Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

IRAN hata sisi tuna imudu basi tu watu wamezidisha mahaba
 
Hawa Iran wapuuzi kweli kwa hali ile ya tahadhari walipaswa watambue anga yao yote ipo monitored. Wenyewe wakajifanya wapuuzi kuitingua ndege kisha kukana.

Baada ya kupewa tips kuwa wanenda kuwa exposed,wakaone heri wajisalimishe.

Naona timu Iran wote wanaunga mkono utunguaji huu wa ndege na kuua abiria wote,tena wengi wakiwa ni raia wa nchi yao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao

Vipi kunguru kumnyea mwanadamu huwa makusudically!!??

Kwakuwa wamesema wataruhusu uchunguzi huru! Basi tusubiri matokeo!
 
Pale mbongo mwenzetu aliyepo pale kasulu,kigoma anaposhauri wanajeshi wa Iran.
Hawa Iran wapuuzi kweli kwa hali ile ya tahadhari walipaswa watambue anga yao yote ipo monitored. Wenyewe wakajifanya wapuuzi kuitingua ndege kisha kukana.

Baada ya kupewa tips kuwa wanenda kuwa exposed,wakaone heri wajisalimishe.

Naona timu Iran wote wanaunga mkono utunguaji huu wa ndege na kuua abiria wote,tena wengi wakiwa ni raia wa nchi yao.



Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Jipya lipo sana tu.

Air Traffic Controllers wa kijeshi na abiria wanamwasiliano muda wote na kufanya kazi pamoja. Iilitakiwa mwongoza ndege za kijeshi amuulize mwongoza ndege za abiria hapo hapo kama anaitambua hiyo ndege au la.


Sent using Jamii Forums mobiapp
Ndugu kwa hiyo hoja yako ni Iran imeiangusha makusudi au?
 
Vp angekua ndugu yako kwenye hiyo ndege ungekuja kuropoka hapa ni mambo ya kawaida?!
Hapo ilikua ni kawaida au?
Screenshot_2020-01-11-07-14-10-1.jpeg


dodge
 
Hawa Iran wapuuzi kweli kwa hali ile ya tahadhari walipaswa watambue anga yao yote ipo monitored. Wenyewe wakajifanya wapuuzi kuitingua ndege kisha kukana.

Baada ya kupewa tips kuwa wanenda kuwa exposed,wakaone heri wajisalimishe.

Naona timu Iran wote wanaunga mkono utunguaji huu wa ndege na kuua abiria wote,tena wengi wakiwa ni raia wa nchi yao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna anaye shabikia mauaji lakini ni makosa ya kibinadamu na Iran sio nchi ya kwanza kufanya kosa la namna hiyo makosa kama hayo huwa yanatokea.
 
Ndio swali wanatakiwa wajibu waajemi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama waneitungua makusudi basi si bure maana nasikia ilipita karibu kabisa na eneo nyeti la kijeshi.
Maana nilisha soma makara moja hivi ata usoviet ilisha idungua ndege ya abilia katika mazingira kama haya wenda kuna kitu sio bure.
 
mu Irani ana wenge balaa

Na hapo bado kombora LA mMarekani halijafyatuliwa tayari wamepaniki

Vita ikianza atapigana Ayatollah pekee yake...maana askari wake wana "human error" kiasi watamalizan wao kwa wao



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom