Iran yaiambia Israel isitishe vita haraka kabla haijachelewa

Iran yaiambia Israel isitishe vita haraka kabla haijachelewa

Saudi Arabia inaichukia Iran kuliko inavyoichukia Israel. Kitendo cha Saudi kupigana na Houthi pale Yemen ambao wanadhaminiwa na Iran kisa ni Washia ni kielelezo cha ugomvi wao.

Kwenye suala la Palestina hao China na Urusi wanaongelea sauti ya chinichini, somehow Turkey ndio anapaza sauti. Hao wengine ni formality tu.
Saudi hakuna Utu kule.
Wanawapumbaza Raia kwa pombe ya Dini. Na wanalewa kweli kweli
 
Iran safi sana endelea na moyo huo wa kuwatetea ndugu zetu wapalestina hakika sisi ni ndugu katika imaani ni haki yetu kuwatetea ndugu zetu wapalestina dhidi ya watu madhalimu mayahudi waliolaaniwa na Mwenyezi Mungu mpaka siku ya hukumu.

Sina mashaka na kundi la hezbollah ni jeshi imara sana bila kusahau ISIS pamoja na ndugu zangu watalebani japo nao wanamtihani wa kukumbana na matetemeko ya ardhi nawaombea hali zao zikae sawa tuingia vitani na hili taifa dhalimu
 
Wemzenu wanalia huko ninyi mnarushiana clips za Propaganda. Unajuo hilo ni tukio la lini? Ni pale mlipoachwa mkaingie mfanye vitakavyowaponza na vimewaponzeni kweli
😂 dogo hio ni leo hata Israel wamekubali wamepewa kipigo we unaleta ujinga hapa.

Israel wanajiharia wanaogopa kuingia Gaza nawalitoa onyo eti masaa 24 wataingia Gaza leo masaa 72 yamepita kimya wataishia piga majumba tu 😂
 
😂 dogo hio ni leo hata Israel wamekubali wamepewa kipigo we unaleta ujinga hapa.

Israel wanajiharia wanaogopa kuingia Gaza nawalitoa onyo eti masaa 24 wataingia Gaza leo masaa 72 yamepita kimya wataishia piga majumba tu 😂
Endelea kujidanganya vivyo hivyo, wanaachwa ili waendelee kutengeneza Justification ya kudundwa, ila hilo umelionyesha hapo siyo la leo. Mimi nililiona Jumanne iliyopita.

Ila ili Israel aendelee kuichimbua Gaza ni lazima the same Israel amjengee Hamas uwezo wa kuendelea kufanya mashambulizi ya hapa na pale.

Usidhani ni mafala wale, andaa mbegu za mihogo ukapande Gaza
 
Endelea kujidanganya vivyo hivyo, wanaachwa ili waendelee kutengeneza Justification ya kudundwa, ila hilo umelionyesha hapo siyo la leo. Mimi nililiona Jumanne iliyopita.

Ila ili Israel aendelee kuichimbua Gaza ni lazima the same Israel amjengee Hamas uwezo wa kuendelea kufanya mashambulizi ya hapa na pale.

Usidhani ni mafala wale, andaa mbegu za mihogo ukapande Gaza
Ground warfare ni ngumu sana naona wengi humu mnachukulia poa sana. Wafanye mazungumzo ya amani maama Hamas kuwamaliza ni ngumu kuna watu zaidi ya million 1 Gaza pekee so wata recruit tena na tena na vita haitoisha zaidi ya civilians wa pande zote kufariki.

Israel jeshi lake linatengenezwa na reservists then uwapeleke front line dhidi ya watu wasio na cha kupoteza!! It'll be brutal combat and should be avoided at all costs.
 
Irani mwenyewe anajua kuwa anajiongelea tu wala hata hayupo serious, anawashangaa ninyi mnaodhani kuwa yupo serious

Unaweza ukatuletea ukatuelezea kwa ufupi uharibifu wa pende zote mbili? Au tukuamini tu kwa kuwa umesema?
Soma habari zao hapa kutoka BRITANICA .Moja ya sentensi zake inasema hivi Eventually an Israeli withdrawal was negotiated, with international peacekeepers stationed to prevent further missile attacks, but they had failed to crush Hezbollah.
 
Soma habari zao hapa kutoka BRITANICA .Moja ya sentensi zake inasema hivi Eventually an Israeli withdrawal was negotiated, with international peacekeepers stationed to prevent further missile attacks, but they had failed to crush Hezbollah.
Hezbollah wana balaa sana na hii vita ili isiwe ndefu ni hao Hamas na Israel kusitisha vita ila sio hao jamaa nao waingilie kati wa Singida wataongeza bei ya mafuta watakavyo...
 
Soma habari zao hapa kutoka BRITANICA .Moja ya sentensi zake inasema hivi Eventually an Israeli withdrawal was negotiated, with international peacekeepers stationed to prevent further missile attacks, but they had failed to crush Hezbollah.
Usifikiri sifuatilii, wala usifikirii mimi ni mpenzi wa ubuyu. Ninafuatilia sana tena kutoka multiple sources.
Pecekeepers mpaka wanaingia, tayari Israel alikua ndani ya Lebanon na alikua ameshaifunga nchi yotr, hakuna kuingia wala kutoka Lebanon, hakuna kutumia bahari wala anga.

Peacekeepers ndiyo walikuja ku rescue situation na UN ikaunda kikosi maalum cha UN ambacho kiliwekwa mpakani upande wa Lebanon kikiwa na Jukumu lazuia Hezbollah wasifanya chokochoko zao.

Hapo ndipo Israel ikakubali kuifungua Lebanon, na kuondoka na kuwapisha UN pale mpakani.

Hezbollah wanapigana kioga kwa kujificha nyuma ya raia hivyo Israel hata akiwaua inaonekana ameua raia. Kama Hezbollah ingekua ni jeshi wala UN isingeingilia, pia Israel asingepata taabu, tatizo ni kikundi cha kigsidi kilichojificha nyuma ya raia.
 
Usifikiri sifuatilii, wala usifikirii mimi ni mpenzi wa ubuyu. Ninafuatilia sana tena kutoka multiple sources.
Pecekeepers mpaka wanaingia, tayari Israel alikua ndani ya Lebanon na alikua ameshaifunga nchi yotr, hakuna kuingia wala kutoka Lebanon, hakuna kutumia bahari wala anga.

Peacekeepers ndiyo walikuja ku rescue situation na UN ikaunda kikosi maalum cha UN ambacho kiliwekwa mpakani upande wa Lebanon kikiwa na Jukumu lazuia Hezbollah wasifanya chokochoko zao.

Hapo ndipo Israel ikakubali kuifungua Lebanon, na kuondoka na kuwapisha UN pale mpakani.

Hezbollah wanapigana kioga kwa kujificha nyuma ya raia hivyo Israel hata akiwaua inaonekana ameua raia. Kama Hezbollah ingekua ni jeshi wala UN isingeingilia, pia Israel asingepata taabu, tatizo ni kikundi cha kigsidi kilichojificha nyuma ya raia.
Umejichanganya tena.Lebanon wala si jeshi ni kikundi tu na Israel ilifunga mipaka yote.Sasa kipi kilichofanya waingie makubaliano ya kusitisha vita na kuacha vikosi vya UN.huoni kuwa hali ilikuwa mbaya na ilitokea kinyume na nia yao.Walitafuta mwanya pa kutokea.Askari wake wengi waliuliwa na kilicho tia hofu ni vfaru aina ya Merkava kuripuliwa kirahisi na vikombora hafifu vya Hizbulah.
 
Mwisho wa ubabe wa Marekani na NATO umefikia.

Israel hana chochote cha maana, anawategemea mabwana zake wa USA na NATO.

Penye ukimya pana mshindi.

Nchi zilizokaa kimya mpaka sasa siyo wajinga au waoga.

Watapelekewa moto hao hawajawahi kuuona maisha, unafikir watu hawaoni Wapalestina wasio na dhambi kuteswqa na kuuliwa miaka yote?
 
Ground warfare ni ngumu sana naona wengi humu mnachukulia poa sana. Wafanye mazungumzo ya amani maama Hamas kuwamaliza ni ngumu kuna watu zaidi ya million 1 Gaza pekee so wata recruit tena na tena na vita haitoisha zaidi ya civilians wa pande zote kufariki.

Israel jeshi lake linatengenezwa na reservists then uwapeleke front line dhidi ya watu wasio na cha kupoteza!! It'll be brutal combat and should be avoided at all costs.
Hakuna vita nyepesi, hivyo kama mtu anadhani itakuwa ni ngumu basi ajue itakuwa ni ngumu kwa pande zote. Kumbuka hata Hamas walivamia Israel kama ground war na wengi walifyekwa kule na waliorudi ni chini ya nusu ya walioenda.

Israel hana mpango wa kuzungumzo na Hamas, azungumze na Hamas ili iweje? Wazungumze ili Israel aombe msamaha kwa raia wake kuuawa? Ukijiuliza hilo hautaweza kushauri kitu hicho. Yaani akae kuzungumza na kikundi cha kigaidi ambacho kinalipwa na nchi nyingine ili kuiangamiza? mkuu, tangu nimeanza kukusoma, sijawahi kudhani unaweza ukawaza au kushauri kitu cha aina hii.

Unaposema jeshi lake linatengenezwa na reservist unakosea sana. Kumbuka reservist wameitwa hivyo ungesema limajumuisha. Israel wana jeshi ambalo lina active solders. Reservist wameitwa kulingana na vita wanayoenda kupambana nayo.
Brutal combat huenda ndiyo itaenda kuleta suluhu, maana Israel walivamiwa, wakauawa kwa risasi, kwa kuchinjwa pia watu wakabakwa, anachokifanya ni kujibu kulingana na mapigo.
 
Back
Top Bottom