yote hiyo 50 leo ni nchi gani ambayo ingeitisha pale Asia na hata duniani kwa ujumla.

Hizo nilizosema hapa ni zile silaha ilizotoa kuwawezesha hao niliwataja washinde mapambano yao, hapo hatujazungumzia silaha zake mwenyewe alizoweka kwa lengo la kujilinda ambazo kwa sheria za kijeshi duniani huwa zinafanywa siri kubwa ili adui asizione.

Mpaka sasa Marekani na nchi za magharibi zinashindwa kujua ni njia gani nyingine ya kumdhibiti huyu mtemi, maana wamarekani waliwahi kumtumia msaudi mwaka jana, hapo hapo Iran hakuchelewesha akaangamiza mitungi yake mikubwa ya kuwekea mafuta mpaka saudia na dunia ikapiga kelele.

Hili taifa ni la maajabu sana, japo lina maadui wengi lililotengenezewa na nchi za magharibi na halipati msaada wa kifedha kutoka kwa nchi yoyote lkn bado linajiamini kupita maelezo.

Mti wenye matunda ndio hurushiwa mawe, namaanisha ukiona nchi za magharibi na vibaraka wao wanapambana kwa hali na mali dhidi ya uchumi na ulinzi wa kijeshi wa nchi moja, basi jua kwamba wamagharibi hao wameshagundua kwamba nchi hiyo ni hatari maradufu kwa mustakabali wa uchumi wao pamoja na ulinzi wao.
Aina uwezo wowote kama mifumo yake ya satelite ipo mikononi mw israel VIONGOZI WAKE WANAULIWA KAMA KUKU UNAWASIFIA UPUZI UPUZI UMESHIBA MAKANDE WENZAKO WANAKUFA KAMA VIPANYA
 
Aina uwezo wowote kama mifumo yake ya satelite ipo mikononi mw israel VIONGOZI WAKE WANAULIWA KAMA KUKU UNAWASIFIA UPUZI UPUZI UMESHIBA MAKANDE WENZAKO WANAKUFA KAMA VIPANYA
Jamii ya Iran ina wayahudi takribani laki 8. Kutokea mapandikizi kwao ni kitu cha kawaida.

Ni kama USSR, baada ya Stalin kuwa rais alikuta Shirika la kijasusi limejaa wayahudi ambao walikuwa wafuasi wa rais wa Leon Trotsky na Lenin. Aliwaondoa taratibu mpaka mambo yakawa shwari.

Kwa kesi ya Iran nayo ipo namna hiyo! Kuna waajemi wayahudi na kwa namna hiyo mambo ya kuvuja siri ni kitu kinachowezekana.
 
Back
Top Bottom