Iran yakanusha kupeleka drones zake Urusi, hivi wanaogopa nini?

Ukraine naye anapokea silaha toka nchi za Ulaya na Amerika,wacha watandikane hadi atakeshindwa asalimu amri.
Raia wanatakiwa kupisha kwenye uwanja wa vita,ndio gharama zenyewe za vita.
vita au uvamiz ?
 
Kwa taarifa yako mimi mkatoliki ila mimi mtazamo wangu huwa hauko based kwa msingi wa imani za kidini bali kwa uhalisia

Hamna Mkristo anayeweza kushabikia maukatili yanayofanywa na hawa watu, na kama kweli Mkristo utakua majirani zako wote ni wavaa makobazi walishakuteka akili.
 
Hamna Mkristo anayeweza kushabikia maukatili yanayofanywa na hawa watu, na kama kweli Mkristo utakua majirani zako wote ni wavaa makobazi walishakuteka akili.
Ukatili wanaofanyiwa wapalestina sio ukatili au wao sio watu?
Marekani alichofanya iraq, afghanistan, vietnam, north korea, syria au wao sio watu? Kwanini mko biased sana na haya yanaendelea kufanyika mpaka sasa.
Kama kweli unapinga ukatili pinga ukatili wa kila mahali.
Mimi sitazami vitu kwa msimamo wa imani lakini kwa uhalisia.
 
Iran haogopi Western countries!
Bali amejielezea vyema kuwa aliwauzia technology ya kuziunda na zinatofautiana Kati ya zile za Iran na Russia ktk ubora.
Kamikaze moja Urusi wanaiunda mpaka kukamilika USD 2,800/=

KWA URUSI HII ANAONA NAFUU, MAANA AKIRUSHA 150 HATA ZIKIDUNGULIWA 100 hana Hasara Sana. Ila zile kombora zinazotumika kudungua mfano zile za Germany Set moja ni USD 3MIL. SASA HAPO LAZIMA LOOSER NI UKRAINE.

TUNARUDI KTK MADA, ZILE DRONES SIO IRANIAN MADE BALI NI RUSSIAN MADE. ILA TEKINOLOGIA ILIUZWA TOKA ILANI ZAMANI.
 
Isitoshe yeye amesema ndio ameanza ila hatatumia nguvu nyingi.
 
Ujumbe kwa Mk254 na mataifa 30 wanaopigana mataifa moja kupitia mamluki mwenye ubongo wa kenge,hamwoni aibu mnavyodhalilishwa?na kukubali kwenu kudhalilisha nawatesa na kuwanyanyasa wengia wasiohusika na fedheha yenu hapo kwa Zeleboy 🥱
 
Na ndio maana Mrusi anayanyanyasa mataifa 30 ya watu wasio na akili huku wenyewe walijiona wajuaji wasio na mfano😂😂
 
Save best for last. Mizigo mipya ya Russia haijaingia sokoni na ndio kinachowaumiza kichwa NATO 😅😅😅😅😅😅

Mnadhani Putin mjinga, mnamvizia mmuchunguze uwezo wake na yeye anatumia kamikaze. Mkitaka kuingiza mguu pale ndio mtajua nguvu halisi ya Russia, jambo NATO na EU wanalijua vema ndio maana unaona wanabwekea makwao, kama Russia ameishiwa silaha kama wanavyokuaminisha wangeshaingia uwanjani. Kwaio tulia acha kututingisha 🤣🤣🤣
 
Ukraine naye anapokea silaha toka nchi za Ulaya na Amerika,wacha watandikane hadi atakeshindwa asalimu amri.
Raia wanatakiwa kupisha kwenye uwanja wa vita,ndio gharama zenyewe za vita.
Ukraine kavamiwa ila Urusi kavamia , hata China na India wanajua kuwa Urusi kakosea na ndio maana kweny huu mgogoro hutokuja kusikia wanasema Ukraine kakosea hapa na hapa , bali sabab wanazotumia ni kusema USA au NATO wamevamia sehem fulan na fulan , ingawaje alievamiwa ni UKRAINE na sio USA au NATO , So mataifa yote dunian yanatambua Urusi kakosea ila ni mahaba na chuki dhidi ya Ulaya ndo yanawafanya wasapoti hayo mauaji kwa kujifanya wapo neutral , sio China wala Irana anaeza sapoti hadharani , historia hutunzwa na inakuja kujirudia na itawahukumu wote waliosapoti mauaji hadharan na wachina , wahindi na wairan wanafaham hili na hawawez jiingiza mtegon kizembe , mpk sasa WAAFRIKA TUMEJIINGIZA MTEGONI , TUNAPENDA MISAADA YA FEDHA ILA HATUEZ SIMAMA NAO KWENY SHIDA , SO BAADA YA HII VITA TUTAZIONA RANGI ZA WAZUNGU VZR , WAKINA OMOND WAMETOBOA MAANA WAMESIMAMA NA WAZUNGU HADHARAN SO TUTEGEMEE KUIONA ISRAEL NYINGINE HAPA EAST
 
sasa hv Drone za Iran ni propaganda wkt mlikuwa mnazishabikia [emoji23][emoji23][emoji23] wavaa kobaz akil zero kbs , wao kila kitu ni mabeberu hata waliliwa ndogo watasema Mabeberu ndo walisababisha akaliwa ndogo
 
hivi huko KE hamna issues za kuandika hapa kila siku Iran? we jamaa mbona unakua mpumbavu kaisi hiki? ndio maana nchi ndogo kama ukraine inalisha ngano bara zima la africa sababu ya vijana wa hovyo kama wewe shwain
sasa kuna umuhimu gan wa kuwepo humu kama unampangia mtu kitu cha kushare nasi ?
 
Inatakiwa mzigo ndio uongee wenyewe, Iran anakanusha lakini drone zake zinafungua mabucha Ukraine,Ni balaa ,hao Ulaya wanatangaza lkn makorokoro yao hayana madhara
saa 72 hadi miez 8 sasa
 
kikosi kimoja kati vikosi 1000 vya wamarekan dhidi ya elite soldiers wa Iran , hlf unatumia scenario hiyo kuwajudge wamarekan kuwa hawaogopwi na wairan , waulize wairan wenyew watakuambia
 
Wewe mpuuzi watoto wanaouawa Afghanistan,Iraq,Syria,Palestina na kwingineko mbona hua mnaona ni sawa tu?

Ulitaka Iran achague fungu gani? Nuclear iliyopigwa Hiroshima na Nagasaki iliua watoto wangapi? Yahudi wa Nzega una akili za kushikiwa.
sasa kama mataifa ya kiarab yapo kimya , sisi kuwalilia unaona ni utimamu huo ? hiz hoja huwa mnazileta akili zikiwa matakon sijui , hizo lawama za Warusi , wachina , wahindi , na wairan , wasaudia , na wajapan kwa kutowasaidia wana asia wenzao badala yake wao wanashabikia tabia km hizo zieneee duniani kote
 
Kama wewe na wana upinde wenzako mnajua kuwa Iran katuma Drone kwa Russia, mbona hamumshughulikii sasa? Mnabweka tu kama mbwa aliyefungiwa, wakati drones zinaendelea kutoa kichapo kwa mke wenu.
kwan mada inasemaj bwashee , hlf usituletee ushoga wako humu km iyo nyuma inawasha njoo upigw mit
 
Suala la muhimu ni kichapo kiendelee, hata kama tunaamini silaha zimetoka mbinguni, na malaika wakakanusha, lililo muhimu kwetu ni kichapo kuendelea, hilo ndilo tunalolisimamia. Lazima tuiepishe dunia na janga la upinde
baada ya kichapo utavaa chupi made in Africa ? au ndo chup zile zile in China ? [emoji23]
 
Muulize pia huyo myahudi wa kambo kuwa silaha zilizoangamiza Warwanda 1994 na zinazoendelea kuangamiza Wacongo, zinatengenezwa huko kwao Nzega vijijini? Mijitu mingine bure kabisa.
AK47 ni za nzega sio ? fuatilien achen kuamin vijiwe vya bang
 
Wewe unaonekana ni choko,ndio maana umewaza na kuandika "matakon" so kukujibu wewe usiyekua na marinda ni kupoteza muda tu,huna akili ya uelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…