MTOAROHO
Member
- Jul 26, 2019
- 76
- 87
UTARUDI WEWE KWA PIDIDY NA MUDI MKAPAKWE BABY JONSON ISRAEL BADO SANAKama watafanya hili itapendeza sana wazayuni wanatakiwa wafe wote au warudi kwao Poland na kwengine huko Europe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTARUDI WEWE KWA PIDIDY NA MUDI MKAPAKWE BABY JONSON ISRAEL BADO SANAKama watafanya hili itapendeza sana wazayuni wanatakiwa wafe wote au warudi kwao Poland na kwengine huko Europe
Israel wanachobugi kwa Iran ni kumheshimu Ayatollah.Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Israel na Iran vimeripoti hii Leo kuwa Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa
makombora ya ballistic. Imeelezwa kuwa hii Leo Iran imehamisha makombora yake kuelekea magharibi mwa Iran kwaajili ya maandalizi ya kujibu mashambulio dhidi ya Israeli.
Itakumbukwa tangu majibizano baina ya Israel na Iran kuanza baada ya kifo cha Ismail Haniye Iran imekuwa ikitekeleza Operation True Promise 1, ikaja Operation True Promise 2 na sasa unakuja Operation True Promise 3 ambayo inatajwa kuwa itakua kubwa kuliko zote zilizopita na itatekelezwa kabla ya Tarehe 5.
Binafsi nadhani kuanzia kesho usiku mpaka jumamosi tutaona moto ukiwaka TelAviv na maeneo mengine.
View attachment 3140014View attachment 3140015
Uko sahihi. Taifa huingizwa vitani na mtu mmoja tu; usually "kichwa". Kikikatwa na vita inakuwa imeisha.Israel wanachobugi kwa Iran ni kumheshimu Ayatollah.
Wangelimuweka kwenye orodha kama walivyomfanya Nasrallah ili ahamishiwe shimoni akafichwe humo na baadaye wamuue.
Bila ya kumuua Ayatollah, malipizi ya show off yataendelea.
Tatizo la stori za kuokoteza vijiweni hizi.Kama watafanya hili itapendeza sana wazayuni wanatakiwa wafe wote au warudi kwao Poland na kwengine huko Europe
Mkuu kwani Nasralallah wadhani ulinzi wake ulikuwa wa kitoto?Uko sahihi. Taifa huingizwa vitani na mtu mmoja tu; usually "kichwa". Kikikatwa na vita inakuwa imeisha.
Tatizo kwa sasa kichwa kinalindwa kuzidi malkia wa nyuki; kumfikia malkia ni lazima nyuki wa kutosha wateketee! It's doable but ni kashfa.
Hakuna ndege ya israel iliyoingia anga ya Iran, acheni kujipa moyoJuzi tuu Myahudi alikuwa anaingia anapiga na kutoka kama anavyotaka ndani ya Iran, nitaamini kama Ayatollah ataingiza hata ndege moja na kupiga ndani ya Tel aviv na kutoka salama, kama ni kweli hatutaki kuja kusikia mnalalamika Myahudi anapiga watoto na kina mama au sijui hospitali
Rais wa Iran amekufa kwa ajali ya kawaida na ripoti ya uchunguzi imesema hivyo. Huo uzushi unataka kutuaminisha hapa peleka kwengineKauliwa Rais wao mchana kweupe na hawakufanya chochote,
Hizi promises ni continuation ya majibu kwa Kila pigo atakalopigwa Israel. Kwahiyo itategemea yeye Israel anataka ziwe ngapi atachagua yeye ila Kila atakaporudisha mapigo itapigwa nyingine.Hizi Promises ziko ngapi kwani, mkuu? Maana nijuacho mie promise siyo surprise. Sisi watetezi wa taifa teule na taifa tweule tungependa sana kujua ili tujue la kufanya.
Wanatamani sana ila sasa uwezo ndio hamna. Halafu Iran Huwa hafanyi showoff nadhani ulijionea mwenyewe moto ule wa Oktoba 1Israel wanachobugi kwa Iran ni kumheshimu Ayatollah.
Wangelimuweka kwenye orodha kama walivyomfanya Nasrallah ili ahamishiwe shimoni akafichwe humo na baadaye wamuue.
Bila ya kumuua Ayatollah, malipizi ya show off yataendelea.
Nadhani kichwa cha Netanyahu ndio muhimu zaidi kwa amani ya mashariki ya katiUko sahihi. Taifa huingizwa vitani na mtu mmoja tu; usually "kichwa". Kikikatwa na vita inakuwa imeisha.
Tatizo kwa sasa kichwa kinalindwa kuzidi malkia wa nyuki; kumfikia malkia ni lazima nyuki wa kutosha wateketee! It's doable but ni kashfa.
Tangu mwezi wa Oktoba uanze ndani ya Israel wamekamatwa zaidi ya raia 10 wa Israel ambao wameripotiwa kutumika na Iran kwaajili ya kichwa cha Netanyahu. Nadhani ili amani ipatikane mashariki ya kati ni muhimu Netanyahu akaliwa kichwa.Mkuu kwani Nasralallah wadhani ulinzi wake ulikuwa wa kitoto?
Wakimtaka hawaendi kimakamenguvu, wanachinja kwa teknolojia kama ambavyo walimuua Rais wao Raisi.
Na uzuri hata Iran mwenyewe alishakiri kuwa kuna utitiri wa informers na mamluki wa kutosha nchini mwake na ndani ya jeshi wanaomfanyia kazi Israel, hivyo kumuua Ayatollah hawashindwi hata wakitaka leo, ila ni mipango tu hawajapanga.
Haya matango pori Huwa mnalishwa mkiwa wapi sijui. Hakuna ndege ya Israel Wala marekani iliyoingia katika anga ya IranJuzi tuu Myahudi alikuwa anaingia anapiga na kutoka kama anavyotaka ndani ya Iran, nitaamini kama Ayatollah ataingiza hata ndege moja na kupiga ndani ya Tel aviv na kutoka salama, kama ni kweli hatutaki kuja kusikia mnalalamika Myahudi anapiga watoto na kina mama au sijui hospitali
Ziliingia zaidi ya 100 zikapiga na kutoka, vile viantena vyenu sojuzie mnaita 300 vilichomwa vyote , sasa mko uchi lianzisheni tena muoneHaya matango pori Huwa mnalishwa mkiwa wapi sijui. Hakuna ndege ya Israel Wala marekani iliyoingia katika anga ya Iran
Tuwekee angalau picha ya ndege moja angani Tehran basi tujiridhishe, maana waongowaongo siku hizi wamekithiri sana. Ndege mia, halafu isionekane hata moja?Ziliingia zaidi ya 100 zikapiga na kutoka, vile viantena vyenu sojuzie mnaita 300 vilichomwa vyote , sasa mko uchi lianzisheni tena muone