Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi walitungua ndege juzi kati vipi kuna fidia yoyote ililipwa? Urusi wamefilisika?Hizo fidia lazima nchi ifilisike
Na anaye changia kwenye kitu kilicho fanywa na mpumbavu ndio mpumbavu zaidi.Uzi wa kipumbavu kabisa.
Vp angekua ndugu yako kwenye hiyo ndege ungekuja kuropoka hapa ni mambo ya kawaida?!
Wataua mpuuzi yyte yule atakaetaka kuwaletea upuuzi...mWaajemi walishikwa kiwewe cha vita mpaka wakaanza kurusha makombora hovyo! Sasa hawa wakiwa na mabom ya nyuklia si wataua mpaka inzi!
Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
Hawa Iran wapuuzi kweli kwa hali ile ya tahadhari walipaswa watambue anga yao yote ipo monitored. Wenyewe wakajifanya wapuuzi kuitingua ndege kisha kukana.
Baada ya kupewa tips kuwa wanenda kuwa exposed,wakaone heri wajisalimishe.
Naona timu Iran wote wanaunga mkono utunguaji huu wa ndege na kuua abiria wote,tena wengi wakiwa ni raia wa nchi yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu kwa hiyo hoja yako ni Iran imeiangusha makusudi au?Jipya lipo sana tu.
Air Traffic Controllers wa kijeshi na abiria wanamwasiliano muda wote na kufanya kazi pamoja. Iilitakiwa mwongoza ndege za kijeshi amuulize mwongoza ndege za abiria hapo hapo kama anaitambua hiyo ndege au la.
Sent using Jamii Forums mobiapp
Hapo ilikua ni kawaida au?Vp angekua ndugu yako kwenye hiyo ndege ungekuja kuropoka hapa ni mambo ya kawaida?!
Hapana mkuu wasingeweza kuitungua kama sababu ni hizo bali wangezituma ndege za kijeshi zikaizuie na isingeenda kokote
Wameua innocent people! Kiwewe cha kupambana na Marekani
Hakuna anaye shabikia mauaji lakini ni makosa ya kibinadamu na Iran sio nchi ya kwanza kufanya kosa la namna hiyo makosa kama hayo huwa yanatokea.Hawa Iran wapuuzi kweli kwa hali ile ya tahadhari walipaswa watambue anga yao yote ipo monitored. Wenyewe wakajifanya wapuuzi kuitingua ndege kisha kukana.
Baada ya kupewa tips kuwa wanenda kuwa exposed,wakaone heri wajisalimishe.
Naona timu Iran wote wanaunga mkono utunguaji huu wa ndege na kuua abiria wote,tena wengi wakiwa ni raia wa nchi yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
I believe katika ulimwengu wa kijasusi hata Kama yupo mmoja with top secrets ndege itaangushwa tu, I guess yameshatokea huko nyumaYaani kama hujui kitu wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi. Yaani kwa akili ya chini kabisa majasusi ya Marekani 170 wapande ndege moja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio swali wanatakiwa wajibu waajemi.Ndugu kwa hiyo hoja yako ni Iran imeiangusha makusudi au?
Huyu hapa:Hivi Trump hajaamka tu ? Mliopo Twitter mtatujulisha leo atareact vipi baada ya Iran kukubali.
Hatareee. Asante kwa taarifa. Trump Baba lao sometimes.
Kama waneitungua makusudi basi si bure maana nasikia ilipita karibu kabisa na eneo nyeti la kijeshi.