Iran yakubali ombi la US na Egypt kutoishambulia Israel ili vita visimamishwe

Iran yakubali ombi la US na Egypt kutoishambulia Israel ili vita visimamishwe

Si nasikia huko wadukuzi wa iran wamedukua mfumo wa jeshi wa israel na wa uwanja wa ndege wa ben gurion tel aviv..?
Hizo ni porojo tu za masjid ubwabwa. Ili iweje sasa au ndivyo visasi vyenyewe hivyo vilipofikia..🤣🤣🤣
 
Nchi kadhaa zimekuwa na hofu kubwa ya mashambulizi makali ya Iran dhidi ya Israel na kupanuka kwa vita katika eneo la mashariki ya kati.Hofu hiyo ni kutokana na kiapo cha Iran kulipiza kisasi kutokana na kuuliwa kwa Ismail Haniye.
Miongoni mwa nchi zenye hofu zaidi ya vita hivyo na kwa maslahi yao ni Misri na Marekani.Hiyo ndiyo sababu juhudi kubwa za kidiplomasia zimefanyika kuizuia Iran kutekeleza ahadi yake hiyo.
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Misri imependelea hatua hizo za usitishwaji wa vita kwa sharti la kuondolewa majeshi ya Israel kwenye kipande cha mpaka na Gaza kinachojulikana kama philadephi Corridor

Iran mulls scrapping plans to take revenge on Israel in exchange for a Gaza ceasefire

Nilijua tu kuwa hatoshambulia. toka aliposema atarusha mabomu sijui 1500 nikajua huyu anaiogopa vita ya moja kwa moja anawataarifu ili akiyarusha wayatungue kama ile show yake ya mwanzo
 
Nchi kadhaa zimekuwa na hofu kubwa ya mashambulizi makali ya Iran dhidi ya Israel na kupanuka kwa vita katika eneo la mashariki ya kati.Hofu hiyo ni kutokana na kiapo cha Iran kulipiza kisasi kutokana na kuuliwa kwa Ismail Haniye.
Miongoni mwa nchi zenye hofu zaidi ya vita hivyo na kwa maslahi yao ni Misri na Marekani.Hiyo ndiyo sababu juhudi kubwa za kidiplomasia zimefanyika kuizuia Iran kutekeleza ahadi yake hiyo.
Kwa upande wake Iran habari za awali zimeonesha imekubali kusitisha kulipiza kisasa kwa ahadi kuwa Israel itaacha kuendelea kushambulia Gaza na kusitisha vita moja kwa moja.
Misri imependelea hatua hizo za usitishwaji wa vita kwa sharti la kuondolewa majeshi ya Israel kwenye kipande cha mpaka na Gaza kinachojulikana kama philadephi Corridor

Iran mulls scrapping plans to take revenge on Israel in exchange for a Gaza ceasefire

Kuna wajinga watakwambia Iran kaufyata.
Iran naona kashalipa kisasi chake kwa wahusika kupitia Proxy wake.
Galilaya raia na askari wamedhurika juzi kwa mashambulio mawili ya Hizbollah,kitu kilichofanya serikali ya Israel iwahamishe raia wote kiusalama.
Pia kambi ya Ain Al Assad imekula chuma na majeruhi 7 wa jeshi la USA kupatikana.
Si hivyo tu,inasemekana pia Syria sehemu zichimbwazo mafuta na US vikundi vya jadi vya Syria vimepashikilia.
In short Iran keshalipa kisasi ila MABWEGE HAWAWEZI KUELEWA.
 
Tatizo hawa jamaa wana mbwembwee nyingi,mara bendera nyekundu sijui nini, 🗑️, debe tupu.
Kisasi kishalipwa muda sana kama mlikua hamjui.
Galilaya imeshambuliwa na Hizbollah unadhani kwa order ya nani!?
Raia huko kaskazini Israel wanaendelea kuhamishwa hadi sasa kama ulikua hujui.
 
Nina mashaka na Russia baada ya kufika Iran kuna vitu kagundua na kuwaambia wahold back, maana yeye ni mjuzi zaidi.

Nafikiri Russia kaona mapungufu mengi kiasi cha kuanzisha vita na Israeli/USA + allies gharama yake itakuwa kubwa sana.
Sasa ni wazi Mrusi atakaa pale kuset mambo ikiwepo mfumo wa kujilinda angani, kuwawekea nuke vizuri, supersonic missiles, naval ship zao.

Kwa yanayoendelea Duniani Kwa sasa, Iran ni allies mzuri kwa Russia, China na North Korea, hivyo ni vyema awe equiped na military hardware za kutosha, technolojia na wataalam ili awe strong zaidi.

Ni maoni yangu.
 
Kuna wajinga watakwambia Iran kaufyata.
Iran naona kashalipa kisasi chake kwa wahusika kupitia Proxy wake.
Galilaya raia na askari wamedhurika juzi kwa mashambulio mawili ya Hizbollah,kitu kilichofanya serikali ya Israel iwahamishe raia wote kiusalama.
Pia kambi ya Ain Al Assad imekula chuma na majeruhi 7 wa jeshi la USA kupatikana.
Si hivyo tu,inasemekana pia Syria sehemu zichimbwazo mafuta na US vikundi vya jadi vya Syria vimepashikilia.
In short Iran keshalipa kisasi ila MABWEGE HAWAWEZI KUELEWA.
"Insemekana ".

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kisasi kishalipwa muda sana kama mlikua hamjui.
Galilaya imeshambuliwa na Hizbollah unadhani kwa order ya nani!?
Raia huko kaskazini Israel wanaendelea kuhamishwa hadi sasa kama ulikua hujui.
Kati yako ya ww uliye humu Jf na wao Ira wenyewe nani anajua zaidi?. Wao wamesem wameghaili, ww unasema tayari wameshambulia.
 
Kati yako ya ww uliye humu Jf na wao Ira wenyewe nani anajua zaidi?. Wao wamesem wameghaili, ww unasema tayari wameshambulia.
Umeelewa kilichozungumzwa?
Soma kwa uelewa.
Iran imeghairi kufanya direct attack from Tehran to Tel Aviv.
Ila tayari ilishafanya indirect attack kupitia Hizbollah Lebanon.
Kundi la Hizbollah linalishwa na Iran,unadhani vikao walivyokaa Iran na hiko kikundi vilikuwa vya harusi au!??
Soma kwa uelewa.
 
Umeelewa kilichozungumzwa?
Soma kwa uelewa.
Iran imeghairi kufanya direct attack from Tehran to Tel Aviv.
Ila tayari ilishafanya indirect attack kupitia Hizbollah Lebanon.
Kundi la Hizbollah linalishwa na Iran,unadhani vikao walivyokaa Iran na hiko kikundi vilikuwa vya harusi au!??
Soma kwa uelewa.
Unaoneka una details nyingi sana hadi za vikao vya Iran vya ndani, Hongera Sanaa .
 
7
Screenshot_2024-08-09-10-03-21-12_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
People are here at right now.
 
Kuna wajinga watakwambia Iran kaufyata.
Iran naona kashalipa kisasi chake kwa wahusika kupitia Proxy wake.
Galilaya raia na askari wamedhurika juzi kwa mashambulio mawili ya Hizbollah,kitu kilichofanya serikali ya Israel iwahamishe raia wote kiusalama.
Pia kambi ya Ain Al Assad imekula chuma na majeruhi 7 wa jeshi la USA kupatikana.
Si hivyo tu,inasemekana pia Syria sehemu zichimbwazo mafuta na US vikundi vya jadi vya Syria vimepashikilia.
In short Iran keshalipa kisasi ila MABWEGE HAWAWEZI KUELEWA.
Sawa naona unatafuta namna gani ufanye ili usipate msongo wa mawazo ambayo matokeo yake unaweza pata hata stroke.

Mtaleta porojo zote za masjid ubwabwa lakini mwisho ukweli utabaki pale pale kwamba alichosema rais wa Iran ndio mambo yote kwamba vita vitaua vibaya uchumi wa Iran.

Huo ndio ukweli hayo mengine leteni tu kutoka masjid ubwabwa na tutayapokea tu ila hatutayafanyia kazi.
 
Back
Top Bottom