Lengo lilikuwa KUMUUA kasim selemani, mission accomplished [emoji123][emoji106]Hahah Iran ikithubutu kujibu mashambulizi yoyote yale tutatoa kichapo hakijawahi kuonekana-Trump.
Baada ya Mashambulizi kujibiwa Trump akaishia kuandika huko twitter ALL IS WELL, hahah mpk leo amekula kona.
View attachment 1319423
dodge
We ni nani mpaka usikitishwe sana?Waliosikitishwa sana ni wale waliopoteza wa karibu Wao.Baada ya kuwekewa ushahidi wa video ulio wazi kabisa wameshindwa kuendelea kubisha, wamekiri ilikuwa bahati mbaya, nimesikitishwa sana na tukio hilo
Hahah Iran ikithubutu kujibu mashambulizi yoyote yale tutatoa kichapo hakijawahi kuonekana-Trump.
Baada ya Mashambulizi kujibiwa Trump akaishia kuandika huko twitter ALL IS WELL, hahah mpk leo amekula kona.
View attachment 1319423
dodge
Sawa watalipa fidia lakini maumivu kwa familia za waliopoteza maisha hayaponyeki. Iran wamef a nya bonge la blunder.Jeshi la Iran limekuwa likikanusha kutungua ndege ya Ukraine toka ilipoangushwa na kuua watu 176, Sasa wanatakiwa kulipa fidia, inasikitisha sana
Kwa hiyo kuuawa kwa wale 290 kunahalalisha kuuawa kwa hawa 176!?vipi kuhusu 290
Na huyu ndio alidai kuwa Iran imeishusha F-35 ya Marekani kumbe alikuwa anaota kuwa anazaa kumbe anashusha kimba Kitandani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unaona ni sahihi kulipizia alichokifanya marekani?. Utaonaje ufahari kulipiza ya marekani huku raia wako mwenyewe zaidi ya 82 wako kwenye hiyo ndege?. Ulichokiongea hapo ni sawa na mwaka jana mtu kutoka kijiji cha mbali akaua ng'ombe wa jirani yako pamoja na ng'ombe wako wapatao 30. Mwaka huu wewe unalipiza kisasi kwa kuua ng'ombe wa jirani 12 na wa kwako mwenyewe ng'ombe wapatao 8
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Us akitungua ndege ya abiria sahihi. Ila akifanya hivo Iran mnamuona mbaya. Si ndio?two wrongs cant make it right.
Hapa Iran kajiingiza kibla.
Unakwama wapi wewe.Jirani yako ni shoga,nawewe ukiwa shoga tukuache tu kwasababu Jirani yako nayeye alishakuwa shoga?
Mashiha wanakupaga nn wewe... Ni jambo la kawaida kweli hili...?
Ukisjaingia nchi ya watu wakiamua kukuua huwezi kukwepa. Kwani umeambiwa yule general aliuawa akiwa Iran?Uwezo wa Iran mdogo sana kuliko hata inavyodhaniwa.
Kwanza walishindwa kumlinda General wao, huu ni udhaifu wa hali ya juu, hata Makonda analindwa bongo let alone Mabeyo.
Sasa wamekiri wenyewe kutungua ndege kwa kukosa utaalamu wa kutosha eti bahati mbaya baada ya kujaribu kuficha ila imeshindikana. Ni kwasababu hizi USA haitaki Iran iwe na nuclear sababu wanajua uwezo wao bado mdogo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
furaha kubwa kwa wana Iran kuua wakanada 63Kwa hiyo kuuawa kwa wale 290 kunahalalisha kuuawa kwa hawa 176!?
Jeshi la Iran limekuwa likikanusha kutungua ndege ya Ukraine toka ilipoangushwa na kuua watu 176, Sasa wanatakiwa kulipa fidia, inasikitisha sana
Kwa hiyo wewe unataka tumuamini marekani ambaye meli yake yenye sailors 900 ilizamishwa halafu akasema hamna kifo chochote kilichotokea halafu wiki 2 baadae yakatokea yale ya hiroshima na nagasaki.Iran ina wenge,,walijua hiyo ndege ni US anakuja kuwazika wazima wazima[emoji2]
Alafu huyu sio wa kumuamini,alidanganya kaua askari 80 wa US ,alidanganya pia hakutungua hiyo ndege huku akishikilia black box.. alivyo ona watu washaanza mstukia na kuunda jopo la wachunguzi akaona aibu hiyo apo , ameona akili leo[emoji2][emoji2]
Pro iran wakaja na wakasema US mbaya anamzushia Iran..[emoji2]
Mimi nahisi Iran kwenye Radar zao waliona B1B bomber kumbe ni Boeng maskini [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuwekewa ushahidi wa video ulio wazi kabisa wameshindwa kuendelea kubisha, wamekiri ilikuwa bahati mbaya, nimesikitishwa sana na tukio hilo