permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Muda si mrefu Israel anaenda kupasua nuclear sites na visima vya mafuta.Kama operation yenyewe inavyojieleza basi Iran hana ahadi hewa hapo vyuma vinawekwa sawa kwa ajili ya kupeperushwa kwenda Israel hakuna cha Iron domo wala THAAD itakayozuia makombora.
Iran hana taarabu nyingi bali vitendo tu.
Baada ya ahadi hii kutolewa kuanzia Nyetonyau hadi wananchi wake wapo mashimoni hawajui mzigo utashushwa lini na Muajemi.😂😂
Humu jukwaani kuna watu walisema Yahudi hawezi rusha hata jiwe Iran..aiseee nilitaka kuja na andiko la ivi ivi kuwa Iran kwa ukubwa wake inabidi amnyooshe tena dogo mana ataleta dhalau atakama akuna madhala sana lkn ayo ayo madogo na kufa wajeda wawili aiwezi kuwachwa kimya Iran inabidi atume viuma live tena kambi zibutuliwe mwana ukome bila shaka kwasasa Iran ashajua uwezo wake so kazi yasasa ni kuipanga upya air difen
in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.Wanaukumbi.
Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran.
Operesheni True Promise III inakuja hivi karibuni.
Iran, wamesema wazi lazima walipize kisasi wana haki ya kujilinda kama taifa kamwe hawezi kukubali na wako tayari kwa vita virefu.
View: https://x.com/timesof_lebanon/status/1850231493710262737?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Do you believe this boss?
Mchambuzi wa masuala ya kivita kutoka Kibongoto.in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
😂😂 Hatojaribu kufanya kosa hilo la karne vinginevyo Mazayuni wameamua kuifuta rasmi nchi feki iliyobuniwa 1948 na azimio la UN.Muda si mrefu Israel anaenda kupasua nuclear sites na visima vya mafuta.
Chanzo ni ofisi ya Iran iliyoko Umoja wa mataifa.Angalia chanzo cha habari kwanza.
Soma vizuri hiyo ni official page ya Iran UN haijatoka kwa vibaraka wa wayahudiNukuu toka kwa Ayatollah wa Mpitimbi
Wanaukumbi.
Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran.
Operesheni True Promise III inakuja hivi karibuni.
Iran, wamesema wazi lazima walipize kisasi wana haki ya kujilinda kama taifa kamwe hawezi kukubali na wako tayari kwa vita virefu.
View: https://x.com/timesof_lebanon/status/1850231493710262737?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
Myahudi Mchambuzi wa siasa za mashariki ya kati kutoka Lindi.in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
Kama yesu akija na hakika nae atalipiza kisasi kwa wayahudi maana si kwa misumari ilein fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
Kama yesu akija na hakika nae atalipiza kisasi kwa wayahudi maana si kwa misumari ile
Nadhani ukimsikiliza vizuri utagundua kuwa Ndege nyingine zilipewq kazi ya kulipua Radar za Syria Arab Republic zingine zikapewa kazi ya kulipua Radar za Iraq Arab Republic ili kuclear njia na Ndege zingine zikamuingilia Ayatolah.Do you believe this boss?
Sasa mara ndege 100 mara few dozens
Huku wanasema kapiga kwa mbali hakuingiza ndege bali jirani
Kwa utandawazi.huu na technology hii
Ngoja na mimi niwe blogger tu wa kuungaunga habari 😄 🤣
sasa iran angetangaza kwamba atalipiza kisasi kama hakuna madhara ndugu yangu. cha muhimu ni kuomba Mungu wapatane tu, vita sio nzuri, ila kupigwa kapigwa mno. kiwanda chake cha kutengeneza makombora kimekuwa majibu na itachukua si chini ya miaka 2 kusimama, air defence system zote fyekelea mbali, sasaivi hata Tanzania tunaweza kwenda na ndege yetu pale tukapiga na kurudi bila iran kujua kama tunakuja wala kutudungua.Mi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?
Wakati Iran anaipiga Israel tarehe 1 mwezi huu tuliona Live moto ukishuka pale Tel avivi je Israel na marekani wanakwama wapi kutoonesha live wakiwasha moto hapo Jana?
Nahitimisha kwa kusema Israel na marekani wamefeli kulipa kisasi kwa Iran hapo Jana .