Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Bwana wao Isra hell akipigwa utaona USA na Western countries wanatoa haraka statement, ila wakiuliwa watoto pale Gaza hawatoi statement yeyote.

Pambafu kabisa hawa western countries na choko lao Isra hell. Wanajua Iran sio Hamas wala sio Hizbollah ndio mana wanamaaidia bwana wao
 
Iran ni wastaarabu sana, wao wanapiga kambi za jeshi tu... Wale wengine wanapiga makazi ya raia
 
Cha kushangaza sana kila wakati Israel ikipigwa wanajidai eti zero casualties.

Israel kama mwanaume kweli apigane na Iran mwenyewe aache kumuita USA na Western countries wamsaidie.. amezoea kuua watoto ngoja leo walale mashimoni pambafu zao
Simtetei Israel, ila hako kaeneo kalivyo kadogo, bila kusaidiwa na wakubwa na technology si watamfuta kweli iwe history kama vandal, heruli na Ostrogoth.
 
Israel ina eneo dogo sana haiwezi zuia saturation attack. Na pia inapenda kujibu kwa kutoa onyo kali.

Ila nadhania Israel itajibu kwa miundombinu muhimu Iran kama ya mafuta kwanza kama angalizo kuwa inaweza shambulia nuclear sites. Na hata Iran ikijibu tena sitarajii itarnda direct kushambulia Dimona nuclear site ya Israel badala yake ishambulie kama gas facilities kuonyesha inaweza piga Dimona ikiamua.

Israel ikipiga vinu vya Iran moja kwa moja Iran itashindwa kujizuia, Israel ingeshambuliwa kinu cha nyuklia Iran ingekuwa inachakaa vibaya kwa sasa. Wote wakienda kwa uangalifu itakuwa showdown. Yawezekana Iran kupitia Russia ikaitaarifu Israel izuge yaishe, kama ilivyo fanya al Assad airbase kule Iraq to save face baada ya Soleimani kuuwawa na Marekani.
Sina uhakika iwapo viongozi wa Iran watakuwa wanahitaji vita kwa sasa lakini hii iliwalazimu kutokana na yanayo endelea sasa heshima yake ingeshuka sana.
 
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷
Baad ya Iran kutoa kipigo cha mbwa mwizi usiku huu na kuchoma kambi za kijeshi za Israel imeangamiza ndege za kisasa zilikua Navatim air base.

#BREAKING 🚨🇮🇷🚀🇮🇱 The Iranian attack destroyed a number of F-35 warplanes in "Nevatim" air base (Video). Missiles also destroyed F-15 warplanes in other bases like "Hatzerim."

These planes, which were used to bomb the Gaza Strip and Lebanon with over 85,000 tons of explosives in the last year, have been rendered out of service by the IRGC.

IMG_20241001_225647.jpg
 
Aisee hii inaonekana makombora alotumia sasa hivi Iran ni makubwa kuliko ya mwanzo.
Kama haitazuka vita sijui.
Katumia Balistic, so far Balistic hazina Air defence inayoweza kuzi intercept, Unaona kwenye hizo Video makombora 10 labda 1 ama 2 ndio yanakuwa Intercepted,
 
Iran Ayatollah anaondoka Mark my words

Kilichotokea alikuwa akitumia Hezbollah kama buffer zone kivita

Hezbollah askari wengi na vifaa walikuwa wa Iran

Kambi kubwa za silaha zito Iran iliziweka Lebanon buffer zone ndiko kwenye maghala mengi na silaha nzito za Iran kuwa Israel kufika kushambulia Iran hawezi sababu sio rahisi kushinda vikosi special forces vya Iran na silaha zao nzito za wa Iran waliovaa uniform za Hezbollah Lebanon

Sasa Israel kaingia ndani ya Lebanon kawavurumisha askari wa Iran wavaa nguo na wabeba silaha nzito za jeshi la Hezbollah
.
Sasa retreating Hezbollah wamekimbilia Iran
Wanarusha makombora toka Iran hao ni wale wale Hezbollah

Kivita inaitwa ukikimkimbiza panya angalia shimo anapokimbilia na kuingia shimo lipi

Hezbollah wanakimbia vita Lebanon wanaingia shimo lao Iran walikototokea

Ayatollah anaondoka safari hii hana ujanja
Unategemea kwamba Netanyahu atakuwa hai ?

Unaifahamu nafasi ya Ayatollah Iran ?
 
Back
Top Bottom