Iran: Wanawake wavua hijab kulalamika mauaji ya mwenzao kisa sheria ya dini

Wanaume tunatakiwa tuangalie chini na kuacha kuchangamana na wanawake wasio wa familia zetu na kuoa mapema ili kuepuka uzinzi

Acheni kuwatesa wanawake na huo ujinga wa kuficha nywele eti ndio sasa mtazuia uzinzi....
 
Halafu huwa mnaiga hadi kujilipua mabomu, yaani mwarabu anakujaza mzuka wa dini yake hadi unawalipukia Waafrika wenzako...
Tumia akili wewe mzungu m.bantu mabomu fitna uchonganishi uzushi utapeli ujambazi wote unafadhiliwa na hao ndugu zako wazungu Dunia nzima munaivuruga kwa tamaa zenu
 
Sasa huku kwetu kwa "waarab weusi" msituambie ni Swala la dini na kujihifadhi mnalolionea ufahari,
Wenye dini yao wanaona ni upuuzi tu.


Your browser is not able to display this video.
 
kweli hizi dini tumapigwa ila hawa jamaa zetu wavaa makubanzi wameshikwa masikio hasa yani kama ni kuchoomwa moto hawa ndo watakuwa kuni kwao ukatili unyanyasaji uzinzi sio dhambi ni kuona nywele tu ndio dhambi ...
 
takwa la mungu wwe mwanadamu mwenye kufa linakuhusu nini?
leo utakuwepo kusimamia sheria zako gandamizi kesho naniii atasimamia?
kwanini usiache mungu asimamie mwenyewe na ahakumu kwa haki mana yeye yupo Leo na hata iitwayo kesho ni nani basi atamuhukumu anae hukumu? pindi akoseapo kwann kama wamepewa mamlaka ya kuhukumu hamuwezi kuyahukumu na yale yanayotwendwa kwa kificho? nyie ni nothing bure mmejaa ukatili na dhambi kuliko mnao wahukumu..
 
Ni ujinga kuamini dhambi iko kwenye macho ya mtu. Dhambi iko moyoni.
Wajue tangu anguko la mwanadamu akili, uelewa, na kila nyanja iko corrupted hakuna jema. Ni Mungu tu ndio hupatikiza moyo mpya kwa anayemuamini Yesu. Ova
 
Utumwa huwa una mwisho wake. Hata Afrika tulitawaliwa kwa sababu ya ujinga wa akina chifu mangungo ila kwa sasa haiwezekani tena. Hata hao wanawake wa nchi za kiarabu tayari wameshaamka. Kuendelea kunyanyaswa kwa ngano za kizamani eti ni dini isiyopitwa na wakati ni rongo
 
Wewe unateseka na haya ma-screenshot yako, hakuna mtu atakuskliza mpaka muache uzombi, huyo mdada mngemuacha kichwa chake na nywele mngepungukiwa nini.
Hakuna atayeachwa.Wewe ropoka hapa tu,lakini huko ni mwendo wa kushikishwa adabu.
 
Na maandamano yanaendelea leo siku ya nne, mngeacha mdada wa watu na kichwa chake hayangetokea....
Yaendelee hata miaka 100000 huko.Hakuna kitakacho badilika.Wewe unapoteza muda tu,Uislamu na sheria zake kamwe hazitabadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…