Mtafute FaizaFoxy atakuwa na maelekezo yaliyoshiba kulijibu hili swali lako.Haya mambo haya, Naomba mnisaidie hili wajuzi.
Kama issue ni kujistili kwann na wanaume wasivae hijab ili kuficha Sehemu ya miili yao inayoweza kumsababishia mtu mwingine kushawishika?
Sio shetani anazidi kushika vichww vya watu hadi wanaona kushika na kufuata mafunzo ya kiimani ni adhabu au mzigo?.Dini za kitumwa zimeanza kukosa mvuto..
#MaendeleoHayanaChama
Sura ya mtu, nywele, ndevu n.k zinaweza kuwa vishawishi kwa watu wengine.Wanaume wanavaa hijab,ambayo ni baina ya chini ya kifua mpaka magotini,tofauti na wanawake kulingana na maumbile yao
Ayatollah aende akakae na wataliban kule kunamfaa sana.Ayatollah ndio ahame nchi, aende akaishi na Taliban, amechokowa yeye pamoja na utawala wake wote.
Sababu zipo wazi,ni kimaumbileSura ya mtu, nywele, ndevu n.k zinaweza kuwa vishawishi kwa watu wengine.
Ni ipi sababu ya msingi inayozuia wanaume wasifunike sura zao na hijab?
Kati ya mambo yote mambo ya kunya ndio umeona ni hoja kubwa?Nakushangaa sana wewe umeingiaje mkenge na dini ya wazungu. unaiga hata kutosha makalio kwa karatasi
Si ndio hawa?Yaendelee hata miaka 100000 huko.Hakuna kitakacho badilika.Wewe unapoteza muda tu,Uislamu na sheria zake kamwe hazitabadilika.
Kama unaishi Tanzania hii nadhani umewahi kusikia dada zetu wakitaja vitu wanavyovutiwa navyo kwa wanaumeSababu zipo wazi,ni kimaumbile
Hivi Kati ya mwanaume na mwanamke yupi viwango vyake vya matamanio ni vikubwa zaidi?
Hawana akiliWaarabu bwana wana umoja hatari. Wakiamua jambo lau hawataki ujinga. Sasa hawa ndio super women tunaohitaji kuoa
Kwahiyo Wanampigania Allah au Mudy?Kama hawataki wahame nchi! Wakivua hijab chapeni viboko.!
Upo sahihi kabisaaSijui waliingiaje mkenge wa hiyo dini ya mwarabu, Persians ni watu wenye akili sana na wangekua mbali sana leo hii isingekua huo uzombi wa kidini.
Hiyo dini ingeachiwa waswahili na waarabu basi.
Huwa najiuliza mbona Waarabu hawana Sijida?Halafu huwa mnaiga hadi kujilipua mabomu, yaani mwarabu anakujaza mzuka wa dini yake hadi unawalipukia Waafrika wenzako...
Dini za kipuuzi.Dini za kitumwa zimeanza kukosa mvuto..
#MaendeleoHayanaChama
TAKIBIIIR.....!!!Si ndio hawa?View attachment 2365933
Huyo jamaa yako ni mpumbavu.Kuna jamaangu ni muumun mzuri sana wa hii imani ya wavaa kobazi, Yule jamaa hakuna dhambi mbaya na anayoilaani kama kula kitimoto, yan ni najisi vibaya mno aseee. lakin umalaya sasa anakula adi vitoto vya secondary, ila mkitaka mgombane ihuaishwe kitimoto ktk vyombo vyake. hawa jamaa mim siwaelewagi kwanin ni wanafiki kiasi iki
Huyu ndio amewawakilisha Waislam wa pwani na mambo yao ya pwani Sheikh.Si ndio hawa?View attachment 2365933
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama wanajivunia, kwa hiyo hao wanaoandamana ni Americans?