STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Kwahiyo kaka wewe ndugu yako akikojoa mbele za watu na wewe utakojoa pia? Au na wengine wafanye kwa kuwa yeye kafanya?
Sent using Jamii Forums mobile app
labda yaweza kutokea hivyo na sisi kweli tukaacha kukuambia ukweli ambao wewe unauona ngonjera, sikulaumu huo ni uwezo wako wa kufikiri uliojaaliwaHata siku watakapo kimbizwa mashariki yakati mtakuja na hizi ngonjera...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dhaifu NATO wamesepa wakitaka wasitake je likiwa strong si utakuja kujinyonga? Yaani ww huko ata Chai ya mkandaa hujanywa eti unaita Iran dhaifu wakati Marekani mwenyewe anaharisha huko, Acheni kutujazia sever kwa upuuzi wenu kama huoView attachment 1319512
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaonaje?
dodge
PUTIN Nikwamba Asingekubali Kambi Zake Zisishambuliwe Lazma Angekuchapa tu Mpaka Ukaishika Adabu Yako Popote Pale Ilipo Ila SUPER POWER Kasanda Kaishia Kuimba Twaarab 2 Eti.. hakuna hasara nlioipata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo tunahamia kwa Putin siyo Iran tena? Unatungua ndege na kuua raia wako mwenyewe? Kisasi cha kijinga kabisa kuwahi kutokea!
..makombora ya Iran hayakuua askari hata mmoja wa marekani.
..badala yake makombora hayo yameua watu wasiokuwa na uhusiano wowote na Marekani ikiwemo raia wa Iran yenyewe.
..huu ni UZEMBE uliopitiliza. Wahusika wanapaswa kuchukuliwa hatua kali kwa uzembe wao. Kwanini waliruhusu ndege kuruka wakati jeshi lilikuwa likifyatua makombora ya masafa marefu?
IRAN Ndio Bingwa Wakupambana Navikwazo Uchwara[emoji14][emoji14][emoji12]Iamriwe alipe fidia wahanga wote na shirika LA ndege,akikataa wamtwange vikwazo zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona watokwa na povu,kubali tu mihemko yake imepelekea kuua raia wake mwenyewe,ujinga wa hali ya juu! Alidhani anamkomesha US
Hahah hua wanajitoa tu ufahamu tu wakizidiwa mkuu.Hayo maswa wanayouliza mm huwa nacheka sana mkuu bora mda mwengine uwajibu kiivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
us na washirika wake kila mara wanaongeza vikosi huko mashariki ya kati kwakua wauliwa sana.uoni us anaua askari wake kwa kuwapereka machinjioni mwenyewe.alichofanya iran ni sawa inawezekana lingetokea tatizo kubwa kama wangeiacha hiyo ndege isepe sio kama awakujua kuna raia wake hapa ilifanywa hivi kuliokoa taifa lao.BILA US KWENDA KULETA VURUGU MSHARIKI YA KATI AYA AYAKUWEPO.US NDIO MUUJI KTKT MATAIFA MENGINEHapa umeyumba.
Ni kazi sana kumtetea Iran kwa hili blander kwa kufananisha na la Marekani. Kosa la US halihalalishi kosa kwa Iran.
Halafu unaposema 290 -176 na kumuona Iran sio fala unakosea.
Vita AKILI sio siraha peke yake.
Au hujui Iran kaua zaidi (82)raia wakeππππ , kwa hili mimi naona Iran ni fala, ana siraha nzito ila akili kisoda.
Juzi kati pia amerusha kombora 15 zisizo na impact
Yaani Iran aachane kabisa na vita agaist US.
Naskia wamemuibia itel yake[emoji2][emoji23][emoji23][emoji16]Hahah Iran ikithubutu kujibu mashambulizi yoyote yale tutatoa kichapo hakijawahi kuonekana-Trump.
Baada ya Mashambulizi kujibiwa Trump akaishia kuandika huko twitter ALL IS WELL, hahah mpk leo amekula kona.
View attachment 1319423
dodge
Taifa lenyewe la Iran linaendeshwa kidini, limekaa kiugaidi gaidi.
Tofauti ni kwamba 1988 Technology ilikuwa ndogo tofauti na hivi sasa... Pamoja na kwamba kweli makosa ya kibinadamu yapo.Hivi mbona mnakuwa wapumbavu mmeshaambiwa ni makosa ya kibinadamu, vipi na marekani ilipo idungua ndege ya abilia na kuuwa raia miambili na uchafu ilikuwa ni mihemuko?