Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

Afisa wa Irani aliiambia Al Jazeera: Tuko tayari kwa kiwango cha pili cha majibu kupitia silaha ambazo hazijatumiwa hapo awali katika mzozo na taasisi ya Israeli.
 
Kuna utawala uliogofya Middle East kama Saddam regime na uzao wake katili Uday na Qusay?

Yaliyotokea ni historia; dikteta alidakwa mashimoni kama kuku wa mdondo na kuishia kula kitanzi akidhihakiwa na vijana wadogo!

Mnamkumbuka Muamar Gaddafi? Jitu lililoogopeka Afrika yote? Likiishia kusokomezwa vitu vigumu kwenye mitaro na wahuni?

Where is Hosni Mubarak? Who is Ayatollah? Mbona mna akili za kuku hamjifunzi ninyi?
Huna unalolijua wee , Sasa Sadam ufananishe na Iran unaakilisawasawa kwel wee!! Sadam alikua anaunda silaha gani huko Iraq? Yani anataka vita anategemea pesa eti anunue silaha kwa wazungu
 
Wanaukumbi.

Mambo yanazidi kuwa mazito Israel walikuwa wanadhani Iran ni kama Gaza.

Vyombo vya Habari vya Israeli: Kwa hatua hii, Wairani walituma ujumbe wazi kwa Amerika. Ukiingilia kati kwa niaba ya Israeli, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu.


View: https://x.com/sprinterfactory/status/1779122945136148708?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

UP DATE.
========================

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1779237034562879667?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwb

USHAMBULIAJI WA IRAN KWA ISRAEL

- Zaidi ya ndege 50 zisizo na rubani za Iran zimerushwa kuelekea Israel

- Weka kuchukua saa kadhaa kabla ya kufikia anga ya Israeli

- Shughuli za ndege zisizo na rubani zaonekana juu ya Iraq

- anga ya Iran, Jordan na Israel itafungwa

- Jeshi la Israeli na ulinzi wa anga katika tahadhari ya juu

- Shambulio la kwanza la moja kwa moja la Irani kwenye eneo la Israelic
UP DATE

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1779251652496637989?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

UP DATE


View: https://x.com/suppressednws/status/1779478174637633539?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

watafunga vipi wakat kutakua hamna nchi inaitwa iran
 
iiulize iraq??
kunataifa lilikua kubwa kama iraq?
Umetaja mfano mzuri.
Hiyo Iraq kipindi ndio taifa kubwa hapo middle east iliivamia Iran na kupigana vita ya miaka 8 lakini Iraq iliomba vita iishe.
Tena mwaka ambao Iraq inaivamia Iran ni mwaka ambao Iran ilikua bado sio imara kijeshi maana ndio kwanza 1979 ilitoka kumpindua Muhammed Shah.
Hivyo ndio ujue Iran ni zaidi ya Iraq.
 
Umetaja mfano mzuri.
Hiyo Iraq kipindi ndio taifa kubwa hapo middle east iliivamia Iran na kupigana vita ya miaka 8 lakini Iraq iliomba vita iishe.
Tena mwaka ambao Iraq inaivamia Iran ni mwaka ambao Iran ilikua bado sio imara kijeshi maana ndio kwanza 1979 ilitoka kumpindua Muhammed Shah.
Hivyo ndio ujue Iran ni zaidi ya Iraq.
🇮🇱🇮🇷 Kungoja kwa Iran na kuliweka eneo hilo chini ya shinikizo kubwa ni pigo la kwanza kwa Israel ambalo ni la kifedha.

Kushuka kwa kiasi kikubwa kwa soko la hisa jana duniani kote, bila kusahau soko la hisa la Israeli na uchumi.

Israel iko chini ya shinikizo kubwa na inakabiliwa na hasara kubwa ya kiuchumi. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayewekeza pesa katika kampuni ya Israel ambayo inaweza kulipuliwa kesho.

Hofu na kutokuwa na uhakika pia vinaathiri biashara zao za nyumbani.

Safari za ndege zimesitishwa, usafiri wa meli umepungua, uagizaji wa bidhaa nje umepungua, sehemu kubwa ya watu wanatafuta njia ya kutoka nje ya nchi angalau hadi hali itulie.

Kaskazini mwa nchi imepooza, kusini huko Eliot imefilisika. Yote hii itaanguka nyuma ya USA, ambayo italazimika kuandaa kifurushi kipya cha msaada.

Ndio maana Iran na Hezbollah zinaendelea kutoa vitisho tu kwa umma. Inawafaa. Vyombo vya habari vya Israel vilitangaza jana kuwa maafisa wa Israel wanafikiria kuanzisha mashambulizi kabla ya kuipa Iran nafasi ya kufanya hivyo. Kusubiri huwaletea pigo kubwa la kifedha.

Nasrallah, kiongozi wa Hizbullah pia alitangaza hivi punde tu kwamba kusubiri majibu ni sehemu ya 'vita vya kisaikolojia na kiuchumi dhidi ya Wazayuni.'
 
Hawana Jipya hao Watu hawaongei ni Vitendo tuu Bado huyu Rais Mpya Apite na Ukungu Mwingine mwakani msimu Wa baridi asitoke Nnje
 
Wanaukumbi.

Mambo yanazidi kuwa mazito Israel walikuwa wanadhani Iran ni kama Gaza.

Vyombo vya Habari vya Israeli: Kwa hatua hii, Wairani walituma ujumbe wazi kwa Amerika. Ukiingilia kati kwa niaba ya Israeli, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu.


View: https://x.com/sprinterfactory/status/1779122945136148708?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

UP DATE.
========================

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1779237034562879667?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwb

USHAMBULIAJI WA IRAN KWA ISRAEL

- Zaidi ya ndege 50 zisizo na rubani za Iran zimerushwa kuelekea Israel

- Weka kuchukua saa kadhaa kabla ya kufikia anga ya Israeli

- Shughuli za ndege zisizo na rubani zaonekana juu ya Iraq

- anga ya Iran, Jordan na Israel itafungwa

- Jeshi la Israeli na ulinzi wa anga katika tahadhari ya juu

- Shambulio la kwanza la moja kwa moja la Irani kwenye eneo la Israelic
UP DATE

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1779251652496637989?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

UP DATE


View: https://x.com/suppressednws/status/1779478174637633539?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

MKUUU NGONJERA ZA TAARABU HIZI

ALIKUFA MJESHI WAO LEBANON WAKAANDIKA KIBAO

WAHUNI WAMEMALIZANA NA MKUU WA HAMAS KWAOO MKUU UNAELEWAA NDAN YA IRAN OOOH

HUU MCHEZO KAAPEMBEN ANGALIA PICHA
 
Back
Top Bottom