Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Tunasubiri mwisho wake.
Ila kuhusu UN,UN ni sawa na vikaragosi tu,hawana msaada wowote na mustakabali wa dunia,zaidi wanakaa tu maofisini kwenye majengo marefu na kutumia pesa za dunia bila kufanya lolote la maana,chochote chaweza kutpokea duniani na UN wasifungue mdomo,hata kulaumu tu hawawezi.
 
Roho za waliopoteza maisha zipumzike mahala pema peponi hakika hili vuguvugu la mashariki ya Kati linagharimu maisha ya wasio na hatia
 
Ok nimekupata ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Marekani naye uwezo wake ni mdogo?Maana alishaitungua ndege ya Iran akauwa abiria wote 290.
 
USA ni kubwa jinga la dunia, siku zote linahangaikia kulinda ukubwa wake "by hooks or crooks"--- limeshikwa na taharuki na kuweweseka baada ya China kuja juu kiuchumi linaona ukubwa wake sasa unaelekea "finito".
Uchawi wako usiwe mzigo kwa wengine.Sasa ukubwa wa US ndo umesababisha Iran itungue ndege kimakosa?Basi kama ndo makosa hayo ujue ipo siku watatungua ndege Ya Khomein ili tuone kama kweli ni makosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi Tanzania tunaweza kutungua ndege ya wapi? Usije ukanijibu ya ufipa tu
Hata marekani alishatugua ndege ya abiria ya Iran flight 655 mwaka 1988 walikufa watu wote 290 waliokiwepo kwenye ndege

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sijui upo dunia ipi??---

Warusi walitungua kwa maksudi ndege ya Ukraine iliyokuwa maelfu ya Feet.

Kuna makombora special kwa kazi ya kutumgulia ndege tu-- they are so eccurate that they deviate a foot in long distances---- ask the Russians.
Ndio shida ya elimu za kusoma physics kwa kutumia vitini vya Nyambari Nyangwine.

dodge
Ni rahisi sana kutungua ndege ya abilia kama unavifaa ata vya zaman
Ata sisi watanzania tulitungua ndege za Uganda za kutosha tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hamjanielewa sijasema haiwezekani...inawezekana tena kuna technology zinaweza kirahisi...lakini nachosema hata hizo technology za kutrack ndege sio rahisi rahisi tu ni very sophisticated... Sasa hata kwa technology ya zaman ya kulenga ndege bado sio rahisi lazima kuna mahesabu....
Nachosema kuwa kutungua ndege inawezekana lakini mpaka uwe umekusudia...huwezi kunishawishi eti umetungua kwa bahati mbaya eti 'it happened to be at a wrong place at a wrong time'
Yani ni sawa na mtu apate jibu la hesabu ngumu kwa bahati mbaya kwa kuandika namba randomly tu bila kukaa na kusolve kwanza kwa lengo la kupata hilo jibu...impossible
 
Uko sahihi kabisa mkuu US kwasasa anaelekea kukosa ushawishi tena ulimwenguni hususan nchi za magharibi ambao ndo washirika wake wakuu

Watu mnajua kujifariji
 
Iran inadai kuwa, waliitambua hiyo ndege kama ndege ya adui.

Kwa maana hiyo ni kuwa, waliiona hiyo ndege katika radar zao na kisha waliitungua ingawa wanadai ni "kimakosa".
 
The US sees everything from above. Waliona kuanzia mwanzo na walisema kuanzia mwanzo Iran akawa anabisha.
 
Masikini Iran si bora angetumia S300 au hajui kuzitumia.

Wenzao wanasema walipoziwasha tu walijua.

Nadhani hata USA wakitoa mkono wa rambirambi watakataa. Sasa hivi inabidi baada ya mazishi ya Soleiman watoe hela ndeeefu kuwapoza wafiwa naona lawama anatupiwa Trump kwa kuanzisha balaa lote.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana. Ghafla watu 170 wanapoteza maisha kiss ugomvi wa kitaifa? Kweli upendo unahitajika duniani sidhani kama MTU kwenye upendo na watu atadiriki kutoa uhai wa mwenzake!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kabisa mkuu US kwasasa anaelekea kukosa ushawishi tena ulimwenguni hususan nchi za magharibi ambao ndo washirika wake wakuu
sijaona mantiki ya maneno haya hata kidogo, sijui labda baadae
 

Ukisikia hasara juu ya hasara ndio hii ya Iran,matokeo yake hata yale “mashambulizi” ya Kambi za Marekani Iraq yamekosa maana! Acha wapambane na akuwalipa wahanga ya hiyo Ndege pamoja na Shirika la Ukraine!
 
290-176=.............huyu ndio kidume ukimpiga kofi anakupiga zachembe kama 8 hivi Iran sio fala
Hapa umeyumba.
Ni kazi sana kumtetea Iran kwa hili blander kwa kufananisha na la Marekani. Kosa la US halihalalishi kosa kwa Iran.
Halafu unaposema 290 -176 na kumuona Iran sio fala unakosea.
Vita AKILI sio siraha peke yake.
Au hujui Iran kaua zaidi (82)raia wake😄😄😄😄 , kwa hili mimi naona Iran ni fala, ana siraha nzito ila akili kisoda.
Juzi kati pia amerusha kombora 15 zisizo na impact
Yaani Iran aachane kabisa na vita agaist US.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…