Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Pole Mungu kawapelekea mafuriko huko leo kama hujui, Hamasi anawatandika huku na Upande wa Lebanon Hezbullah anawatandikaIsrael ndio mzaliwa wa kwanza wangu mimi asema Bwana. Yeye amgusaye ni kama ameigusa mboni ya jicho la Mungu. Mwana wa house girl hawezi kurithi pamoja na mwana wa ahadi ndio maana Baba Ibrahim akamfukuzia mbali. Israel na ibarikiwe milele na milele.
View: https://youtu.be/FEmG1eSvOYg?si=9muZ7bUa78PNULIw
View: https://youtu.be/46pwb-b8vw8?si=lpqX29em5qbRtc9J