Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Vizungu hv c ndio vilivyosema yakwamba IRAQ Kuna Silaha Zamaangamizi Ama Nivyengine ?!....waajemi walipokataa tu kukabidhi kale kaboksi mchezo uliishia palepale, vizungu havidanganyi kwenye suala la teknolojia wapo vizuri kiukweli
Weka hapa picha ya jinsi kambi ilivyoharibikaUnasema mashambulizi haya kuwa na impact ?
Hivi unajua ni mabilioni mangapi ya dora yaliyo tumika kuijenga kambi hiyo iliyo haribiwa?
Tatizo sio kuhalalisha kosa tatizo ni kuisakama Iran utadhani yeye ndio wa kwanza kufanya jambo kama hilo.
Kwahio Ndio Unateseka [emoji23][emoji23][emoji23]
Ramba Ndimu Kijana.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawez kukuelewa huyo yupo kiushabiki 2 .....Uchunguzi ni lazima ufanyike thou hautakuwa sawa na kama wasingekiri. Uchunguzi wa mwanzo ulikuwa unapanua scope ya kinachochunguzwa kwa sasa umekuwa narrowed kwasababu chanzo kimeshajulikana. Hivyo uchunguzi ni je kweli imetunguliwa kwa bahati mbaya au kulikuwa na makusudi?
Na huyu ndio alidai kuwa Iran imeishusha F-35 ya Marekani kumbe alikuwa anaota kuwa anazaa kumbe anashusha kimba Kitandani.
Wewe umempiga mwanao bomu akiwa kwenye gari ya frank, kukubali tu umepiga wewe ni hadi ufanye uchunguzi wakati Bomu ulirusha mwenyewe!MKWEPA KODI Iran haijakiri kutokana na mashinikizo lakini imekiri baada taratibu za kiniplomasia baina ya mataifa mawili kati yake na Ukraine! Iran ilishatoa tamko kuwa wenyewe Ukraine watakuwepo wakati wa uchunguzi wa tukio ila haitakuwa tayari hyo black box kuipeleka USA au kuwakabidhi Boeing.
Ila kiukwel nikwamba jamaa hatamani kabisa kuingia vitani na IRAN Maana Anajua Atakachokutana nacho huko ndani wala hakukitarajiaHivi kwanini watu wanajidanganya eti USA anatafuta visingizio vya kuingia vitani na Iran wakati miaka yote Hana muda wakutafuta sababu wala visingizio akitaka kuvamia popote anavamia bila hata idhini/kibali cha UN.Ukweli ni kwamba anaihofia sana Iran anajua sio mtu wa mchezo mchezo wala hatanii akienda kichwa kichwa atatolewa kamasi.
Trump ndio wa kulipa fidia. Trump ndio aliyesababisha zahma yote hii. Dunia nzima pamoja na wamerekani imenyoshea kidole Trump.Jeshi la Iran limekuwa likikanusha kutungua ndege ya Ukraine toka ilipoangushwa na kuua watu 176, Sasa wanatakiwa kulipa fidia, inasikitisha sana
UN Washenzi SanaTunasubiri mwisho wake.
Ila kuhusu UN,UN ni sawa na vikaragosi tu,hawana msaada wowote na mustakabali wa dunia,zaidi wanakaa tu maofisini kwenye majengo marefu na kutumia pesa za dunia bila kufanya lolote la maana,chochote chaweza kutpokea duniani na UN wasifungue mdomo,hata kulaumu tu hawawezi.
Aah,bana,nilipinga wapi?,kauli yangu ya kwanza kuhusu hi ishu ni kuwa Iran wameitungua ndege ya Ukraine kea bahati mbaya
Kwani lini IRAN Alitangaza Vita Against US IRAN Hanashida Na Mtu Ila US Akileta Pua 2 Atachakaa Maana Atateseka Mnoooo.....Hapa umeyumba.
Ni kazi sana kumtetea Iran kwa hili blander kwa kufananisha na la Marekani. Kosa la US halihalalishi kosa kwa Iran.
Halafu unaposema 290 -176 na kumuona Iran sio fala unakosea.
Vita AKILI sio siraha peke yake.
Au hujui Iran kaua zaidi (82)raia wake[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] , kwa hili mimi naona Iran ni fala, ana siraha nzito ila akili kisoda.
Juzi kati pia amerusha kombora 15 zisizo na impact
Yaani Iran aachane kabisa na vita agaist US.
Kwa hiyo unaona ni sahihi kulipizia alichokifanya marekani?. Utaonaje ufahari kulipiza ya marekani huku raia wako mwenyewe zaidi ya 82 wako kwenye hiyo ndege?. Ulichokiongea hapo ni sawa na mwaka jana mtu kutoka kijiji cha mbali akaua ng'ombe wa jirani yako pamoja na ng'ombe wako wapatao 30. Mwaka huu wewe unalipiza kisasi kwa kuua ng'ombe wa jirani 12 na wa kwako mwenyewe ng'ombe wapatao 8Marekani alishaipiga ndege ya abiria Airbus A300 flight 655 ya Iran wakafa watu 290.
Naona watu wanajisahaulisha au hawajui
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakumbuka mwaka 1978 wakati ndege ya shirika la ndege la Iran ilipopigwa kombora na manowari za Kimarekani ?sasa kama wanakosea kurusha vikombora mpaka wanaua raia wake ... wataweza kupigana na mmarekani??? kwanza wanaonekana hawana elimu wala ujuzi kuhusu makombora wala hawana shabaha... mmarekani sema tu hajaamua kuifuta iran ktk ulimwengu.... wairani wajinga sana... ndiyo kisasi gNi hicho sasa
US=Wauaji Nambari Moja Ulimwenguni.....Kwani mbona Iran iliwaua maelfu ya waandamanaji wa nchi yake mwenyewe...nini kinashindikana??ndege ina ina abiria 200 akiwemo Osama wewe kama US unafanyaje?? Its called collateral damage
Mtu akipiga mimba mwanafunzi atasakamwa tu na kulaaniwa juu japo kuwa yeye sio wa kwanza kujaza mimba mwanafunzi, sasa mbona wewe unateseka Iran kusakamwa kisa tu sio wa kwanza!Tatizo sio kuhalalisha kosa tatizo ni kuisakama Iran utadhani yeye ndio wa kwanza kufanya jambo kama hilo.
Siungi Mkono Kwahili Utawala Wa IRAN Umeua Watu Bila Hatia [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Huwezi piga kitu kinachotembea km800 kwa saa kimakosa. Walidhamiria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan drone ni Gari Mimi Sijaongelea Maisha Ya Watu Maisha Yawatu Iwe Makusudi Ama Bahati Mbaya Yanadhamani Kuliko Kitu ChengneUnafananisha drone na maisha ya watu?
Hawa wajinga wanajilupua wenyewe kwa ujinga wao, hawa ni kuendelea kuwawekea vikwazo tu bado hawajitambui.