Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

Scott Ritter bado anawavua nguo West. Sasa huyo ni Iran, Vipi kuhusu Missiles za Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ mfano wa ile Samart II mh? Wataeza kulizuia kweli??? Wataweza kupambana na Russia hawa?


QA-I'nh
 
Scott Ritter bado anawavua nguo West. Sasa huyo ni Iran, Vipi kuhusu Missiles za Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ mfano wa ile Samart II mh? Wataeza kulizuia kweli??? Wataweza kupambana na Russia hawa?


QA-I'nh
Copy and paste from Huk Luk JF-Expert member
 
sraeli yafunga shule kote nchini, yaweka jeshi katika hali ya tahadhari huku kukiwa na tishio la Iran.
Na wairan wanaendelea na mazoez makal cheki kamanda huyo hapo wazayuni hawakatizi
 
Mkuu we mzungu au mmeo ndio mzungu, hayo yote hapo juu ni vita dhidi ya maendeleo ya Afrika, Wazungu siku zote wanaplan Afrika tubaki wajinga tuwategee wao. Ndio maana wachahce waliotaka kuonesha wanaweza waliitwa magaidi na ma dikteta wakamalizwa kikatili.
 
Aya zipi hizo mkuu kwenye kitabu pendwa Kuruani Takatifu?
 
Aya zipi hizo mkuu kwenye kitabu pendwa Kuruani Takatifu?
Kwisha habari yenu walokole hahahah๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Iran Nuksi sasa hivi Waisrael weusi walokole wa JF kila mmoja anaongea vyake. iran huyo anakuja๐Ÿ˜€
 
Kijana Kunywa kahawa ya kizayuni kwanza,upunguze makasiriko ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜€
MPYA: ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Iran iliitaarifu Marekani saa 72 kabla ya shambulio hilo, na kuwapa muda wa kuandaa ulinzi.

Shirika la habari la Reuters linaripoti kuwa Tehran ilizipa nchi jirani na Marekani 'notisi ya saa 72 kwamba ingeanzisha mgomo huo, hatua ambayo ingewawezesha kwa kiasi kikubwa kuzuia shambulio hilo'.
 
Israel wanataka kujibu mashambulizi dhidi ya Iran. Baba yake Marekani na Ulaya wamemuonya kuwa itakuwa hatari kuna vita vya Ukraine bado hali tete wanaogopa kuingia kwenye vita vingine, acha ajibu aone mziki wa Iran.
 
Israeli Channel 12: The Israeli Air Force is completing its preparations to respond to the Iranian attack
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ