Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Hatari sana iran imewasha moto wa vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete za kwako za ukweliHabari zako za kipuuuuzi unajitungia tungia
Hakuna mahali niliposema kuwa Marekani na washirika wengine wa Israel hawakuwa na msaada. Unapindisha kile nilichoandika.Nadhani wewe huelewi kabisa. Defensive system ya Israel ni ya USA, EU na UK
Nchi hizo zimesema wazi leo kwamba zilikuwa msaada mkubwa licha ya kwamba system zao ndizo zinatumiwa
Hapo umeleta madai bila uthibitisho. Kuna mambo mengi haufahamu kuhusu uhusika wa Israel kwenye silaha za kisasa za Marekani.Hakuna silaha ya kisasa duniani ambayo Israel haijapewa na USA. Msaada wa USA kwa jeshi la Israel ni Bilioni 18 UD Takribani Trilioni 50 za Tanzania. Hivi unadhani hizo ni pesa za send off
Hiyo sentensi yako ya kwanza inarudia kile nilichokisema. Nafikiri ulitaka kunipinga kabla ya kusoma kile nilichoandika.Ila pia USA imesaidia na Jordan ku intercept mashambulizi mengine.
Kama hayo mataifa mengine yasingehusika sidhani kama Israel angeweza ku intercept mashambulizi yote hayo peke yake.
Pia Iran amekiri kutumia medium range missiles ambazo ni unguided.
Sijui angetumia guided zenye ujazo ingekuaje.
Mji unawaka motoView attachment 2963993
Hatari sana iran imewasha moto wa vita
Mkuu we unafikiri kila nikiku quote basi nakusudia kukupinga,laa hasha.Hiyo sentensi yako ya kwanza inarudia kile nilichokisema. Nafikiri ulitaka kunipinga kabla ya kusoma kile nilichoandika.
Lete za kwako za ukweliHabari zako za kipuuuuzi unajitungia tungia
Unatoa hoja kisomi I like itMakombora mengi ya ballistic (zaidi ya 100) yamezuiwa na Israel yenyewe kupitia Arrow 2 na Arrow 3 defense systems kwa sababu uelekeo wa msafara wa hayo makombora ni tofauti na drones ama cruise missiles.
Marekani, Uingereza na washirika wengine wa Israel wamezuia zaidi cruise missiles pamoja na drones ingawa Israel pia ilirusha ndege zake za kivita kwenda kufanya interceptions kadhaa nje ya mipaka yake.
Cruise missiles pamoja na drones zinapita usawa wa ndege vita ama chini yake. Ballistic missiles zinasafiri kwa kasi zaidi zikitumia projectile motion, na zinasafiri mpaka anga za juu ama nje kabisa ya atmosphere kabla ya kurejea ardhini kwenye target. Ndio maana idadi kubwa ya ballistic missiles kati ya 120 zilizofyatuliwa na Iran zilifanikiwa kuvuka interceptions za ndege na kukaribia anga la Israel.
Baadhi zilitunguliwa na defense systems za Israel zikiwa outer space kabla hata ya kugeuza uelekeo ili kurudi ardhini. Chache sana ndiyo zilikutana na mifumo ya ulinzi wa anga ya Marekani huko baharini. Huku chache pia zikipenya bila kuleta madhara.
Kwa kifupi, mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel imeonesha uwezo mkubwa dhidi ya hizo ballistic missiles ambazo ndizo zilikuwa hatari zaidi kuliko cruise missiles na drones ukizingatia flight time pamoja na payload delivery. Ni mtu asiyefahamu kinachoendelea kuhusu haya masuala ndiye anaweza kusema Israel haijafanikiwa chochote dhidi ya hayo makombora.
KwaAise wajinga waliaminishwa kwamba Israel ana nguvu za kijeshi hatari lakini tumeshuhudia wanamgambo wasio na silaha za kisasa HAMAS wanavyowanyoosha Mayahudi kila uchwao hadi wanarudisha wanajeshi nyuma.
So far zaidi ya wanajeshi 2000 wa Israel wameuawa Gaza na hiyo ni takwimu ya Israel wametoa. Kwa maana hiyo ni zaidi ya 4000 wameuawa.
Iran kapiga pale pale kwenye ardhi ya Mayahudi hadi yamebaki kushangaa kinachoendelea.
Aise wajinga waliaminishwa kwamba Israel ana nguvu za kijeshi hatari lakini tumeshuhudia wanamgambo wasio na silaha za kisasa HAMAS wanavyowanyoosha Mayahudi kila uchwao hadi wanarudisha wanajeshi nyuma.
So far zaidi ya wanajeshi 2000 wa Israel wameuawa Gaza na hiyo ni takwimu ya Israel wametoa. Kwa maana hiyo ni zaidi ya 4000 wameuawa.
Iran kapiga pale pale kwenye ardhi ya Mayahudi hadi yamebaki kushangaa kinachoendelea.
Umejibu kama mtoto asiyejua maanaKazi kuu ya airbase ni kwaajili ya shughuli za ndege vita.
Ni zipi infrastructure za airbase!?
Sijui kati yao nani anasema ukweli maana Israel wanasema wameyadungua yote... wakasema ni kombora moja tu lililomjeruhi mtoto. Lile lililopiga kambi wanasema ni minor damage na ni kambi iko wka desert na wakaachia video kuonyesha bado wanaitumia na dnege ya kviita ikitua aple. Iran wanasema yamesababisha damage. So sijui kati yao nani anasema ukweli maana ni report za pande mbili tofauti.Makombora yametua ndani ya ardhi ya Israel pamoja na drones. Na zimepiga kambi za kijeshi na kuleta athari kwenye miji ya Tel Aviv na Jerusalem.
Hapo Iran katuma salamu tu ameonya endapo Israel atajibu basi Iran atatuma full dose kwenda Israel.
Na Iran ameonya nchi yoyote itakayoisaidia Israel na Marekani kutumika kama kambi ya kurushia makombora basi Iran ataishambulia nchi hiyo kwakuwa makombora yanatokea huko.
Kwa mtizamo wako sikushangai.Kwa
Umejibu kama mtoto asiyejua maana
Unakuwaga na mihemko sana mkuu.Tulia dogo kamikaze drones zaid ya 100 zipo hewani saahizi zinaelekea Tel aviv subiri majibu. Hizo hazitunguliwi na kima yeyote .saahizi ndege ya Netanyahu imeondoka Jerusan
Pro Iran wa kwanza kuwa na akili chini ya jua.Sijui kati yao nani anasema ukweli maana Israel wanasema wameyadungua yote... wakasema ni kombora moja tu lililomjeruhi mtoto. Lile lililopiga kambi wanasema ni minor damage na ni kambi iko wka desert na wakaachia video kuonyesha bado wanaitumia na dnege ya kviita ikitua aple. Iran wanasema yamesababisha damage. So sijui kati yao nani anasema ukweli maana ni report za pande mbili tofauti.
Ila mimi ni pro Iran sema this time nina mashaka na taarifa hii kwa sababu makombora yamechukua almost saa 8 hadi 9 kufika Israel so yalikuwa yashakuwa tracked kuyadungua ilikuwa ni jambo rahisi. Ndio maana nachelea kusema hawakuwa na lengo la kusababisha damage kwa Israel.
KivipiUnakuwaga na mihemko sana mkuu.