Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa wewe unataka vita na watu humu😊😂
Hata kule Afghanistan tuliamini Marekani itashinda mwisho ukawa aibu yao..
😂😂😂Watu na intelligensia yao.. hatari sana.
Wanakumonitor kila sehemu.
"Mr President, the suspect is now pooing"
Vietnam walikufa wangapi na US walikufa wangapi?
Na Vietnam iliachwa na hali gani baada ya vita?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hizo nchi si ni kama wake za US mzee baba,lazima wamsaidie bwana wao.Sijamaanisha hivyo isipokuwa naangalia Tu jinsi hawa jamaa wanavyokosa ushirikiano.
Jana usiku UK, FRANCE, GERMANY wamefanya kikao Kwa njia ya mtandao ili kuisaidia US kama Iran ataishambulia hapo ndiyo utaona hata Sisi waafrica na waarabu ni watu wa kutengana tu
Ni kama CCM na polisiSasa hizo nchi si ni kama wake za US mzee baba,lazima wamsaidie bwana wao.
US yeye kama yeye ni mwepesi na muoga sana wa vita,nadhani somo kule Vietnan lilimuingia vzr,hata kule pearl of harbour somo alilielewa vizuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anakuambia eti US aliondoa majeshi ili asitumie gharama sijui ujinga gani! Sasa ukishaona unapigana na unapata hasara meaning you are fighting a losing war ukakimbia si ndio umepigwa au? Maana umeona haufanikiwi unazidi ku lose resources tu.Malizia pia ni nani mwishowe aliikimbia Vietnam na kilichowapeleka wamarekani Vietnam walifanikiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ueleze walimdanganyaje Guadaf?Russia waondoe ni wanafiki wakubwa tena sio wakuwategemea ukiwa na vita walimdanganya gadafi mwanzoni alivyoanza kupigwa wakakaa kimya Kama hawamuoni vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Una poor reasoning sana!Jamaa anakuambia eti US aliondoa majeshi ili asitumie gharama sijui ujinga gani! Sasa ukishaona unapigana na unapata hasara meaning you are fighting a losing war ukakimbia si ndio umepigwa au? Maana umeona haufanikiwi unazidi ku lose resources tu.
kwani walishindwa? Mula yuko wapi? kwani si alikua rais? je bado ni rais mpk sasa?Hata kule Afghanistan tuliamini Marekani itashinda mwisho ukawa aibu yao..
Kweli kabisa. jamaa hamnazo kabisa sijui waamerika waliwaza nini kumchagua huyu jamaa,lakini UZURI WA AMERIKA RAIS HAS NOT HAVE A FINAL SAY OVER WEAPINS USES.KAMA HAPA UBANTUNI TANZANIA,WAO WANAYO MABARAZA YA HEKIMA YANAYOPATA MSAADA WA MAWAZO KUTOKA KWA SHETANI MWENYEWE.HAWATAMRUHUSU.
Yeah but wewe huna hata hiyo poor reasoning ni shonde umejaza kwa kichwa.
Trump ni Kama jiwe.Iran wanyamaze na wakae kimya.
Awamu hii Trump hatanii.