STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
[emoji23][emoji23][emoji23] Hao kawaida yao wanaongea kimihemko
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi kuhusu 290
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi kuhusu 290
Wewe mbona huumizi kichwa kufikiri?Tambua hiyo mitambo inaongozwa na binadamu kwa hiyo suala la kukosea ni jambo la kawaida.
Hata marekani mnao msifu kuwa na ujuzi wa hali ya juu alisha itungua ndege ya abilia kimakosa sijui na yeye tusemeje.
Namuomba Marekani aachane na Iran aende kumchokonoa Dogo Mapanki North Korea ubabe alio nao tuzidi kuujua.
View attachment 1319052
Hiki ndo alichokifanya Iran, raia wako 82 unawaua Kwa mihemko
marekani kutungua ndege ya Iran ni makosaKwa hiyo Us akitungua ndege ya abiria sahihi. Ila akifanya hivo Iran mnamuona mbaya. Si ndio?
Sawa mmarekani mweusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwishoe kakubali!!
Tukiwaambia waachane na mabomu wanaona tunawabania!!
Mjinga kweli wewe yaani unataka kuhalalisha upuuzi walioufanya kwa kutumia suala hili, maana naona Kila sehemu unajibu kwa kutumia upuuzi huu.
tena siyo wajinga tu bali pia ni wapumbavu wakubwa[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wairan wawe wajinga halaf ujidanganye eti ww ni mjanja [emoji2][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Hongera sana mjanja ambae mpaka choo chako unahamishwa na USAID
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, Leo unahangaika Sana kuwatetea hao wapuuzi wenzio. Kila sehemu unacoment wewe
290-176=.............huyu ndio kidume ukimpiga kofi anakupiga zachembe kama 8 hivi Iran sio fala
hebu toa upupu wako hapa..... iran hawezi kupigana na mmarekani hata kwa dakika mojaUnakumbuka mwaka 1978 wakati ndege ya shirika la ndege la Iran ilipopigwa kombora na manowari za Kimarekani ?
Hawa ni wauaji tangu kuumbwa kwa Dunia, bila kuwepo mbabe dhidi yao Dunia ingeshihidia unyama kila sehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni mahaba mnapocommentUwezo wa Iran mdogo sana kuliko hata inavyodhaniwa.
Kwanza walishindwa kumlinda General wao, huu ni udhaifu wa hali ya juu, hata Makonda analindwa bongo let alone Mabeyo.
Sasa wamekiri wenyewe kutungua ndege kwa kukosa utaalamu wa kutosha eti bahati mbaya baada ya kujaribu kuficha ila imeshindikana. Ni kwasababu hizi USA haitaki Iran iwe na nuclear sababu wanajua uwezo wao bado mdogo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashiha wanakupaga nn wewe... Ni jambo la kawaida kweli hili...?
Hata siku watakapo kimbizwa mashariki yakati mtakuja na hizi ngonjera...ndiondio , maslahi kwanza, si unajua tena hata meja general kauliwa kwa mslahi, huwa wanadili saana na hiyo kitu inaitwa maslahi hivi vingine ni blabla TU. vijimawazo vyangu
Kama walivyoliwa wanajeshi 80 kiukweli us haamini anachokumbana nacho kutokea IRAN.....Watu zaidi 190 akiwepo General mwenye heshima ya juu wamekufa sababu ya America Effect, ni pigo kubwa kwa Iran, wale wairan waliopelekwa Iraq kufanya fujo ubalozini walitimka mbio balaa baada ya kuona mmarekani hatanii, eti kama wamekula kichwa soleimaini wao akina nani hadi waendelee kuhatarisha maisha yao, ikabidi walale mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ww huko ata Chai ya mkandaa hujanywa eti unaita Iran dhaifu wakati Marekani mwenyewe anaharisha huko, Acheni kutujazia sever kwa upuuzi wenu kama huoHili jeshi dhaifu ndio lilitaka kupigana na US kweli?
Mwanzo walikana katakata, USA na Canada intelligency wakasema wana ushaidi wa picha za satelite kwamba kombora la Iran lilitungua ndege, leo kipo wap
Ndio maana US hataki hawa wamiliki nuclear maana wataangamiza dunia kwa mihemko yao
Sent using Jamii Forums mobile app