Iran yaiambia Israel isitishe vita haraka kabla haijachelewa

Iran yaiambia Israel isitishe vita haraka kabla haijachelewa

Unaijua hali ya Marekani iliyonayo sasa.Ni hoi bin taaban.Wajumbe wa baraza la wawakilishi wako wazi kuwa hawana uwezo tena kusaidia vita ya pili wakati hiyo ya mwanzo wameshaachana na Zele.Sasa wewe unataka aanzishe vita vya tatu kwa kupigana na Iran.
Jamaa unaongea utadhani upo kwenye Serikali ya US na una taarifa zote za ndani kabisa wakati tu ukiulizwa taafifa za hapa huna
 
Iran na saudia Sasa hivi zinaiva,yaani saudia anatoa hela,Iran anatekeleza mikakati na wameelekea china urusi wanajitoa ulaya na marekani
Fimbo ya MBALI haiuwi nyoka!
Halafu Kama hujui beberu mrusi ni mbaya zaidi kilipo beberu Marekani....
 
Unaposema jeshi lake linatengenezwa na reservist unakosea sana. Kumbuka reservist wameitwa hivyo ungesema limajumuisha. Israel wana jeshi ambalo lina active solders
Jeshi linaweza fika 170k ila reservists ni 300k so total recruitment inafika 470k sasa hapo majority ni reserve au regular army?
Israel hana mpango wa kuzungumzo na Hamas, azungumze na Hamas ili iweje? Wazungumze ili Israel aombe msamaha kwa raia wake kuuawa? Ukijiuliza hilo hautaweza kushauri kitu hicho. Yaani akae kuzungumza na kikundi cha kigaidi ambacho kinalipwa na nchi nyingine ili kuiangamiza? mkuu, tangu nimeanza kukusoma, sijawahi kudhani unaweza ukawaza au kushauri kitu cha aina hii.
Kuzungumza sababu Israel hawapambani na Hamas kumbuka Hamas ni faction tu ya wana Gaza zaidi ya million 2 hivi hao wote wakibeba silaha vita itaisha lini?

Kuhusu kuongea kumbuka Palestina imekaliwa kimabavu na Israel maana walishagawanyiwa ardhi 50 kwa 50 sema Israel inajitanua kila siku so tukienda kiuhalisia Palestina ni kama Ukraine tu inakaliwa na majeshi ya kivamizi. Kama unapinga uvamizi wa Russia huko Ukraine basi itakua ajabu sana uki support kinachoendelea Gaza. Ndio maana nimeshauri mazungumzo amani iwepo kuliko vita wanaokufa ni raia sio hamas wala IDF.
maana Israel walivamiwa
This is misleading, Israel ni mvamizi sasa anavamiwaje? Angefuatwa Tel Aviv hapo sawa ila ukiwa ndani ya mipaka ya mtu akikuvamia ni ukombozi sio uvamizi. Ni sawa na Ukraine wakipiga mabomu crimea hatusemi wamevamia warusi maana sio kwa warusi pale. Hope you see the difference
Kumbuka hata Hamas walivamia Israel kama ground war na wengi walifyekwa kule na waliorudi ni chini ya nusu ya walioenda.
Ndio nachosema hapa, walikufa Hamas sababu ground warfare ni advantage kwa mwenyeji anayejua ardhi yake. Na ndio maana Hitler alipigwa na Russia licha ya kuwa na jeshi imara zaidi, Italia alipigwa na Ethiopia, sasa ukija Gaza hao Israel sio kwamba ni terrain yao ilihali wenzao wanaishi kama panya.

It wont be easy for them, zaidi raia wasio na hatia watakufa
 
Jeshi linaweza fika 170k ila reservists ni 300k so total recruitment inafika 470k sasa hapo majority ni reserve au regular army?
Hiyo reserve isikusumbue. Hiyo ni style ya nchi, na kila nchi ina namna ya kuwatumia hao reserve muda wakuhitajika kulingana na wanayoenda kukabiliana nao.
Canada wanajeshi dogo sana, lakini sababu iliyopelekea kuwa na jeshi dogo si kwa sababu ya kuwa NATO au kutokuwa na Majirani unreliable, bali wana mfumo wao ambao waliutumia kwenye WW2 ukawapa mafanikio na sifa, ndiyo huo ambao mpaka sasa ni kama culture kwenye jeshi lao.
Kuzungumza sababu Israel hawapambani na Hamas kumbuka Hamas ni faction tu ya wana Gaza zaidi ya million 2 hivi hao wote wakibeba silaha vita itaisha lini?
Hilo ni shauri yao Hamas, lakini halimfanyi Israel akae kuzungumza na Hamas, ili iweje? Kwamba Israel ajisalimishe? Kama Hamas ni functions ya wana Gaza, it's fine and well, as long wana Gaza wameamua ku funtion kwa namna hiyo basi hayo ndiyo majibu ya aina ya mazungumzo.
Kuhusu kuongea kumbuka Palestina imekaliwa kimabavu na Israel maana walishagawanyiwa ardhi 50 kwa 50 sema Israel inajitanua kila siku so tukienda kiuhalisia Palestina ni kama Ukraine tu inakaliwa na majeshi ya kivamizi. Kama unapinga uvamizi wa Russia huko Ukraine basi itakua ajabu sana uki support kinachoendelea Gaza. Ndio maana nimeshauri mazungumzo amani iwepo kuliko vita wanaokufa ni raia sio hamas wala IDF.

This is misleading, Israel ni mvamizi sasa anavamiwaje? Angefuatwa Tel Aviv hapo sawa ila
Labda lama haufuatilii, lakini siamini kuwa jsufuatilii ila tu haukuzingatia sababu haukuona umuhimu kwa sababu ya story za mazoea kwamba Hamas huwa anashambulia occupied areas. Mbaya zaidi hata kwa maeneo ambayo ni occupied siyo tu walivamia baki waliua watu kikatili. Vifo vya wale wa Israel 1,300, mnaona ni vya kawaida sababu ni occupied area....(tutaongelea swala la occupation)

Katika msshambulizi ya juzi, Rockets zaidi ya 2,200 zilirushwa kwenda Jesrusalem upand wa Israel pia kwenda Tel Aviv je hayo ni maeneo yanayokaliwa kimabavu? Siku zote awe Hamas au yeyote anayeishambulia Usrael amekua akiilenga Tel Aviv na maeneo mengine ambayo hayapo occupied, ni sababu ya ulinzi wa anga lao ndiyo maana hamsikii vilio na hajiangaishi kuongelea shambulio lililo fail bila kujali gharama zunazotumika kuyadhibiti mashambulio hao, ila mnaona ni sawa tu, ila akiminywa yule mwingine mnataka mazungumzo ya amani.
ukiwa ndani ya mipaka ya mtu akikuvamia ni ukombozi sio uvamizi. Ni sawa na Ukraine wakipiga mabomu crimea hatusemi wamevamia warusi maana sio kwa warusi pale. Hope you see the difference.
Hilo swala la mipaka, bado mnatembea kwenye ileile kasumba ya kuangalia upande mmoja. Eneo liligawanywa ni kweli, lakini kila wakati walifanyiwa uvamizi au walirushiwa rockets. Israel ililalamikia sana vitendo hivi vya kuvamiwa lakini hapajawahi kuwa na majibu, zaidi maeneo mengi yalikaa vizuri kimkakati katika kuifanyia mashambulizi Israel. Baada ya kuona hakuna msaada ndipo ikaamua na yenyewe kuanza kujilinda kwa kuchukua maeneo yanayotumiwa kufanya mashambulizi na kuyafanya kama buffer zones na baadaye kuyafanya makaazi. Hii yote ni kujilinda, hivyo wakati mnampinga kuhusu kuyakalia hayo maeneo, angalieni sababu iliyopelekea kuyachukua. Alianzwa na yeye amemaliza.

Pia uelewe, lengo la Hamas au vikundi hivyo si lingine bali ni kuifuta kabisa Israel. Hapo inaififisha hoja na utetezi wako kwamba wamevamiwa.
Wao wamekaribisha uvamizi sababu walipogawiwa maeneo wakaibuka na harakati za kuifuta Israel na hapo ndipo wakaanza kupoteza maeneo.
Wanayoyafanya kwao ni Ibada sababu ni muongozo wa kitabu.
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:

You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
Ndio nachosema hapa, walikufa Hamas sababu ground warfare ni advantage kwa mwenyeji anayejua ardhi yake. Na ndio maana Hitler alipigwa na Russia licha ya kuwa na jeshi imara zaidi, Italia alipigwa na Ethiopia, sasa ukija Gaza hao Israel sio kwamba ni terrain yao ilihali wenzao wanaishi kama panya.

It wont be easy for them, zaidi raia wasio na hatia watakufa
 
Mmeahamia kwa Hizbullah na Irani sasa baada ya kuona Hamas maji ya shingo, endeleeni hivyo hivyo muda ni mwalimu mzuri.
Ww unasifia hamas kuchangiwa na marekeni israeli uingereza ,ni sawa na jwt hapa kwentu kuwachangia kikundi kama panya road
 
Iran kwa sasa anakwenda kuchukua usemaji pale mashariki ya kati badala ya saudi arabia
Iran na saudia Sasa hivi zinaiva,yaani saudia anatoa hela,Iran anatekeleza mikakati na wameelekea china urusi wanajitoa ulaya na marekani
Fimbo ya MBALI haiuwi nyoka!
Halafu Kama hujui beberu mrusi ni mbaya zaidi kilipo beberu Marekani....
Thibitisha
 
Saudi Arabia inaichukia Iran kuliko inavyoichukia Israel. Kitendo cha Saudi kupigana na Houthi pale Yemen ambao wanadhaminiwa na Iran kisa ni Washia ni kielelezo cha ugomvi wao.

Kwenye suala la Palestina hao China na Urusi wanaongelea sauti ya chinichini, somehow Turkey ndio anapaza sauti. Hao wengine ni formality tu.
Update taarifa zako,upo nyuma sana
 
Update taarifa zako,upo nyuma sana
Wewe ndio unapumbazwa.
Ni lini Israel imeishambulia au imechochea kuishambulia Saudi Arabia?
Hakuna.

Iran imewatuma Houthi kulipua miundombinu ya mafuta ya Saudi. Tena sio mara moja.

Ni lini Saudi Arabia imeshiriki azimio la kupigana na Israel au influence yake? Last time it was in 1972 napo ilichangia kwa mkumbo ili Waarabu wasiitenge haikupeleka wanajeshi.

Wakati huo Saudi Arabia inapigana na Houthi pale Yemen ambao ni Washia na wanapewa silaha na Iran. Iran mara nyingi mashua zake za magendo zinakamatwa na shehena ya silaha kwenda Yemen. Parts za makombora, anti tank missiles, MANPADS, landmines, riffles na vitu kibao. Hizi zimekamatwa mwaka huu 2023 kutoka Iran kwenda kwa Houthi kupigana na Saudi Arabia
seized-iran-guns-for-ukraine.jpg


Waliokufa kutokana na vita ni zaidi ya 150,000 na kutokana na njaa inayoletwa na vita ni zaidi ya 200,000.

Wewe unaona Iran na Saudi wamepiga picha unaona basi tiyari wameanza kupendana. Yani Mshia ampende Msuni? Si bora ampende kafiri Mkristo.
 
Endelea kujidanganya vivyo hivyo, wanaachwa ili waendelee kutengeneza Justification ya kudundwa, ila hilo umelionyesha hapo siyo la leo. Mimi nililiona Jumanne iliyopita.

Ila ili Israel aendelee kuichimbua Gaza ni lazima the same Israel amjengee Hamas uwezo wa kuendelea kufanya mashambulizi ya hapa na pale.

Usidhani ni mafala wale, andaa mbegu za mihogo ukapande Gaza
Channel 12 ya Israel inasema:
Tukio lisilo la kawaida lilitokea wakati wa ziara ya Waziri Mkuu Netanyahu kutembelea askari wa akiba kutoka Brigedia ya 697 karibu na Rehovot - Netanyahu alikumbana na matusi na matusi kutoka kwa askari na kufuta hotuba ambayo alitakiwa kutoa - aliwakusanya baadhi ya askari, akazungumza nao peke yake, picha, na kuondoka mahali hapo.

Inaonekana kwamba kile kilichokuwa kikizungumzwa kuhusu kutoroka kwa kundi kubwa la askari wa Israel
ni katika medani ya vita ni kweli, na sasa habari zimeanza kuwasili kuhusu mizozo mikali ndani ya baraza la mawaziri lenyewe.

Pia kuna mwelekeo wa Marekani wa kumzuia Netanyahu, jambo ambalo si kwa ajili ya kuihurumia Gaza, lakini Marekani ina taarifa ilizozipata kuhusu "kuzimu" ambayo #Hamas imeitayarisha ndani ya Gaza kupokea jeshi la Israel ikiwa itaamua kuingia ardhini Hamasi
atashinda tena mara mbili
 
Channel 12 ya Israel inasema:
Tukio lisilo la kawaida lilitokea wakati wa ziara ya Waziri Mkuu Netanyahu kutembelea askari wa akiba kutoka Brigedia ya 697 karibu na Rehovot - Netanyahu alikumbana na matusi na matusi kutoka kwa askari na kufuta hotuba ambayo alitakiwa kutoa - aliwakusanya baadhi ya askari, akazungumza nao peke yake, picha, na kuondoka mahali hapo.

Inaonekana kwamba kile kilichokuwa kikizungumzwa kuhusu kutoroka kwa kundi kubwa la askari wa Israel
ni katika medani ya vita ni kweli, na sasa habari zimeanza kuwasili kuhusu mizozo mikali ndani ya baraza la mawaziri lenyewe.

Pia kuna mwelekeo wa Marekani wa kumzuia Netanyahu, jambo ambalo si kwa ajili ya kuihurumia Gaza, lakini Marekani ina taarifa ilizozipata kuhusu "kuzimu" ambayo #Hamas imeitayarisha ndani ya Gaza kupokea jeshi la Israel ikiwa itaamua kuingia ardhini Hamasi
atashinda tena mara mbili
Alisikika mfuasi mmoja wa munyaazi mungu kutoka kibanda maiti -zanzibar
 
Channel 12 ya Israel inasema:
Tukio lisilo la kawaida lilitokea wakati wa ziara ya Waziri Mkuu Netanyahu kutembelea askari wa akiba kutoka Brigedia ya 697 karibu na Rehovot - Netanyahu alikumbana na matusi na matusi kutoka kwa askari na kufuta hotuba ambayo alitakiwa kutoa - aliwakusanya baadhi ya askari, akazungumza nao peke yake, picha, na kuondoka mahali hapo.

Inaonekana kwamba kile kilichokuwa kikizungumzwa kuhusu kutoroka kwa kundi kubwa la askari wa Israel
ni katika medani ya vita ni kweli, na sasa habari zimeanza kuwasili kuhusu mizozo mikali ndani ya baraza la mawaziri lenyewe.

Pia kuna mwelekeo wa Marekani wa kumzuia Netanyahu, jambo ambalo si kwa ajili ya kuihurumia Gaza, lakini Marekani ina taarifa ilizozipata kuhusu "kuzimu" ambayo #Hamas imeitayarisha ndani ya Gaza kupokea jeshi la Israel ikiwa itaamua kuingia ardhini Hamasi
atashinda tena mara mbili
We Jamaa unajua kupika MAJUNGU
 
Wewe ndio unapumbazwa.
Ni lini Israel imeishambulia au imechochea kuishambulia Saudi Arabia?
Hakuna.

Iran imewatuma Houthi kulipua miundombinu ya mafuta ya Saudi. Tena sio mara moja.

Ni lini Saudi Arabia imeshiriki azimio la kupigana na Israel au influence yake? Last time it was in 1972 napo ilichangia kwa mkumbo ili Waarabu wasiitenge haikupeleka wanajeshi.

Wakati huo Saudi Arabia inapigana na Houthi pale Yemen ambao ni Washia na wanapewa silaha na Iran. Iran mara nyingi mashua zake za magendo zinakamatwa na shehena ya silaha kwenda Yemen. Parts za makombora, anti tank missiles, MANPADS, landmines, riffles na vitu kibao. Hizi zimekamatwa mwaka huu 2023 kutoka Iran kwenda kwa Houthi kupigana na Saudi ArabiaView attachment 2782743

Waliokufa kutokana na vita ni zaidi ya 150,000 na kutokana na njaa inayoletwa na vita ni zaidi ya 200,000.

Wewe unaona Iran na Saudi wamepiga picha unaona basi tiyari wameanza kupendana. Yani Mshia ampende Msuni? Si bora ampende kafiri Mkristo.
Update taarifa zako upo nyuma sana
 
Ndio nae atabondwaaa. Wapalestina wanataka vita ikapiganiwe kwenye mahanadi, majeshi ya Israel hayajaingia kwenye mahanadi ya Gaza tangu miaka 17 iliyopita
Kuna gesi moja ikipulizwa humo kwenye hayo mahandaki hakuna kiumbe atakaa humo na watatoka wenyewe tena kwa nidhamu kabisa.
 
Back
Top Bottom