FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Wanamgambo wa Hezbollah hapo Lebanon ni miongoni mwa maslahi ya Iran.Masilahi ya Iran ndani ya Lebanon ni yapi?
Kitendo cha kuonesha video ili kuamisha watu kuwa unatumika ni kucheza na saikolojia ya watu.
Sijawahi beti hata siku moja na sitegemei, Kuna kipindi nlijifunza mambo ya web3 na idea nayo kiasi flanlakini mda wa kubet si unao
Ndege za kijeshi kupaa na kutua sio kufanya kazi kwa airbase?Nipo katikati.
Kwa sababu hata Israel hajatoa uthibitisho wa kuonesha airbase inafanya kazi,badala yake karusha vid ya runway.
Nipo katikati.
Ndivyo unavyojidanganya kwamba Iron dome ndiyo suluhisho la vyuma kutotua kwenye target?Mkuu Kamikaze drone bado hazijafika?
Kumbuka Israel bado hajarudisha shambulizi, kumbuka Iran haina Iron Dome Israel wakituma makombora 300 yote yanapiga Tehran
Hapo ukumbuke Israel alipewa onyo la mapema akahamisha raia kuishi kwenye mahandaki na watu kuchukua tahadhari.Hiyo inaitwa target fall. Haiwezekani mwenzio akushambulie na aue majenerali wa ngazi za juu kbs arafu wewe ukalipe kisasi kwa kulipua majengo matupu😅 huo ni uoga!
Kupaa na kutua kwenye runway!?Ndege za kijeshi kupaa na kutua sio kufanya kazi kwa airbase?
nini jiwe!!!unaambiwa jana karusha drones zaidi ya 100 kwenda we bado upo hapo eti hawawezi...hujui kusoma au!!!Iran hawezi kurusha jiwe. Kipute kitapigwa balaa. Israel ni mboni ya jicho la US, sio Ukraine yule.
Uko katikati kivipi wakati unajulikana ni shabiki wa ugaidi unaofanywa na Iran dhidi ya majirani zake?!Nipo katikati.
Kwa sababu hata Israel hajatoa uthibitisho wa kuonesha airbase inafanya kazi,badala yake karusha vid ya runway.
Nipo katikati.
Mkuu umeelewa kilichoulizwa!?Uko katikati kivipi wakati unajulikana ni shabiki wa ugaidi unaofanywa na Iran dhidi ya majirani zake?!
Hivi wewe unafikiri kweli!?..kwa hiyo Iran asiwe na mahusiano na Syria!?..halafu wanamgambo gani Syria wameshambulia Israel zaidi ya Israel kuwazaidi ya Israel kuwatibu ISIS waliompiga Vita Assad!?..hivi cdf wa jwtz kwenda ubalozi wa tz kenye na kufanya kikao basi Rwanda ana haki ya kurusha makombora kwenye ubalozi!?Nazungumzia wanajeshi wa Iran waliokuwa katika eneo la ubalozi wa Iran uliopo Damascus karibu na nchi ambayo imekuwa ikishambuliwa na wanamgambo wanaoratibiwa na Iran hiyohiyo.
Hapa sizungumzii ubalozi in general kama ubalozi mwingine wowote duniani.
Afrika ni bara la watu wapumbavu sana. Wizi wa viongozi na ubinafsi ndio unapelekea kuwa wategemezi. Hadi toothpick na vijiti vya mishikaki tunaagiza kutoka China.Marekani wamesihi Israel isijaribu kulipa kisasi kwasababu wakifanya hivyo mzozo utakuwa mkubwa mashariki ya kati.. natamani hii vita iishe maana kama kutatokea malipizi dhidi ya Iran huku Africa ndiyo waathirika wa kilakitu kwenye vita hii
Yani NATO +USA wote wana wiki wakikuwa awalali wakilinda anga ya Israel.99% ya makombora yameshushwa. Hakuna tofauti na makombora ya Iraq ya scard.
Kwani kazi kuu ya airbase ni nini?Kupaa na kutua kwenye runway!?
Like serious bro!?
Ila Israel kaua majenelo 7 ambao ni supa kutoka vikosi tofauti vya iranAmesema mafanikio ni makubwa alichotaka nikuharibu miundombinu!
Ulichokisema hakina utofauti na kilichosemwa na mdau mmoja post zilizopita. Mifano yenu kuhusu JWTZ haina uhalisia wa kile kinachoendelea Mashariki ya Kati.Hivi wewe unafikiri kweli!?..kwa hiyo Iran asiwe na mahusiano na Syria!?..halafu wanamgambo gani Syria wameshambulia Israel zaidi ya Israel kuwazaidi ya Israel kuwatibu ISIS waliompiga Vita Assad!?..hivi cdf wa jwtz kwenda ubalozi wa tz kenye na kufanya kikao basi Rwanda ana haki ya kurusha makombora kwenye ubalozi!?
Aise wajinga waliaminishwa kwamba Israel ana nguvu za kijeshi hatari lakini tumeshuhudia wanamgambo wasio na silaha za kisasa HAMAS wanavyowanyoosha Mayahudi kila uchwao hadi wanarudisha wanajeshi nyuma.Ila Israel kaua majenelo 7 ambao ni supa kutoka vikosi tofauti vya iran
Vita si mchezo , vita ni very expensive kipesa, Mali na maisha ya watu piaMimi ninaona wote wanaogopana. Iran Karusha drones na Ballistic missiles ambazo anajua zitatumai almost za tisa kufika Israel ambayo iko 700 miles away from Iran ikiwa ina maana alijua watajiandaa kuzidungua. Angekuwa ana lengo la kusababisha hasara kwa Israel angempiga shambulizi la ghafla. Sasa wewe unarusha kitu kinifikie masaa tisa, Israel na wapambe wake wakasema wanatrack kila drone na kila missile kabla ya kuingia kwenye anga ya Israel.
Upande wa pili ngoja tuone ila sidhani kama Israel naye atajibu kwa kurusha makombora au ndege kwenye anga ya Iran labda kama atapiga proxy wa Iran.
Ila la msingi naombea hawa watuw asiingie vitani maana dunia naona inaanza kuchanganyikiwa. Nikisoma comments za raia wa Marekani, wanaomba serikali yao iache Israel apambane na matatizo yake maana wanadai serikali iko busy na Israel wakati mambo yao ndani yanaharibika uchumi unayumba china anasonga kwa sababu ya kujifanya wanatia mkono kwenye mambo yasiyo wahusu.