So?USA ni kubwa jinga la dunia, siku zote linahangaikia kulinda ukubwa wake "by hooks or crooks"--- limeshikwa na taharuki na kuweweseka baada ya China kuja juu kiuchumi linaona ukubwa wake sasa unaelekea "finito".
Marekani keshaleta pua tayari kwa kumuua General wa Iran, na matokeo yake hadi sasa wairan zaidi ya 190 wamepoteza maisha huku hakuna hata mmarekani mmoja aliyepoteza maisha, sasa usiombe marekani ilete pua tena.[emoji23][emoji6][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani lini IRAN Alitangaza Vita Against US IRAN Hanashida Na Mtu Ila US Akileta Pua 2 Atachakaa Maana Atateseka Mnoooo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiteseke kijana pole sana unatamani IRAN Iangushwe Ila Ukifikiria Hakuna TAIFA Linaweza Kufanya Hvyo Unabakia Unalia [emoji16][emoji16][emoji16]Niteseke kwa lipi, nakunywa uji wangu hapa kwa amani nikitazama taifa la kidini linavyodungua mindege iliyobeba raia na kuua abiria wote, nyie hata shetani huwashangaa.
Kama wairan wawe wajinga halaf ujidanganye eti ww ni mjanja [emoji2][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]sasa kama wanakosea kurusha vikombora mpaka wanaua raia wake ... wataweza kupigana na mmarekani??? kwanza wanaonekana hawana elimu wala ujuzi kuhusu makombora wala hawana shabaha... mmarekani sema tu hajaamua kuifuta iran ktk ulimwengu.... wairani wajinga sana... ndiyo kisasi gNi hicho sasa
Kaleta pua baada ya yule kenge wao mmoja kuuliwa kule ubalozini na wanaume wakashambulia kambi zakeMarekani keshaleta pua tayari kwa kumuua General wa Iran, na matokeo yake hadi sasa wairan zaidi ya 190 wamepoteza maisha huku hakuna hata mmarekani mmoja aliyepoteza maisha, sasa usiombe marekani ilete pua tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndiondio , maslahi kwanza, si unajua tena hata meja general kauliwa kwa mslahi, huwa wanadili saana na hiyo kitu inaitwa maslahi hivi vingine ni blabla TU. vijimawazo vyanguVizungu hv c ndio vilivyosema yakwamba IRAQ Kuna Silaha Zamaangamizi Ama Nivyengine ?!....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hichoUnakumbuka mwaka 1978 wakati ndege ya shirika la ndege la Iran ilipopigwa kombora na manowari za Kimarekani ?
Jeshi la Iran limekuwa likikanusha kutungua ndege ya Ukraine toka ilipoangushwa na kuua watu 176, Sasa wanatakiwa kulipa fidia, inasikitisha sana
Kama Joto joto hivi.
Hebu niwekee post yangu nikisema Iran haijatungua hio ndege?Wewe ndo ulikuwa unaoongoza hapa kupinga Iran haijadungua hiyo ndege, naona sasa umehamisha goli!
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu zaidi 190 akiwepo General mwenye heshima ya juu wamekufa sababu ya America Effect, ni pigo kubwa kwa Iran, wale wairan waliopelekwa Iraq kufanya fujo ubalozini walitimka mbio balaa baada ya kuona mmarekani hatanii, eti kama wamekula kichwa soleimaini wao akina nani hadi waendelee kuhatarisha maisha yao, ikabidi walale mbele.Kaleta pua baada ya yule kenge wao mmoja kuuliwa kule ubalozini na wanaume wakashambulia kambi zake
Eti unajiita super power halaf kambi zako zinapigwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ujinga mfanyie PUTIN Uone Kama Utatoka Salama.....
Sent using Jamii Forums mobile app
imejitungua yenyewe , watasikika hapo baadaeHebu niwekee post yangu nikisema Iran haijatungua hio ndege?
dodge
Hivyo vikwazo vitasaidia nini wkt Iran itaendelea kurutubisha Nuclear yake na mabomu yatatengenezwa bila tatizo.Acheni kupost vitu kishabiki, mtu kashaongezewa vikwazo, we unasema negotiations without preconditions
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan unaiona tofauti..Marekan walitungua ndege ya Iran ila Iran walivyo hawana akili wametungua ndege yenye raia wao wenyewe.Ujuha wa hali ya juu.Marekani alishaipiga ndege ya abiria Airbus A300 flight 655 ya Iran wakafa watu 290.
Naona watu wanajisahaulisha au hawajui
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukraine usiwasahau.Nadhan unaiona tofauti..Marekan walitungua ndege ya Iran ila Iran walivyo hawana akili wametungua ndege yenye raia wao wenyewe.Ujuha wa hali ya juu.
Hapa somo ni Iran kujipiga wenyewe na wa Iran kuweka box la data kwapani na kukanusha vikali na kutukana USA.
Na leo wamekubali wao ndio wamesababisha ajali na kuua.
Kumbuka ni walitakiwa wasitishe ndege za abiria za kawaida zisiruke lakini wao wakarusha makombora nchi nyingine huku wakijua ndege za abiria zinaruka kama kawaida wala hawakuzisitisha.
Sasa anzia hapo ujinga wa USA mada tofauti kabisa mkuu, punguza. hasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hujamwelewa jamaa, mantiki yake ni kwamba ni vigumu kusema umeitungua kimakosa, manake lazima kuna calc uzifanye ili utungue ndege.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ni kumpiga mmarekani ila kwa sababu hawana akili na wakakurupuka mwisho wa siku marekani had sasa ndio mshindi...kwanzia shambulio la Soleiman kuna wairan walikufa wale waliokuwa kwenye msafara..kwenye mazishi wairan wakafa..ndege hiyo waliyoitungua wairan wakafa....wamarekan wenyew wala wanadunda tu...Hasira hasara😂Sababu ya Wairani kurusha hayo makombora ni nani??-- anzia hapo nawe punguza "bias".
Rejea kwenye post yake nzima uone kasema nini na mimi nimejibu nini--- yeye mwenyewe kanielewa ndiyo maana hakujibu kitu. "Silence implies consent. "
Acha kulinganisha marekan na ujinga ujinga bhana , ya irani ni barbarically mistake ,Hivi mbona mnakuwa wapumbavu mmeshaambiwa ni makosa ya kibinadamu, vipi na marekani ilipo idungua ndege ya abilia na kuuwa raia miambili na uchafu ilikuwa ni mihemuko?