Iran yakubali ombi la US na Egypt kutoishambulia Israel ili vita visimamishwe

Iran yakubali ombi la US na Egypt kutoishambulia Israel ili vita visimamishwe

Iran kama mbwa koko tu, hana lolote, eti vita uombwe usipigane? Vita mtu akiamua anaombwaga? Iran hakuna kitu zaidi ya kelele za chura tu, na niseme kabisa, Israel lazima watamtungua Ayatollah, na Israel juzi kaapa kabisa lazima watamuondoa Mkuu mpya wa Hamas, na Ayatollah najua halali anajua hawa wakata roho wako nae pale Tehran na hatari sana, ogopa mtu ana akili mara mil 1 zaidi yako
Hapana, huyo jamaa mwenye ni MOSSAD, hawatamtungua😅
 
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Za kuwambiwa wachanganye na za kwao, kwani Israel yenyewe inasemaje?
 
My goodness! "Iran imekubali ombi la kutoipiga Israel"
 
Imekubali ama haina uwezo!!
Hapo kuna highly profitable negotiations. Vita sio mchezo wala sifa na hakuna mshindi, au unadhani watu wanapenda kuuana na kufa kwa sababu za kipuuzi?

Uhalisia wa kutisha wa vita wanaujua wenye vita tu. Inafikirisha sana aisee.
 
Hapo kuna highly profitable negotiations. Vita sio mchezo wala sifa na hakuna mshindi, au unadhani watu wanapenda kuuana na kufa kwa sababu za kipuuzi?

Uhalisia wa kutisha wa vita wanaujua wenye vita tu. Inafikirisha sana aisee.
Uko sahihi kabisa, ila tatizo letu sisi wabongo tunapenda ushabiki na ligi ambazo hazina tija yoyote.
 
Nipo kuwalingania waachane na shirki warejee mahala salama
Wewe ni nani wa kuhukumu wengine wakati nawe ni walewale. Ondoa boriti kwenye jicho lako kwanza, huna mamlaka ya kuhukumu wengine wakati na wewe utahukumiwa.
 
Hahahahahahahaha...mbona hukusema ndo kisasi Cha Iran ili tukucheke?Leo kaufyata ndo unajiokotezea tu vitukio ili kuifariji nafsi
Naifariji nafsi au ndio uhalisia!?
Naona umekosa cha kuongea.
Pia hapo habari inasema kuwa kutakua na negotiations ya Gaza ceasefire ndio Iran isiishambulie Israel.
Je mtu aliyeufyata anapewa negotiations!??
 
Tulimwona Rais wa Iran akimtaka Ayatollah kuwa makini katika kuishambulia Israeli kwani majibu yake angeweza kuwa mabaya lupita maelezo
Pamoja na hivyo Iran isisitishe moja kwa moja pigo lake kwani Israel kwa taibia yao hawana ahadi na hawaheshimu makubaliano
Kwa nini hua drones za Israeli hawazioni?🤣🤣🤣
Kama ambavyo na droni za hIZbullah na houth hazionekani zikiingia mpaka TelAviv
 
Nina mashaka na Russia baada ya kufika Iran kuna vitu kagundua na kuwaambia wahold back, maana yeye ni mjuzi zaidi.

Nafikiri Russia kaona mapungufu mengi kiasi cha kuanzisha vita na Israeli/USA + allies gharama yake itakuwa kubwa sana.
Sasa ni wazi Mrusi atakaa pale kuset mambo ikiwepo mfumo wa kujilinda angani, kuwawekea nuke vizuri, supersonic missiles, naval ship zao.

Kwa yanayoendelea Duniani Kwa sasa, Iran ni allies mzuri kwa Russia, China na North Korea, hivyo ni vyema awe equiped na military hardware za kutosha, technolojia na wataalam ili awe strong zaidi.

Ni maoni yangu.
Vita havitokwisha kwa siku za karibuni mpaka Marekani itakapoporaomoka chini
 
Iran kama mbwa koko tu, hana lolote, eti vita uombwe usipigane? Vita mtu akiamua anaombwaga? Iran hakuna kitu zaidi ya kelele za chura tu, na niseme kabisa, Israel lazima watamtungua Ayatollah, na Israel juzi kaapa kabisa lazima watamuondoa Mkuu mpya wa Hamas, na Ayatollah najua halali anajua hawa wakata roho wako nae pale Tehran na hatari sana, ogopa mtu ana akili mara mil 1 zaidi yako
Tatizo military leaders wanamake strategic decisions sio kwa kuangalia emotions kuangalia manufaa ya muda mfupi na mrefu kuna mtu aliitangazia dunia kuwa ataifuta Hamas kiko wapi ameifuta ???? Kama mimi ni mmojawapo wa makamanda wa iran kama musirael kaogopa kiasi amekubali kumake peace na kusimamisha mapigano Gaza na hamas kuwa washindi kwa kufanikiwa kubakia na mateka mamia ya waisrael hususani high level official kwa nini nikatae kwa kuwa najua siku wakitaka tena Hamas wanakiwasha tena kama wameweza kufyeka kambi za kijeshi za muisrael oktoba 7 basi wakijipanga vizuri next wanafika Tel Aviv kama kazi ya kmchapa mtu kwa kutumia proxy inawezekana why risk allout war with direct impact to homeland.
 
Iran anajua akifanya mistake yeyote na Israel akaamua iwe all out war na aivamie ardhi ya Iran, itakuwa ndio mwisho wa utawala wa kiislam pale Iran.

Kitu ambacho hataki kije kutokea na pia anajua Israel atamani sana vita na Iran sababu nchi namba moja inayotaman Israel afutwe kwenye ramani ya dunia ni Irani hivyo Israel akipata fursa ya vita na Iran basi ataifuta kabisa Iran (hapa Iran kashtuka 😂)

Na kumbuka Khamenei anajua kichwa cha Netanyahu akijifungia kwenye kale kachumba akitoka tu umekwisha na harudi nyuma.
 
Ushashiba urojo unaropoka tu.
Kipigo kinaendelea leo j3 tunatoa mahesabu.
 
Back
Top Bottom