Iran yakubali ombi la US na Egypt kutoishambulia Israel ili vita visimamishwe

Iran yakubali ombi la US na Egypt kutoishambulia Israel ili vita visimamishwe

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Nchi kadhaa zimekuwa na hofu kubwa ya mashambulizi makali ya Iran dhidi ya Israel na kupanuka kwa vita katika eneo la mashariki ya kati.Hofu hiyo ni kutokana na kiapo cha Iran kulipiza kisasi kutokana na kuuliwa kwa Ismail Haniye.
Miongoni mwa nchi zenye hofu zaidi ya vita hivyo na kwa maslahi yao ni Misri na Marekani.Hiyo ndiyo sababu juhudi kubwa za kidiplomasia zimefanyika kuizuia Iran kutekeleza ahadi yake hiyo.
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Misri imependelea hatua hizo za usitishwaji wa vita kwa sharti la kuondolewa majeshi ya Israel kwenye kipande cha mpaka na Gaza kinachojulikana kama philadephi Corridor

Iran mulls scrapping plans to take revenge on Israel in exchange for a Gaza ceasefire

 
Nchi kadhaa zimekuwa na hofu kubwa ya mashambulizi makali ya Iran dhidi ya Israel na kupanuka kwa vita katika eneo la mashariki ya kati.Hofu hiyo ni kutokana na kiapo cha Iran kulipiza kisasi kutokana na kuuliwa kwa Ismail Haniye.
Miongoni mwa nchi zenye hofu zaidi ya vita hivyo na kwa maslahi yao ni Misri na Marekani.Hiyo ndiyo sababu juhudi kubwa za kidiplomasia zimefanyika kuizuia Iran kutekeleza ahadi yake hiyo.
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Misri imependelea hatua hizo za usitishwaji wa vita kwa sharti la kuondolewa majeshi ya Israel kwenye kipande cha mpaka na Gaza kinachojulikana kama philadephi Corridor

Iran mulls scrapping plans to take revenge on Israel in exchange for a Gaza ceasefire

Tulimwona Rais wa Iran akimtaka Ayatollah kuwa makini katika kuishambulia Israeli kwani majibu yake angeweza kuwa mabaya lupita maelezo
 
Si nasikia huko wadukuzi wa iran wamedukua mfumo wa jeshi wa iran na wa uwanja wa ndege wa ben gurion tel aviv..?
Ndio hofu ikazidi kutanda ndani ya Tel Aviv,
Kuhusu teknolojia ya habari na IT Iran hawako nyuma hata kidogo.Na kwa kweli haya mambo ndiyo yatakayopelekea watu duniani kuheshimiana.
 
images (15).jpeg
 
Nchi kadhaa zimekuwa na hofu kubwa ya mashambulizi makali ya Iran dhidi ya Israel na kupanuka kwa vita katika eneo la mashariki ya kati.Hofu hiyo ni kutokana na kiapo cha Iran kulipiza kisasi kutokana na kuuliwa kwa Ismail Haniye.
Miongoni mwa nchi zenye hofu zaidi ya vita hivyo na kwa maslahi yao ni Misri na Marekani.Hiyo ndiyo sababu juhudi kubwa za kidiplomasia zimefanyika kuizuia Iran kutekeleza ahadi yake hiyo.
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Misri imependelea hatua hizo za usitishwaji wa vita kwa sharti la kuondolewa majeshi ya Israel kwenye kipande cha mpaka na Gaza kinachojulikana kama philadephi Corridor

Iran mulls scrapping plans to take revenge on Israel in exchange for a Gaza ceasefire

Yakubali "ombi"?Unafurahisha sana.🤣🤣🤣🤣🤣🙏
 
Iran kama mbwa koko tu, hana lolote, eti vita uombwe usipigane? Vita mtu akiamua anaombwaga? Iran hakuna kitu zaidi ya kelele za chura tu, na niseme kabisa, Israel lazima watamtungua Ayatollah, na Israel juzi kaapa kabisa lazima watamuondoa Mkuu mpya wa Hamas, na Ayatollah najua halali anajua hawa wakata roho wako nae pale Tehran na hatari sana, ogopa mtu ana akili mara mil 1 zaidi yako
 
Nchi kadhaa zimekuwa na hofu kubwa ya mashambulizi makali ya Iran dhidi ya Israel na kupanuka kwa vita katika eneo la mashariki ya kati.Hofu hiyo ni kutokana na kiapo cha Iran kulipiza kisasi kutokana na kuuliwa kwa Ismail Haniye.
Miongoni mwa nchi zenye hofu zaidi ya vita hivyo na kwa maslahi yao ni Misri na Marekani.Hiyo ndiyo sababu juhudi kubwa za kidiplomasia zimefanyika kuizuia Iran kutekeleza ahadi yake hiyo.
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Misri imependelea hatua hizo za usitishwaji wa vita kwa sharti la kuondolewa majeshi ya Israel kwenye kipande cha mpaka na Gaza kinachojulikana kama philadephi Corridor

Iran mulls scrapping plans to take revenge on Israel in exchange for a Gaza ceasefire

Wenye akili tulijua ilikuwa ni Tishia Nyau tu
 
Huwezi amini kuna watu bado hawatoelewa kwamba Iran haina huo uwezo, utakuta bado wanaandika hoja walizoandika juzi, mwaka juzi miaka iliyopita.
 
Back
Top Bottom