Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Acha fixIsrael kapigika vibaya sana ile base iliotumika kupiga embassy yake imeteketezwa vibaya sana.
Na Iran kamwambia ukijidai kurudisha kipigo ndio utatufahamu vizuri hio ni warning tu usicheze na Iran.
Iran haiwezi kushambuliwa na nchi za West isipokuwa kama itafanya makosa ya kimahesabu katika kushambulia targets.
Tena ashukuru yule mfalme wa Jordan kamsaidia kuangusha baadhi ya drone za Iran, huyo ni kibaraka siku zote yuko upande wa Israel.Acha fix
Halafu sidhani kama İran imetumia makombora yote yaliyopo kwenye arsenal yake.Haiwezi kufanya makosa kwasababu imetoa taarifa kwa USA mapema kabisa leo kwamba itashambulia Israel na shambulo hilo litakuwa ''limited' kwa maana wanajibu mapigo hawataki vita.
Tatizo litakuwa kwamba nchi za Magharibi zimepata sababu baada ya vikwazo kushindwa.
Iran imeonya nchi itakayotoa ' base' itakuwa imeingia katika Vita. Hapa Iran inawalenga Saudi Arabia
In fact kuna pressure kubwa sana kutoka Saudi Arabia kuishambulia Iran pengine kuliko Iran
Nchi za Kiislama za mrengo wa Sunni , Wahabia na Sufi zinaiona Iran ya Shia kama tishio kubwa kwao
Kwasasa Iran ndiyo inaonekana super power baada ya Sadam kuondolewa na ni tishio kwa nchi hizo, Israel na nchi za magharibi zenya masilahi.
Kilichotokea leo ni kwamba inaweza kuwa 'damage' ya mashambulizi haipo kwa maana kwamba makombora yamezuiliwa lakini wachunguzi wa mambo ya vita wanasema Irana ime achieve goal kwa kuweza kufika ndani ya Israel na Miji yake kwa precision ya makombora. Precision ni jambo muhimu sana kuliko makombora ya Hamas yanayoruka. Hivyo, hata leo vita ikisimama Israel itatambua kwamba usalama wake unazidi kuwa na utata
Huyu Shani ni mchekeshaji sana.Habari za hivi punde Ni kwamba,
Irani imefanya shambulio dhidiya Israel kwa kutumia drone.
Habar zaidi zitakujia baadae...
Source: spectator index
View attachment 2962663
Unajua hili limewapa Iran confidence kwasababu wameweza kujaribu umbali wa masafa.Halafu sidhani kama İran imetumia makombora yote yaliyopo kwenye arsenal yake.
Pia, sidhani kama imetumia drones zote zilizo advanced ambazo inazo.
Kwenye operations kama hizi, kikawaida, hutumii zana zako zote ulizonazo.
Which means, kama wana uwezo wa kuipiga Israel kwa zana walizozitumia, imagine ambazo hawakuzitumia ambazo ziko advanced zaidi…..
Kwani Jerusalem ndiko iliko Ikulu au nawe hujui kuwa Jerusalem ilitekwa kutoka Palestine?Acha uongo we mlokole drone bado zipo njiani Netanyahu ameshatoroka Jerusalem. Wenyewe wamekadiria drone zitaanza kushusha mabomu kuanzia saa 8 au 9 usiku.
Inawezekana wewe ndio yule jamaa anayechambuaga vita Azam TV kwani umeeleza vizuri sana.Haiwezi kufanya makosa kwasababu imetoa taarifa kwa USA mapema kabisa leo kwamba itashambulia Israel na shambulo hilo litakuwa ''limited' kwa maana wanajibu mapigo hawataki vita.
Tatizo litakuwa kwamba nchi za Magharibi zimepata sababu baada ya vikwazo kushindwa.
Iran imeonya nchi itakayotoa ' base' itakuwa imeingia katika Vita. Hapa Iran inawalenga Saudi Arabia
In fact kuna pressure kubwa sana kutoka Saudi Arabia kuishambulia Iran pengine kuliko Iran
Nchi za Kiislama za mrengo wa Sunni , Wahabia na Sufi zinaiona Iran ya Shia kama tishio kubwa kwao
Kwasasa Iran ndiyo inaonekana super power baada ya Sadam kuondolewa na ni tishio kwa nchi hizo, Israel na nchi za magharibi zenya masilahi.
Kilichotokea leo ni kwamba inaweza kuwa 'damage' ya mashambulizi haipo kwa maana kwamba makombora yamezuiliwa lakini wachunguzi wa mambo ya vita wanasema Irana ime achieve goal kwa kuweza kufika ndani ya Israel na Miji yake kwa precision ya makombora. Precision ni jambo muhimu sana kuliko makombora ya Hamas yanayoruka. Hivyo, hata leo vita ikisimama Israel itatambua kwamba usalama wake unazidi kuwa na utata
Unajua watu wengi wanaangalia haya mambo kwa jicho la 'ushabiki'
IDF spokesman Daniel Hagari amethibitisha kwamba wanakabiliana na mashambulizi kwa kushirikiana na 'PARTNER'
Inajulikana Partner ni Israel, TV za Marekani zimethibitisha
Pentagon imethibitisha kwamba '' central commander'' yupo Israel kusaidiana nao.
Defense secretary amesema fleet Carrier zingine zimeongezwa kusaidia Israel na sasa ipo Meditterenean
Uingereza na Ufaransa zinasaidia katika Intelligence na kijeshi.
PM Netanyahu mbele ya TV anashukuru nchi za magharibi ''allies'' kwa msaada hasa Marekani kwa kutoa silaha, pesa na usaidizi wa kijeshi, hakuna siri tena! Netanyahu anasema wazi
- Iron Dome
-David's Sling anti missile system
-Aero Missile defense system
Hizi ni silaha 'ultra modern' na ni Israel pekee iliyopewa zikiwemo F-15 Fighter pamoja na lile ''popo'
Hadi hapo ni wazi vita hii Israel yupo mgongoni hawezi kusimama na Iran peke yake
Miezi 6 tuliaminishwa wana MOSAD na Intelligence kali, hawajawapata mateka. Jana Hamas wamerusha makombora.
Ikumbukwe Iran ina vikwazo kwa zaidi ya miaka 20, ni dhaifu lakini wametengeneza drone zao na cruise missile.
Israel bila mgongo wa Marekani hakuna kitu,. In fact kinachoendelea ni vita ya Iran na nchi za Magharibi ndani ya Israel. Kwa bahati mbaya swengi hawawezi kufanya analysis au kuangalia mambo kwa jicho la weledi.
JokaKuu Pascal Mayalla
Mpaka sahivi hakuna kombora lililofika au ku-targert israel..Israel population ni 9.5 mil.
..Iran population ni 88 mil.
..Israel haiwezi kupigania vita vya wazi na Iran.
..Wanachoweza kufanya Israel dhidi ya Iran ni mashambulizi ya kuvizia ya hujuma.
..ktk tukio hili kila upande umemsoma mwenzake.
..wataalamu wa kijeshi wa Israel na Iran wote wamepata mafunzo kutokana na tukio hili.
..Iran alitaka kujua kama makombora yake yatafika Israel.
..Israel nao walitaka kupima namna ambavyo mifumo yao ya ulinzi itakabiliana na makombora toka Iran.
Hakuna vita vya pekee yako acha fikra potofu hata urussi anasaidiwa na iran na china kule ukraineIsrael, US, UK na Jordan kwa pamoja kuungana kudungua drones za Iran ni ushahidi tosha kuwa sifa wanazopewa IDF huwa hazina mashiko.
Bila hao NATO Israel hatoboi hata kwa Al Shabab. Ni kitendo cha siku chache tu watafutiliwa mbali.
Ukisoma hizo taarifa unazitafsiri utakavyo ili angalau ufarijike.Anyezuia missile ni mmarekani. Hivi wewe huangalii habari? Pentagon, IDF wanasema wazi . Upo duniani gani
Hivi unajua Iron dome , David's sling na aero system zinatengenezwa wapi...
Vyovyote itakavyokuwa hilo ni SOMO zuri kwa Iran na Israel.Mpaka sahivi hakuna kombora lililofika au ku-targert israel
Ahahaaah!Iran hawezi kurusha jiwe. Kipute kitapigwa balaa. Israel ni mboni ya jicho la US, sio Ukraine yule.
Wachambuzi wetu bana, sasa hapa ndiyo umeelezea kitu gani?..Israel population ni 9.5 mil.
..Iran population ni 88 mil.
..Israel haiwezi kupigania vita vya wazi na Iran.
..Wanachoweza kufanya Israel dhidi ya Iran ni mashambulizi ya kuvizia ya hujuma.
..ktk tukio hili kila upande umemsoma mwenzake.
..wataalamu wa kijeshi wa Israel na Iran wote wamepata mafunzo kutokana na tukio hili.
..Iran alitaka kujua kama makombora yake yatafika Israel.
..Israel nao walitaka kupima namna ambavyo mifumo yao ya ulinzi itakabiliana na makombora toka Iran.
Huna akili!Naionea huruma Iran kuliko Israel! Nawasikitikia wananchi wasio na hatia wa Iran!
Haina maana sana sababu mpaka sahivi iran hawajafikia malengo yao ambayo ni makombora yalipuwe israel..vyovyote itakavyokuwa hilo ni SOMO zuri kwa Iran na Israel.
Nataman kuzielewa ila ndo hvo nakosa mda wa kujifunzahali sio hali