Iran: Wanawake wavua hijab kulalamika mauaji ya mwenzao kisa sheria ya dini

Iran: Wanawake wavua hijab kulalamika mauaji ya mwenzao kisa sheria ya dini

Hizi tawala zinazojiita za kidini hazina mustakabali mwema huko dunia inakoenda na lazima zitakufa kwa sababu hazina ridhaa ya wananchi zinalindwa tu na dola.

Kwa akili tu ya kawaida, mambo ya mtu kavaaje inamuhusuje mtu mwingine wewe ni mtu gani eti ukiona mwanamke amevaa nguo imembana eti unapatwa na matamanio! Yaani unazidiwa hata na wanyama ambao hata nguo hawana! Bure kabisa.
Utakufa wewe hizo sheria zitabaki.
 
Kuna jamaangu ni muumun mzuri sana wa hii imani ya wavaa kobazi, Yule jamaa hakuna dhambi mbaya na anayoilaani kama kula kitimoto, yan ni najisi vibaya mno aseee. lakin umalaya sasa anakula adi vitoto vya secondary, ila mkitaka mgombane ihuaishwe kitimoto ktk vyombo vyake. hawa jamaa mim siwaelewagi kwanin ni wanafiki kiasi iki
 
Sijui waliingiaje mkenge wa hiyo dini ya mwarabu, Persians ni watu wenye akili sana na wangekua mbali sana leo hii isingekua huo uzombi wa kidini.
Hiyo dini ingeachiwa waswahili na waarabu basi...
Hata huku uswahilini sijui kwanini ilifika, imetuharibia mno jamii, na bado inaendelea kuharibu.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaangu ni muumun mzuri sana wa hii imani ya wavaa kobazi, Yule jamaa hakuna dhambi mbaya na anayoilaani kama kula kitimoto, yan ni najisi vibaya mno aseee. lakin umalaya sasa anakula adi vitoto vya secondary, ila mkitaka mgombane ihuaishwe kitimoto ktk vyombo vyake. hawa jamaa mim siwaelewagi kwanin ni wanafiki kiasi iki
Unafiki ndio msingi mkuu wa wavaakobazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kumne ni source ni MUMBAI NEWS/BJP Popaganda
 
Haya mambo haya, Naomba mnisaidie hili wajuzi.

Kama issue ni kujistili kwann na wanaume wasivae hijab ili kuficha Sehemu ya miili yao inayoweza kumsababishia mtu mwingine kushawishika???
Wanaume tunatakiwa tuangalie chini na kuacha kuchangamana na wanawake wasio wa familia zetu na kuoa mapema ili kuepuka uzinzi
 
Ujue hapo Wanawake wanatembea na mazito moyoni kutokana na kunyanyaswa na Sharia za Kidini.
 
Back
Top Bottom