jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Nazidi kuelewe kwanini wengi wakipata chance wanakimbilia ulaya na marekani..nchi zenye sheria kali za kidini..ni nchi zakikatiri sana.Ujue hapo Wanawake wanatembea na mazito moyoni kutokana na kunyanyaswa na Sharia za Kidini.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app