Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Suala siyo idadi ya Vichwa, cha muhimu ni ukubwa( destructive force capacity) na uwezo wa delivery system ya hizo ICBM to the intended targets. USA is far better on both .
Hii kitu sio ya kuombea itokee maana destruction yake haitoishia huko kwao tu bali ni kwa dunia nzima na mankind kwa ujumla !
 
Wengine wamejifungia kwe ye bomb shelters.
Mbona ilikuwa ni incident ya less than one hour na baada ya hapo Iran iliishiwa pumuzi na kuufyata baada ya hivyo vitoy vyake vyote almost kudunguliwa angani? Hawana guided Missiles kama za IDF au USA na subilia Jibu lao . Utajua kuwa Mzungu na Myahudi ziyo hao zero brains wavaa makubazi na wafuga ndevu with empty heads.
 
Nina hakika Israel atajibu, akijibu mashambulizi nitakuita unionyeshe hasara ya shambulizi la Iran alafu tulinganishe na hasara watakayokuwa wamepata Iran.
Ni kweli watajibu lakini kwa msaada wa Marekani na hata viongozi wa Marekani wamedhibitisha hilo.
 
Jordan wamesema wamefumukia mbali makombora kadhaa ya Iran yakiorushwa kwenda Israel
 
Ya kwamba wanajeshi wangekaa kambini ili wayasubilie makombora yaje kiwauwa?
 
Acha kubishana na hao kondoo washakariri kua Israel ndio kila kitu
 
Mkuu ebu wape Somo wenzako atleast unatoa fact wenzio kutwa taifa teule taifa teule linalindwa na mungu Mara hivi
Hiv hua ni ukosefu wa elimu au mahaba mazito ya dini?
 
Analysis yako iko vizuri. South Korea jana wameonyesha heavy ballistic missile yao Hyunmoo-5 yenye tani nane. Lengo la kuunda hiyo missile ni kuharibu nuclear silos na underground facilities za North Korea.

Si lazima kutumia fighter bombers kuharibu nuclear site. Kila site ina entrance inayotokea nje, ikipigwa entrance humo ndani wanatokaje mpaka wafanye ukarabati. Wala Israel haiwezi tumia F-16 ni fighter yenye uzito mdogo hata engine moja, heavy fighter bomber yenye injini mbili inayobeba mzigo mkubwa ni F-15. Labda F-16 isaidie escort.

Kabla hawajashambulia site wanashambulia air defense system hata Syria walifanya hivyo. Ila wanafanya haraka ghafla ghafla AD zinaondolewa muda huohuo shambulizi linakuja. Ni mission ngumu mno ila ndio mission ambayo Israel wanajipanga nayo miaka mingi, wanaunda silaha kwa ajili yake, wananunua kwa ajili hiyo na wanafanya drills juu yake. Sio suala ambalo wameshtukizwa hata intel yake wanayo muda.

Marekani tu ndio wanaweza tumia B-2 stealth bomber na dedicated bunker buster yake GBU-57A/B yenye tani 14.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…