green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Isreal wanaficha sana vifo vyao kisa wataonyesha udhaifu wao na watadhalilika kwasbb ya kujisifu na propaganda kila wakati.Wamekufa waisraeli wangapi baada ya mashambulizi ya jana?
Kwani aliyeshambulia haruhusiwi kutoa taarifa?Isreal wanaficha sana vifo vyao kisa wataonyesha udhaifu wao na watadhalilika kwasbb ya kujisifu na propaganda kila wakati.
Wabongo useless hopeless idiots... Mambo ya watu mnajitia ujuaji mna update yanayojiri... Wakat kijijin kwa baba na mama yako wanalala njaa na huna msaada na hujui kinachoendelea...
Duh hile nalo nenoWabongo useless hopeless idiots... Mambo ya watu mnajitia ujuaji mna update yanayojiri... Wakat kijijin kwa baba na mama yako wanalala njaa na huna msaada na hujui kinachoendelea...
KabisaNdio maana kuna different forums here
So sio lazima uje forums hii,
Unaweza kwenda hata ya mapishi au umbea
Mteule unapambana ukiwa wapiWamekufa waisraeli wangapi baada ya mashambulizi ya jana?
Siku gani mzeewetu siku gani km anazo si apige basi subiri majibu si umetuma maombi subiri jibu lako nataka kishushwe kitu chenye kilo za kutosha juu ya kichwa cha Ayatolah asibakie hata mfupa mmoja hayo ni maneno ya Bejamin Letanyau nina mafuaTabia ya Israel kusubiri Iran ashambulie haraka madhara ni kidogo ipo siku Iran atapata silaha kali zaidi atampiga Israel na zilete madhara
Utaona wapi ikiwa Israel amezuia vyombo vya habari chombo pekee kilichojitolea kwa hali yoyote Al-Jazeera wamekuwa wakikisakama sikuzote wamewaua wandishi wao wengi na juzi tu wamewavamia kweny jengo lao lilmbali kidogo na kwao ndugu hujui tu hili!!Wamekufa waisraeli wangapi baada ya mashambulizi ya jana?
Makombora hayarudishi taarifa kule yalikotoka kuwa tumeua watu kadhaa.Kwani aliyeshambulia haruhusiwi kutoa taarifa?
Umejuaje wameficha?!Isreal wanaficha sana vifo vyao kisa wataonyesha udhaifu wao na watadhalilika kwasbb ya kujisifu na propaganda kila wakati.
Iran imewafuta machozi waislam…Dah yaani toka jana mpka leo kuna nyuzi mia moja zikisifu iran hii inaonesha ni jinsi gani hawa ndugu zetu walikuwa wanaumia na wanakosa pa kukimbilia sasa wanaona kama iran ndio mkombozi wao. Ngoja tuone kama hizi nyuzi wataziendeleza