Iran yaiambia Israel isitishe vita haraka kabla haijachelewa

Iran yaiambia Israel isitishe vita haraka kabla haijachelewa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa mara nyengine viongozi wa Iran wameionya Israel iache unyama wake inaoufanya huko Gaza haraka kabla haijakumbwa na tetemeko la upinzani.

Kauli hiyo imetolewa na Iran huku wanamgambo wa Hezbollah wakisema wameshajirayarisha vya kutosha kupigana na Israel muda utakapokuwa sawa.

Kundi hilo lina silaha zaidi kuliko Hamas na katika vita baina yake na nchi hiyo mwaka 2006 ilifanikiwa kuitia hasara kubwa kwa kuripua vifaru vyake kadhaa vilivyotajwa hapo awali kama havingewezwa kupigika,
 
Mnachekesha sana maustadhi, haya matamko ya nini, hayasaidii ndugu zenu Wapalestina.

Iran imesubiriwa sana ijichanganye, na yenyewe kama imeshtukia hili, imejua yote haya yanafanyika kama mtego kwake, hivyo imebaki kutoa matamko.
 
Kwa mara nyengine viongozi wa Iran wameionya Israel iache unyama wake inaoufanya huko Gaza haraka kabla haijakumbwa na tetemeko la upinzani.
Kauli hiyo imetolewa na Iran huku wanamgambo wa Hezbollah wakisema wameshajirayarisha vya kutosha kupigana na Israel muda utakapokuwa sawa.
Irani mwenyewe anajua kuwa anajiongelea tu wala hata hayupo serious, anawashangaa ninyi mnaodhani kuwa yupo serious
Kundi hilo lina silaha zaidi kuliko Hamas na katika vita baina yake na nchi hiyo mwaka 2006 ilifanikiwa kuitia hasara kubwa kwa kuripua vifaru vyake kadhaa vilivyotajwa hapo awali kama havingewezwa kupigika,
Unaweza ukatuletea ukatuelezea kwa ufupi uharibifu wa pende zote mbili? Au tukuamini tu kwa kuwa umesema?
 
Huyu jamaa mambo anayokua anachangia humu, ukilisoma na juna lake, unaishia kurudia kuliandika tu basi moyo unstulia na unakua umekwepa dhambi ya kutukana😃
Jamaa linajifariji sana ni jeusi tii kama tako la iddi Amin lakini lina sijdah na inaonekana kisa kaahidiwa akifa kwenye uislamu litabadilika na kuwa liarabu
 
Iran na saudia Sasa hivi zinaiva,yaani saudia anatoa hela,Iran anatekeleza mikakati na wameelekea china urusi wanajitoa ulaya na marekani
Saudi Arabia inaichukia Iran kuliko inavyoichukia Israel. Kitendo cha Saudi kupigana na Houthi pale Yemen ambao wanadhaminiwa na Iran kisa ni Washia ni kielelezo cha ugomvi wao.

Kwenye suala la Palestina hao China na Urusi wanaongelea sauti ya chinichini, somehow Turkey ndio anapaza sauti. Hao wengine ni formality tu.
 
Irani hawezi kujaribu kuivamia Israel yenye air supremacy in the world+ nuclear, akijaribu atakuwa kama Syria na ndo litakuwa anguko lake na kaburi lake. Wajifunze Kwa China, Nancy Pelosi ameenda kule Tawn watu wakajua China atanzisha vita, uwezo wa kuanzisha vita alikuwa nao lakini aliangalia faida na hasara za vita na hatima ya uchumi wa nchi yake.
 
Ndio nae atabondwaaa. Wapalestina wanataka vita ikapiganiwe kwenye mahanadi, majeshi ya Israel hayajaingia kwenye mahanadi ya Gaza tangu miaka 17 iliyopita
Ujinga wa andaki unachimba miaka miwili, Israel inagundua inakaa kimya. Siku mmeanza kuyatumia inatumwa GBU bunker buster ndogondogo inabomoa entrance ya mbele linakuwa useless.

Na hata lisipoonekana, surveillance inayofanyika maana yake ni single use. Mkipita mara moja mnaonekana linabomolewa. Wakati Israel ikiamua kufanya ground offensive inapita juu.

Bora mje na vilipuzi mlipue uzio mpenye na mtumie gliders kama Hamas.
 
Back
Top Bottom