Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nani aliyejisifia?Mbona juzi drone za Hizbollah Israel hawakuziona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliyejisifia?Mbona juzi drone za Hizbollah Israel hawakuziona?
Swali gani hili la kuuliza mkuu!??Nani aliyejisifia?
Soma uzi chanzo chake ni nini ndiyo utalielewa swali.Usiwe msahaulifu.Swali gani hili la kuuliza mkuu!??
Ulisema jana kwamba Hezbollah waliua askari 17 wa IDF, hiyo habari uliitoa kwenye chanzo kipi?Kuna wajinga watakwambia Iran kaufyata.
Iran naona kashalipa kisasi chake kwa wahusika kupitia Proxy wake.
Galilaya raia na askari wamedhurika juzi kwa mashambulio mawili ya Hizbollah,kitu kilichofanya serikali ya Israel iwahamishe raia wote kiusalama.
Pia kambi ya Ain Al Assad imekula chuma na majeruhi 7 wa jeshi la USA kupatikana.
Si hivyo tu,inasemekana pia Syria sehemu zichimbwazo mafuta na US vikundi vya jadi vya Syria vimepashikilia.
In short Iran keshalipa kisasi ila MABWEGE HAWAWEZI KUELEWA.
Muamini bro!😂Ulisema jana kwamba Hezbollah waliua askari 17 wa IDF, hiyo habari uliitoa kwenye chanzo kipi?
We ustaazi uchwara tumeshakushtukia na habari zako za kuokoteza uchochoroni…Habari za vikao si zililetwa humu mkuu!?
Tafuta thread zake utazipata.
Stop mockery bana.
Nikiwa chachi hapa.Unateseka ukiwa wapi shehe..🤣🤣🤣
Shehe na church wapi na wapi..😲😲Nikiwa chachi hapa.
Nikishasema hakuna vita hapo Kwa sababu Mikwara ilizidi.Nchi kadhaa zimekuwa na hofu kubwa ya mashambulizi makali ya Iran dhidi ya Israel na kupanuka kwa vita katika eneo la mashariki ya kati.Hofu hiyo ni kutokana na kiapo cha Iran kulipiza kisasi kutokana na kuuliwa kwa Ismail Haniye.
Miongoni mwa nchi zenye hofu zaidi ya vita hivyo na kwa maslahi yao ni Misri na Marekani.Hiyo ndiyo sababu juhudi kubwa za kidiplomasia zimefanyika kuizuia Iran kutekeleza ahadi yake hiyo.
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Misri imependelea hatua hizo za usitishwaji wa vita kwa sharti la kuondolewa majeshi ya Israel kwenye kipande cha mpaka na Gaza kinachojulikana kama philadephi Corridor
Iran mulls scrapping plans to take revenge on Israel in exchange for a Gaza ceasefire
Nipo kuwalingania waachane na shirki warejee mahala salamaShehe na church wapi na wapi..😲😲
Pearce vipi nani kakuzingua unataka umzingue?Tunaomba Mods muongezee hii emoji 🚮 kwenye eneo la Thanks
Hahahahahahahaha...mbona hukusema ndo kisasi Cha Iran ili tukucheke?Leo kaufyata ndo unajiokotezea tu vitukio ili kuifariji nafsiKuna wajinga watakwambia Iran kaufyata.
Iran naona kashalipa kisasi chake kwa wahusika kupitia Proxy wake.
Galilaya raia na askari wamedhurika juzi kwa mashambulio mawili ya Hizbollah,kitu kilichofanya serikali ya Israel iwahamishe raia wote kiusalama.
Pia kambi ya Ain Al Assad imekula chuma na majeruhi 7 wa jeshi la USA kupatikana.
Si hivyo tu,inasemekana pia Syria sehemu zichimbwazo mafuta na US vikundi vya jadi vya Syria vimepashikilia.
In short Iran keshalipa kisasi ila MABWEGE HAWAWEZI KUELEWA.
Hamna lolote Mkuu hizo ni ngojera za Western na US. Kipigo kipo pale pale Nasurlah ndio wakumsikiliza na Abul Malik Badour Al Din Al Houth hao wawili Wamesema Iran atalipa.Nchi kadhaa zimekuwa na hofu kubwa ya mashambulizi makali ya Iran dhidi ya Israel na kupanuka kwa vita katika eneo la mashariki ya kati.Hofu hiyo ni kutokana na kiapo cha Iran kulipiza kisasi kutokana na kuuliwa kwa Ismail Haniye.
Miongoni mwa nchi zenye hofu zaidi ya vita hivyo na kwa maslahi yao ni Misri na Marekani.Hiyo ndiyo sababu juhudi kubwa za kidiplomasia zimefanyika kuizuia Iran kutekeleza ahadi yake hiyo.
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Misri imependelea hatua hizo za usitishwaji wa vita kwa sharti la kuondolewa majeshi ya Israel kwenye kipande cha mpaka na Gaza kinachojulikana kama philadephi Corridor
Iran mulls scrapping plans to take revenge on Israel in exchange for a Gaza ceasefire
Unasikia unasikia huna taarifa za ukweliSi nasikia huko wadukuzi wa iran wamedukua mfumo wa jeshi wa israel na wa uwanja wa ndege wa ben gurion tel aviv..?
Then wanarisk kitu kikubwa kama hata mume wake USA anaogopa an all out war and direct chaotic confrontation. Wamarekani wengi wamechoka kuona pesa zao zinamwaga kwenye nchi nyingine. That's why huyo hypocritical superpower anayejitia ubabe anaomba negotiations. Au unadhani hayo mabilioni yanachapishwa tu?Israel haiwezi kusitisha vita hata iweje!
Naona unatumia hisia za kidini badala ya objective facts.Iran kama mbwa koko tu, hana lolote, eti vita uombwe usipigane? Vita mtu akiamua anaombwaga? Iran hakuna kitu zaidi ya kelele za chura tu, na niseme kabisa, Israel lazima watamtungua Ayatollah, na Israel juzi kaapa kabisa lazima watamuondoa Mkuu mpya wa Hamas, na Ayatollah najua halali anajua hawa wakata roho wako nae pale Tehran na hatari sana, ogopa mtu ana akili mara mil 1 zaidi yako
Israel hawaja-confirm wala ku-denie madai ya assassination. Unadhani kwanini?At list israel ndio ingeomba iran tofauti na hapo ni kuufyata. Israel kawapiga iran halaf kanyamaza. Iran imejibu kwa kuongea tu
Mkia umepindwa mapajaniTulimwona Rais wa Iran akimtaka Ayatollah kuwa makini katika kuishambulia Israeli kwani majibu yake angeweza kuwa mabaya lupita maelezo